Naunga mkono hojaEti 4R, 4R matrako
Mvutabangi mume wakoHuyu mvuta bangi atulie tu
USSR
StupidKwanini jambo lifanywe na sijui Polisi sijui nani lawama apewe mzalendo wetu namba moja Rais wa mioyo yetu?
Rais ambae hata leo ukiweka boksi la kula mpinzani wake hapati hata 10% tu ya kura zake?
Mh. rais aachwe ahudunie watanzania wanyonge na kuboresha maslai ya watumishi wa umma hasa walimu
Mabumunda yamewashikilia with 2 statement gonganaWewe unayemshikilia Adv.Tundu Antipas Lissu bila kuzingatia Mahitaji yake ya Kiafya utawajibika binafsi kwa Madhara yeyote yatakayo mfika. Hakuna kosa lolote alilotenda. Yeye na Wenzake waachiwe Maramoja. Usalama wa Wakili Mwenzetu na wote waliokamatwa ni kipaumbele chetu.
View attachment 3067890
Pia soma=> Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
njoo utiwe nguvuni pia pamoja na magenge mengine ya wahalifu mahabusu, acha kubwekabweka na kupiga mayowe nyuma ya keyboard haina maana yoyoteWewe unayemshikilia Adv.Tundu Antipas Lissu bila kuzingatia Mahitaji yake ya Kiafya utawajibika binafsi kwa Madhara yeyote yatakayo mfika. Hakuna kosa lolote alilotenda. Yeye na Wenzake waachiwe Maramoja. Usalama wa Wakili Mwenzetu na wote waliokamatwa ni kipaumbele chetu.
View attachment 3067890
Pia soma=> Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
ccm ni majinga sana. mtu una kila kitu bado unakua muoga.wanazidi kumpiga chura teke,wangejua wangewaacha tu.
Sungusia, usimwamini mwanadamuSafari hii TLS ipo ,mwanzo majengo ya TLS yaligeuzwa ofisi ndogo za LUMUMBA
Uko sahihi.Ndyomaana nilikataa kazi ya upolisi baada ya ku graduate, nilijua ni kazi ya kitumwa na kutekeleza au kubeba dhambi za wanasiasa.
WEwe, amka unaota!!Kwanini jambo lifanywe na sijui Polisi sijui nani lawama apewe mzalendo wetu namba moja Rais wa mioyo yetu?
Rais ambae hata leo ukiweka boksi la kula mpinzani wake hapati hata 10% tu ya kura zake?
Mh. rais aachwe ahudunie watanzania wanyonge na kuboresha maslai ya watumishi wa umma hasa walimu
Kweli kabisa mkuu, kibaya zaidi ni kutumika kutekeleza machafu ya wanasiasa na kuwanufaisha wao, huku wewe ukibaki na shida zako.Uko sahihi.
Hata mimi juzi, kuna watu walitaka kunishawishi niombe, nikakataa kwa sababu nikazi ya kishamba sana ambayo haizingatii proffesional standard za hao mapolisi.
Hata kama uko na moyo safi vipi, huwezi kutenda haki kwasababu ya mifumo iliopo