imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Acha Porojo.Unataka uthibitisho wa aina gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha Porojo.Unataka uthibitisho wa aina gani?
Siyo banaa..!!Mkuu we ni mwenzetu?
Basi Chadema ni wapenda haki,ndiyo maana walisimama kidete kuhakikisha hapokwi haki yake, timu ikishinda, mashabiki wake wameshinda,relaxMteja Hana shida shida ipo kwenye viongozi wa chadema na wafuasi wao kulibebea mbeleko hili suala kama vile ni kesi ya chama. Yani ukipitia mtandaoni ni kama chadema imeshinda kesi.
mbona naona kama mwabukusu ameshinda asubuhi na mapema. hao wooote hakuna hata mmoja wa kusimama na mwabukusi, labda kura ziibiwe. na mwabukusi ni mzoefu kupambana kulinda kura manake wanasema alishagombea hata ubunge mara kadhaa wakaiba kura zake.
Kama siyo... Uko vizuri sana. Big upSiyo banaa..!!
Nimeshangaa mahakamani anatetewa na mawakili wa chadema kibao.nikajuwa ni kesi ya uchochezi kama kawaida yetu.
Mawakili wasomi watamchagua sijui wewe na wenzako.??Atagombea,lakini hato chaguliwa.
Na huyu ndiye Rais wa TLS for sure, atashinda uchaguzi...............Kuna namna wakina Kibatala walikuwa wakitangaza misimao yao kuhusu kumuunga mkono Adv. Mwabukusi arudishwe kama mgombea, but at the same time wanasema hawatampigia kura, nikaona hawa wanajichanganya.
Naamini kile kitendo chao cha kusema hawatampigia kura Adv. Mwabukusi, kiliwafanya watawala waone kumbe Mwabukusi hana madhara kama walivyokuwa wakimhofia, ndio maana sishangai kama Adv. Mwabukusi ameshinda ile kesi yake iliyosikilizwa leo.
Ni kwa sababu Chadema inatetea haki bila kujali itikadi ya kisiasa! Kwa hiyo hujakosea Chadema imeshinda kesi!Mteja Hana shida shida ipo kwenye viongozi wa chadema na wafuasi wao kulibebea mbeleko hili suala kama vile ni kesi ya chama. Yani ukipitia mtandaoni ni kama chadema imeshinda kesi.
Utamloga?Atagombea,lakini hato chaguliwa.
Swali la msingi sana.Go Mwambulukusu go.
Hamnaga mmama ?
Kweli nimeamini ukitaka kumjua mtu uwezo wa akili ndio hapa.Halafu utasikia machadema na mwabukusi mwenyewe wanasema mahakama haiko huru kisa wame wagwa.
Ndo mana nchi hatuwezi kuwapa mana hamueleweki
Chondechonde tusirudi hukoHapo ndiyo kwenye mtego, Lissu alifanyiwa mizengwe asigombee alipogombea na kushinda baada ya muda mfupi akapigwa risasi 16.
Msikubai kutumiwa kisiasa vijanaBasi Chadema ni wapenda haki,ndiyo maana walisimama kidete kuhakikisha hapokwi haki yake, timu ikishinda, mashabiki wake wameshinda,relax