Pre GE2025 Boniface Mwabukusi: CCM wanamnadi Samia kama mgombea wao, nini kinawazuia Upinzani kumnadi Lissu?

Pre GE2025 Boniface Mwabukusi: CCM wanamnadi Samia kama mgombea wao, nini kinawazuia Upinzani kumnadi Lissu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Akizungumza kupitia mtandao wa ClubHouse, Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Boniface Mwabukusi, amesema;

Kama kuna walimu wanachanga hela kumchangia @SuluhuSamia kugombea kupitia CCM, sisi wengine tusio na upande ndani ya vyama lakini tunajua Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mkiti CHADEMA kuwa ni mweledi, na anafaa kuwa mgombea Urais kwa nchi hii, kwanini tusiandike maombi kwa CHADEMA tukiwaomba watupe Tundu Lissu ili tumnadi mbele ya Watanzania.

“Mimi ninataka kuuliza swali sitaki hata tuzunguke pembeni, kitu gani kinatuzuia watu wote wenye akili timamu kusema Tundu Lissu @TunduALissu ndiye mgombea wetu atakayeshika bendera kutuongoza sasa, kitu gani kinatuzuia kama siyo ubinafsi? Nani asiyejua kwamba Tundu Lissu ndiye mtu anayefaa kwa nafasi ile? Ni kwa sababu tu ya ubinafsi na biashara.

Mimi nilikuwa ninatarajia kusiwepo chama cha upinzani cha kwenda Zanzibar kule aachiwe ACT na kwa huku Bara aliyejitambua kidogo aachiwe nafasi awe CHADEMA, hao wengine wagawiwe vipande vidogovidogo kujiimarisha.

“Kwenye makundi yote ya kiharakati, yenye akili timamu tuanze kumnadi Tundu Lissu lakini ni ajabu hata CHADEMA @ChademaTz hili hawalioni, wanapiga tu danadana na nyinyi wadau na Wanachadema mpo hapa hamsemi ukweli kuwaambia viongozi wenu"

Mgombea urais wa upinzani anatakiwa walau awe na miezi 22 mpaka 23 ya kujinadi kabla ya tarehe ya uchaguzi.

— Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Boniface Mwabukusi.
 
Ajikite kufanya kazi ya TLS na ya CDM awaachie CDM.

Kama bosi wa TLS anachopaswa kufanya ni kukemea kampeni kabla ya muda na hata kuchukua hatua za kisheria kama zipo.
 
Akizungumza kupitia mtandao wa ClubHouse, Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Boniface Mwabukusi, amesema;

Kama kuna walimu wanachanga hela kumchangia @SuluhuSamia kugombea kupitia CCM, sisi wengine tusio na upande ndani ya vyama lakini tunajua Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mkiti CHADEMA kuwa ni mweledi, na anafaa kuwa mgombea Urais kwa nchi hii, kwanini tusiandike maombi kwa CHADEMA tukiwaomba watupe Tundu Lissu ili tumnadi mbele ya Watanzania.

“Mimi ninataka kuuliza swali sitaki hata tuzunguke pembeni, kitu gani kinatuzuia watu wote wenye akili timamu kusema Tundu Lissu @TunduALissu ndiye mgombea wetu atakayeshika bendera kutuongoza sasa, kitu gani kinatuzuia kama siyo ubinafsi? Nani asiyejua kwamba Tundu Lissu ndiye mtu anayefaa kwa nafasi ile? Ni kwa sababu tu ya ubinafsi na biashara.

Mimi nilikuwa ninatarajia kusiwepo chama cha upinzani cha kwenda Zanzibar kule aachiwe ACT na kwa huku Bara aliyejitambua kidogo aachiwe nafasi awe CHADEMA, hao wengine wagawiwe vipande vidogovidogo kujiimarisha.

“Kwenye makundi yote ya kiharakati, yenye akili timamu tuanze kumnadi Tundu Lissu lakini ni ajabu hata CHADEMA @ChademaTz hili hawalioni, wanapiga tu danadana na nyinyi wadau na Wanachadema mpo hapa hamsemi ukweli kuwaambia viongozi wenu"

Mgombea urais wa upinzani anatakiwa walau awe na miezi 22 mpaka 23 ya kujinadi kabla ya tarehe ya uchaguzi.

— Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Boniface Mwabukusi.
It is not too late kuunda chama kingine cha wazalendo wa kweli members waasisi wakawa
  1. Lissu
  2. Mwabukusi
  3. Sheikh Ponda
 
Kama Chadema wanataka kushindwa uchaguzi vibaya wampe lissu nafasi ya kugombea!
Lissu Hana vision ya Kisiasa,yeye ni mwanaharakati bobezi tu.Anachojua ni kuikosoa tu Serikali na kufanya personal attacks kwa wanasiasa wenzake.
Aheri ya Freeman,tunajua akishinda Utawala wa Majimbo utarudi!
Kila eneo litajibeba kwa Rasilimali zake.Na Utawala wa Kijimbo wenye nguvu.
Huu mpango wa Mbowe ni mzuri sanaa!
Nchi itakimbia kwa Kasi kwenye maendeleo!
Angalia mfano GEITA!
Dhahabu yoote waliyonayo inayochimbwa hapo kwao,lakini hapafananii!
Pamechokaa!
Angalia mtwara na Lindi,Raia wako hoe hae..Kuna Bandari za Kina kirefu na Gesi ya kutosha!
Kila eneo litatumia Rasilimali zake kujiinua,Serikali inachukua asilimia kadhaa za Mapato kwa ajili ya Uendeshaji wake!
Huu ni MPANGO halisia,sio mfumo wa sasa wa kunufaisha matumbo ya watu wengine.
CCM mfumo wake ni wa Mapenzi ya mshumaa.
Mtu MAFIA kama Freeman hawezi kufanya Biashara ya kutom.ba moto na kuungua mavuzi.
I will pick Freeman a thousand times,sio Roporopo kama huyo Lissu.
System haiwezi kumkubali mtu asiyetabirika.
Walijaribu kwa Magufuli kilichowapata wanakijua wenyewe.
 
“Ni kazi ya TLS kuisaidia jamii kupata viongozi wenye sifa za uongozi na kuufanya uchaguzi kuwa huru na haki na kuondoa malalamiko ambayo yamekuwa yakijitokeza katika uchaguzi mara kwa mara nchini,” Rais wa TLS
Sasa mbona amekua kampeni manager wa Lisu? Akiwa biased hivyo vyama vingine visipotendewa haki anawezaje kusimamia haki zao zisipotee wakati ana personal interest kwa Lisu?
 
Kama Chadema wanataka kushindwa uchaguzi vibaya wampe lissu nafasi ya kugombea!
Lissu Hana vision ya Kisiasa,yeye ni mwanaharakati bobezi tu.Anachojua ni kuikosoa tu Serikali na kufanya personal attacks kwa wanasiasa wenzake.
Aheri ya Freeman,tunajua akishinda Utawala wa Majimbo utarudi!
Kila eneo litajibeba kwa Rasilimali zake.Na Utawala wa Kijimbo wenye nguvu.
Huu mpango wa Mbowe ni mzuri sanaa!
Nchi itakimbia kwa Kasi kwenye maendeleo!
Angalia mfano GEITA!
Dhahabu yoote waliyonayo inayochimbwa hapo kwao,lakini hapafananii!
Pamechokaa!
Angalia mtwara na Lindi,Raia wako hoe hae..Kuna Bandari za Kina kirefu na Gesi ya kutosha!
Kila eneo litatumia Rasilimali zake kujiinua,Serikali inachukua asilimia kadhaa za Mapato kwa ajili ya Uendeshaji wake!
Huu ni MPANGO halisia,sio mfumo wa sasa wa kunufaisha matumbo ya watu wengine.
CCM mfumo wake ni wa Mapenzi ya mshumaa.
Mtu MAFIA kama Freeman hawezi kufanya Biashara ya kutom.ba moto na kuungua mavuzi.
I will pick Freeman a thousand times,sio Roporopo kama huyo Lissu.
System haiwezi kumkubali mtu asiyetabirika.
Walijaribu kwa Magufuli kilichowapata wanakijua wenyewe.
Sera ya majimbo siyo ya Mbowe ni ya Chadema hata Lissu ataifuata.
 
Sawa sawa kabisa! Mwabukisi si ndo rais wa TLS?

Yupo sawa kabisa
 
Back
Top Bottom