- Thread starter
- #21
Huyo huwa anaandika chochote kinachomjia akilini al mradi kaandikaSI umesema wanamuandaa Sugu, wewe mzee unazeeka vibaya wewe, aliyekuita Juma Lokole kapatia kweli kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo huwa anaandika chochote kinachomjia akilini al mradi kaandikaSI umesema wanamuandaa Sugu, wewe mzee unazeeka vibaya wewe, aliyekuita Juma Lokole kapatia kweli kweli.
KabisaAkizungumza kupitia mtandao wa ClubHouse, Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Boniface Mwabukusi, amesema;
Kama kuna walimu wanachanga hela kumchangia @SuluhuSamia kugombea kupitia CCM, sisi wengine tusio na upande ndani ya vyama lakini tunajua Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mkiti CHADEMA kuwa ni mweledi, na anafaa kuwa mgombea Urais kwa nchi hii, kwanini tusiandike maombi kwa CHADEMA tukiwaomba watupe Tundu Lissu ili tumnadi mbele ya Watanzania.
“Mimi ninataka kuuliza swali sitaki hata tuzunguke pembeni, kitu gani kinatuzuia watu wote wenye akili timamu kusema Tundu Lissu @TunduALissu ndiye mgombea wetu atakayeshika bendera kutuongoza sasa, kitu gani kinatuzuia kama siyo ubinafsi? Nani asiyejua kwamba Tundu Lissu ndiye mtu anayefaa kwa nafasi ile? Ni kwa sababu tu ya ubinafsi na biashara.
Mimi nilikuwa ninatarajia kusiwepo chama cha upinzani cha kwenda Zanzibar kule aachiwe ACT na kwa huku Bara aliyejitambua kidogo aachiwe nafasi awe CHADEMA, hao wengine wagawiwe vipande vidogovidogo kujiimarisha.
“Kwenye makundi yote ya kiharakati, yenye akili timamu tuanze kumnadi Tundu Lissu lakini ni ajabu hata CHADEMA @ChademaTz hili hawalioni, wanapiga tu danadana na nyinyi wadau na Wanachadema mpo hapa hamsemi ukweli kuwaambia viongozi wenu"
Mgombea urais wa upinzani anatakiwa walau awe na miezi 22 mpaka 23 ya kujinadi kabla ya tarehe ya uchaguzi.
— Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Boniface Mwabukusi.
Ahsante kwa kunielimisha Mkuu.Sera ya majimbo siyo ya Mbowe ni ya Chadema hata Lissu ataifuata.
Hayo aliyazungumza kabla hajawa rais wa TLS. Mleta mada anasafiria kwenye ule ukweli kwamba ' mtaji mkubwa wa ccm ni ujinga wa waTz'Ajikite kufanya kazi ya TLS na ya CDM awaachie CDM.
Kama bosi wa TLS anachopaswa kufanya ni kukemea kampeni kabla ya muda na hata kuchukua hatua za kisheria kama zipo.
Na wewe toa sababu zako kwa nini Rungwe na sio LissuKwahiyo sisi wananchi ambao tunamtaka Rungwe tuitambue TLS kama tawi la mpinzani wetu maana Rais wa TLS support yake ipo kwa lisu?
Yuko sahihi ila siasa ni sayansiAkizungumza kupitia mtandao wa ClubHouse, Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Boniface Mwabukusi, amesema;
Kama kuna walimu wanachanga hela kumchangia @SuluhuSamia kugombea kupitia CCM, sisi wengine tusio na upande ndani ya vyama lakini tunajua Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mkiti CHADEMA kuwa ni mweledi, na anafaa kuwa mgombea Urais kwa nchi hii, kwanini tusiandike maombi kwa CHADEMA tukiwaomba watupe Tundu Lissu ili tumnadi mbele ya Watanzania.
“Mimi ninataka kuuliza swali sitaki hata tuzunguke pembeni, kitu gani kinatuzuia watu wote wenye akili timamu kusema Tundu Lissu @TunduALissu ndiye mgombea wetu atakayeshika bendera kutuongoza sasa, kitu gani kinatuzuia kama siyo ubinafsi? Nani asiyejua kwamba Tundu Lissu ndiye mtu anayefaa kwa nafasi ile? Ni kwa sababu tu ya ubinafsi na biashara.
Mimi nilikuwa ninatarajia kusiwepo chama cha upinzani cha kwenda Zanzibar kule aachiwe ACT na kwa huku Bara aliyejitambua kidogo aachiwe nafasi awe CHADEMA, hao wengine wagawiwe vipande vidogovidogo kujiimarisha.
“Kwenye makundi yote ya kiharakati, yenye akili timamu tuanze kumnadi Tundu Lissu lakini ni ajabu hata CHADEMA @ChademaTz hili hawalioni, wanapiga tu danadana na nyinyi wadau na Wanachadema mpo hapa hamsemi ukweli kuwaambia viongozi wenu"
Mgombea urais wa upinzani anatakiwa walau awe na miezi 22 mpaka 23 ya kujinadi kabla ya tarehe ya uchaguzi.
— Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Boniface Mwabukusi.
Hayo aliyazungumza kabla hajawa rais wa TLS. Mleta mada anasafiria kwenye ule ukweli kwamba ' mtaji mkubwa wa ccm ni ujinga wa waTz'
Hayo ni mabishano ya kisiasa ubora wa Rungwe natakiwa nimjibu mtu wa Ccm au Chadema na siyo TLS, TLS ni taasisi inayotakiwa kukimbiliwa na kila mtu haitakiwi kuonyesha interest upande mmoja Mwabukusi hapo amefeliNa wewe toa sababu zako kwa nini Rungwe na sio Lissu
Ukabila na ukanda ndo unawagharimu.Akizungumza kupitia mtandao wa ClubHouse, Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Boniface Mwabukusi, amesema;
Kama kuna walimu wanachanga hela kumchangia @SuluhuSamia kugombea kupitia CCM, sisi wengine tusio na upande ndani ya vyama lakini tunajua Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mkiti CHADEMA kuwa ni mweledi, na anafaa kuwa mgombea Urais kwa nchi hii, kwanini tusiandike maombi kwa CHADEMA tukiwaomba watupe Tundu Lissu ili tumnadi mbele ya Watanzania.
“Mimi ninataka kuuliza swali sitaki hata tuzunguke pembeni, kitu gani kinatuzuia watu wote wenye akili timamu kusema Tundu Lissu @TunduALissu ndiye mgombea wetu atakayeshika bendera kutuongoza sasa, kitu gani kinatuzuia kama siyo ubinafsi? Nani asiyejua kwamba Tundu Lissu ndiye mtu anayefaa kwa nafasi ile? Ni kwa sababu tu ya ubinafsi na biashara.
Mimi nilikuwa ninatarajia kusiwepo chama cha upinzani cha kwenda Zanzibar kule aachiwe ACT na kwa huku Bara aliyejitambua kidogo aachiwe nafasi awe CHADEMA, hao wengine wagawiwe vipande vidogovidogo kujiimarisha.
“Kwenye makundi yote ya kiharakati, yenye akili timamu tuanze kumnadi Tundu Lissu lakini ni ajabu hata CHADEMA @ChademaTz hili hawalioni, wanapiga tu danadana na nyinyi wadau na Wanachadema mpo hapa hamsemi ukweli kuwaambia viongozi wenu"
Mgombea urais wa upinzani anatakiwa walau awe na miezi 22 mpaka 23 ya kujinadi kabla ya tarehe ya uchaguzi.
— Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Boniface Mwabukusi.
HowUkabila na ukanda ndo unawagharimu.
Katika kosa kubwa ambalo Chadema watalijutia na kuwapoteza dila katika siasa za Tanzania wafanye hivyo kwa FebruaryKumekucha 😂
Unaweza kukuta Chadema Wanataka kumuuzia mh February huo ugombea uRais kama walivyofanya 2015 🐼
Kwanini unamnukuu kama rais wa TLS kwa kauli aliyoiongea kabla hajawa kwenye hiyo nafasi?Akizungumza kupitia mtandao wa ClubHouse, Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Boniface Mwabukusi, amesema;
Kama kuna walimu wanachanga hela kumchangia @SuluhuSamia kugombea kupitia CCM, sisi wengine tusio na upande ndani ya vyama lakini tunajua Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mkiti CHADEMA kuwa ni mweledi, na anafaa kuwa mgombea Urais kwa nchi hii, kwanini tusiandike maombi kwa CHADEMA tukiwaomba watupe Tundu Lissu ili tumnadi mbele ya Watanzania.
“Mimi ninataka kuuliza swali sitaki hata tuzunguke pembeni, kitu gani kinatuzuia watu wote wenye akili timamu kusema Tundu Lissu @TunduALissu ndiye mgombea wetu atakayeshika bendera kutuongoza sasa, kitu gani kinatuzuia kama siyo ubinafsi? Nani asiyejua kwamba Tundu Lissu ndiye mtu anayefaa kwa nafasi ile? Ni kwa sababu tu ya ubinafsi na biashara.
Mimi nilikuwa ninatarajia kusiwepo chama cha upinzani cha kwenda Zanzibar kule aachiwe ACT na kwa huku Bara aliyejitambua kidogo aachiwe nafasi awe CHADEMA, hao wengine wagawiwe vipande vidogovidogo kujiimarisha.
“Kwenye makundi yote ya kiharakati, yenye akili timamu tuanze kumnadi Tundu Lissu lakini ni ajabu hata CHADEMA @ChademaTz hili hawalioni, wanapiga tu danadana na nyinyi wadau na Wanachadema mpo hapa hamsemi ukweli kuwaambia viongozi wenu"
Mgombea urais wa upinzani anatakiwa walau awe na miezi 22 mpaka 23 ya kujinadi kabla ya tarehe ya uchaguzi.
— Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Boniface Mwabukusi.
How!? You know
We jamaa maneno mengi lakini unashindwa kutambua kuwa MAJIMBO NI SERA YA CHADEMA na kiongozi yeyote atakayepeperusha bendera ya chama cha demokrasia na maendeleo ni lazima aifuate.Kama Chadema wanataka kushindwa uchaguzi vibaya wampe lissu nafasi ya kugombea!
Lissu Hana vision ya Kisiasa,yeye ni mwanaharakati bobezi tu.Anachojua ni kuikosoa tu Serikali na kufanya personal attacks kwa wanasiasa wenzake.
Aheri ya Freeman,tunajua akishinda Utawala wa Majimbo utarudi!
Kila eneo litajibeba kwa Rasilimali zake.Na Utawala wa Kijimbo wenye nguvu.
Huu mpango wa Mbowe ni mzuri sanaa!
Nchi itakimbia kwa Kasi kwenye maendeleo!
Angalia mfano GEITA!
Dhahabu yoote waliyonayo inayochimbwa hapo kwao,lakini hapafananii!
Pamechokaa!
Angalia mtwara na Lindi,Raia wako hoe hae..Kuna Bandari za Kina kirefu na Gesi ya kutosha!
Kila eneo litatumia Rasilimali zake kujiinua,Serikali inachukua asilimia kadhaa za Mapato kwa ajili ya Uendeshaji wake!
Huu ni MPANGO halisia,sio mfumo wa sasa wa kunufaisha matumbo ya watu wengine.
CCM mfumo wake ni wa Mapenzi ya mshumaa.
Mtu MAFIA kama Freeman hawezi kufanya Biashara ya kutom.ba moto na kuungua mavuzi.
I will pick Freeman a thousand times,sio Roporopo kama huyo Lissu.
System haiwezi kumkubali mtu asiyetabirika.
Walijaribu kwa Magufuli kilichowapata wanakijua wenyewe.
Huyo aliyesimamia mchakato wa kutunga na kupitisha sheria kandamizi zilizoipa serikali na nguvu ya kudhibiti watanzania na wapinzani? Aliyeongoza mchakato wa kuharibu matokeo ya uchaguzi?Katika kosa kubwa ambalo Chadema watalijutia na kuwapoteza dila katika siasa za Tanzania wafanye hivyo kwa February
Walishajifunza kwa Lowassa, Nyalandu na Sumaye.Katika kosa kubwa ambalo Chadema watalijutia na kuwapoteza dila katika siasa za Tanzania wafanye hivyo kwa February
4.mbbapeIt is not too late kuunda chama kingine cha wazalendo wa kweli members waasisi wakawa
- Lissu
- Mwabukusi
- Sheikh Ponda
Vipi Lissu alivyokuwa rais TLS, hakuwa akizungumzia siasa pia? Je kila alichokizungumza kili-reflect msimamo wa TLS?Ukiwa kiongozi wa Taasisi yoyote utakachoongea mbele ya hadhira kina reflect msimamo wa taasisi unayoiongoza ndo maana viongozi wa taasisi huwa hawaropoki wanalifahamu hilo.
Kwa hiyo leo ulitaka nimtaje kwa cheo gani kama sio rais wa TLSKwanini unamnukuu kama rais wa TLS kwa kauli aliyoiongea kabla hajawa kwenye hiyo nafasi?
Ninyi ndiyo mkiambiwa mna sign tu mikataba bila kuelewa ina maanisha nini au athari zake mnaanza kulalamika kuwa mnatukanwa.
Kama zipo hata yeye alikua anakosea hivyo hivyo , na alichokisema kilikua kina reflect msimamo wa TLSVipi Lissu alivyokuwa rais TLS, hakuwa akizungumzia siasa pia? Je kila alichokizungumza kili-reflect msimamo wa TLS?