Ibilisi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,465
- 5,578
Usisahau pia alikuwa mbunge (mwanasiasa)Kama zipo hata yeye alikua anakosea hivyo hivyo , na alichokisema kilikua kina reflect msimamo wa TLS
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau pia alikuwa mbunge (mwanasiasa)Kama zipo hata yeye alikua anakosea hivyo hivyo , na alichokisema kilikua kina reflect msimamo wa TLS
Kama hilo limekushinda namna ya kuli address, basi no wonder nchi hii itaendekea kusota na kupigwa tuKwa hiyo leo ulitaka nimtaje kwa cheo gani kama sio rais wa TLS
Hapo kwenye biashara hapo. 2015 Lowasa alitoa 15 bil kupata tiketi ya urais kupitia chademaNani asiyejua kwamba Tundu Lissu ndiye mtu anayefaa kwa nafasi ile? Ni kwa sababu tu ya ubinafsi na biashara.
Hajasema akiwa Raisi hio , wanamzushia tu kumchafuaAjikite kufanya kazi ya TLS na ya CDM awaachie CDM.
Kama bosi wa TLS anachopaswa kufanya ni kukemea kampeni kabla ya muda na hata kuchukua hatua za kisheria kama zipo.
Section 4Kwann au kwa section ipo
nilikuwa nataka ajibu huyo tai dune,kwann alisema kwamba Mwabukusi kwasasa harugusiwi kusema alichosemaSection 4
Tundu Lissu alipokuwa rais wa TLS aliacha siasa na kuongelea siasa?Ukiwa kiongozi wa Taasisi yoyote utakachoongea mbele ya hadhira kina reflect msimamo wa taasisi unayoiongoza ndo maana viongozi wa taasisi huwa hawaropoki wanalifahamu hilo.
CHADEMA NI MBOWE,NA FREEMAN NDIO CHADEMA.We jamaa maneno mengi lakini unashindwa kutambua kuwa MAJIMBO NI SERA YA CHADEMA na kiongozi yeyote atakayepeperusha bendera ya chama cha demokrasia na maendeleo ni lazima aifuate.
Kwa vile taarifa zimekufikia wewe basi utawajuza na wengineKwahiyo mama Abdul kavunja Sheria na sisi tuingie mtegoni? Mgombea wetu anapatikana Kwa mjibu wa Sheria au tuipindishe Sheria? Halafu hizo Njia nyingine mnazopitisha taarifa zenu ni za watu wachache hazitufikii Kwa wakati bado tupo insta, x, na Facebook
YametimiaAkizungumza kupitia mtandao wa ClubHouse, Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Boniface Mwabukusi, amesema;
Kama kuna walimu wanachanga hela kumchangia @SuluhuSamia kugombea kupitia CCM, sisi wengine tusio na upande ndani ya vyama lakini tunajua Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mkiti CHADEMA kuwa ni mweledi, na anafaa kuwa mgombea Urais kwa nchi hii, kwanini tusiandike maombi kwa CHADEMA tukiwaomba watupe Tundu Lissu ili tumnadi mbele ya Watanzania.
“Mimi ninataka kuuliza swali sitaki hata tuzunguke pembeni, kitu gani kinatuzuia watu wote wenye akili timamu kusema Tundu Lissu @TunduALissu ndiye mgombea wetu atakayeshika bendera kutuongoza sasa, kitu gani kinatuzuia kama siyo ubinafsi? Nani asiyejua kwamba Tundu Lissu ndiye mtu anayefaa kwa nafasi ile? Ni kwa sababu tu ya ubinafsi na biashara.
Mimi nilikuwa ninatarajia kusiwepo chama cha upinzani cha kwenda Zanzibar kule aachiwe ACT na kwa huku Bara aliyejitambua kidogo aachiwe nafasi awe CHADEMA, hao wengine wagawiwe vipande vidogovidogo kujiimarisha.
“Kwenye makundi yote ya kiharakati, yenye akili timamu tuanze kumnadi Tundu Lissu lakini ni ajabu hata CHADEMA @ChademaTz hili hawalioni, wanapiga tu danadana na nyinyi wadau na Wanachadema mpo hapa hamsemi ukweli kuwaambia viongozi wenu"
Mgombea urais wa upinzani anatakiwa walau awe na miezi 22 mpaka 23 ya kujinadi kabla ya tarehe ya uchaguzi.
— Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Boniface Mwabukusi.
Leo umepata wapi supu ya Makongoro asubuhi yote hii..😜😃😆😄Kumekucha 😂
Unaweza kukuta Chadema Wanataka kumuuzia mh February huo ugombea uRais kama walivyofanya 2015 🐼
Huyu rais wa wanasheria anashauri upinzani uvunje Sheria za uchaguzi au anamaanisha niniAkizungumza kupitia mtandao wa ClubHouse, Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Boniface Mwabukusi, amesema;
Kama kuna walimu wanachanga hela kumchangia @SuluhuSamia kugombea kupitia CCM, sisi wengine tusio na upande ndani ya vyama lakini tunajua Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mkiti CHADEMA kuwa ni mweledi, na anafaa kuwa mgombea Urais kwa nchi hii, kwanini tusiandike maombi kwa CHADEMA tukiwaomba watupe Tundu Lissu ili tumnadi mbele ya Watanzania.
“Mimi ninataka kuuliza swali sitaki hata tuzunguke pembeni, kitu gani kinatuzuia watu wote wenye akili timamu kusema Tundu Lissu @TunduALissu ndiye mgombea wetu atakayeshika bendera kutuongoza sasa, kitu gani kinatuzuia kama siyo ubinafsi? Nani asiyejua kwamba Tundu Lissu ndiye mtu anayefaa kwa nafasi ile? Ni kwa sababu tu ya ubinafsi na biashara.
Mimi nilikuwa ninatarajia kusiwepo chama cha upinzani cha kwenda Zanzibar kule aachiwe ACT na kwa huku Bara aliyejitambua kidogo aachiwe nafasi awe CHADEMA, hao wengine wagawiwe vipande vidogovidogo kujiimarisha.
“Kwenye makundi yote ya kiharakati, yenye akili timamu tuanze kumnadi Tundu Lissu lakini ni ajabu hata CHADEMA @ChademaTz hili hawalioni, wanapiga tu danadana na nyinyi wadau na Wanachadema mpo hapa hamsemi ukweli kuwaambia viongozi wenu"
Mgombea urais wa upinzani anatakiwa walau awe na miezi 22 mpaka 23 ya kujinadi kabla ya tarehe ya uchaguzi.
— Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Boniface Mwabukusi.
Kashaurije Sheria zivunjwe!?Huyu rais wa wanasheria anashauri upinzani uvunje Sheria za uchaguzi au anamaanisha nini