Pre GE2025 Boniface Mwabukusi: CCM wanamnadi Samia kama mgombea wao, nini kinawazuia Upinzani kumnadi Lissu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ajikite kufanya kazi ya TLS na ya CDM awaachie CDM.

Kama bosi wa TLS anachopaswa kufanya ni kukemea kampeni kabla ya muda na hata kuchukua hatua za kisheria kama zipo.
Hajasema akiwa Raisi hio , wanamzushia tu kumchafua
 
Unamnadi vipi wakati hujapata ridhaa ya Alwatani Kim Jong Mbowe? Patachimbika
 
Section 4
nilikuwa nataka ajibu huyo tai dune,kwann alisema kwamba Mwabukusi kwasasa harugusiwi kusema alichosema

Mimi nafahamu section 4 inaruhusu ,lakini yeye atuoneshe section ipi inamkataza mwabukusi
 
Ukiwa kiongozi wa Taasisi yoyote utakachoongea mbele ya hadhira kina reflect msimamo wa taasisi unayoiongoza ndo maana viongozi wa taasisi huwa hawaropoki wanalifahamu hilo.
Tundu Lissu alipokuwa rais wa TLS aliacha siasa na kuongelea siasa?

Any way kwani hata iki reflect, rais na wapambe wake hawajaanza kampeni kweli?
 
Kwahiyo mama Abdul kavunja Sheria na sisi tuingie mtegoni? Mgombea wetu anapatikana Kwa mjibu wa Sheria au tuipindishe Sheria? Halafu hizo Njia nyingine mnazopitisha taarifa zenu ni za watu wachache hazitufikii Kwa wakati bado tupo insta, x, na Facebook
 
We jamaa maneno mengi lakini unashindwa kutambua kuwa MAJIMBO NI SERA YA CHADEMA na kiongozi yeyote atakayepeperusha bendera ya chama cha demokrasia na maendeleo ni lazima aifuate.
CHADEMA NI MBOWE,NA FREEMAN NDIO CHADEMA.
Vinaenda MTAWALIA.
Huna Cha kunifunza bwamdogo!
 
Vyama vikiungana wanaweza kufanya jambo ila ubaya ni kua vyama vingine ni matawi ya chama tawala hawawezi fanikisha hilo.

Na wengine wana uroho wa madaraka mbaya mbovu wanataka wawe wao tu.

Na kingine utofauti wa sera kati ya chama na chama.
 
Kwa vile taarifa zimekufikia wewe basi utawajuza na wengine
 
Chadema huwa haturudii mgombea mara mbili, safari hii tunaenda na Halima mdee.
 
Yametimia

The lone wolf is barking rhymes

Mpaka Mseme
 
Huyu rais wa wanasheria anashauri upinzani uvunje Sheria za uchaguzi au anamaanisha nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…