Boniface Mwamposa rekebisha tangazo lako la kugawa mafuta bure, mafuta tunanunua

Sindano yangu imepenya Mifupani.
 
Haiwezekani uwe na waumini wengi vile na sadaka zao zote wanazokupa haujajenga kanisa hata zahanati Wala shule. Wanaosali kwa Mwamposa wamechagua maisha ya ajabu sana. Nota Bene: huu ni mtazamo wangu binafsi sitaki majungu.
Akijenga shule mnalalamika kuwa amejenga kwa pesa zetu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Tuliza hiyo kitu yako aiseee nikitolewa utapata dona ukale na umpendaye?
Admin hana akili kama zako.
Mkielezwa ukweli mnaanza kulialia.
Ila mkuu kashfa ulizotoa na matusi siyo sawa futa haya matusi mkuu uwez mlala member hapa na mama ake umefika mbali Sana kwa Hilo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo imani mnaiweka kwenye kukanyaga mafuta, kwa mwamposa au kwa nani? maana kwenye haya maswala ya imani inabidi tuwekane sawa watu wasije kujikuta wamepigwa.
 
Kwa hiyo imani mnaiweka kwenye kukanyaga mafuta, kwa mwamposa au kwa nani? maana kwenye haya maswala ya imani inabidi tuwekane sawa watu wasije kujikuta wamepigwa.
Imani tunaweka kwenye mafuta ambayo ameombea na nabii

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hilo tangazo ni la kuwaokota ili muende...na sijui sasa unalalamika nini na hapo tayari unamtambua kama Nabii siju Mtumishi n.k...kubali tu kila unachokutana nacho.

Mimi ninachoamini ni kuwa wanachowazidi wengine hao ni uwezo tu wa kuongea maneno mengi...sifa ambazo hata Madalali wengi wanazo...zaidi ya hapo yeye ni kama wewe tu hakuna baraka zozote mnapewa hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…