Boniface Mwamposa rekebisha tangazo lako la kugawa mafuta bure, mafuta tunanunua

Boniface Mwamposa rekebisha tangazo lako la kugawa mafuta bure, mafuta tunanunua

Haiwezekani watu elf20000 kwa ibada moja wawe wajinga jmn haiwezekani Ni Kweli Kuna ujinga ila siyo sawa watu elf 20000 kuwa wajinga Ni vyema kujizalimisha kwa mwamposa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Je lile nyomi la kakobe na lusekelo Mzee wa jibapa vp waumini wao walikuwa wajinga
 
Je lile nyomi la kakobe na lusekelo Mzee wa jibapa vp waumini wao walikuwa wajinga
Hawakuwa wajinga hata ,siku moja nilimsindikiza mtu kanisa la efata mwenge pale nilikuta nyomi mbaya mbovu Sasa unajiuliza Ni kwamba watu Ni wajinga au Kuna kitu wahumini wanafanyiwa mnk nyomi la mwamposa la kuhani Musa Bado mwingira .Ni balaha

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wanasema ogopa Sana kundi la watu wajinga
Ila pia Kuna watu wanajinazibisha kuwa wao Ni wakatoliki kindakindanki au walutheri original hawatetereahwi Wala kuyumbishwa na imani hawayumbishwi ila Cha kusikitisha Ni kuwa mapadri na wachungaji wao ndio waongoza kwa ulawiti na uchawi imani hz tuwe makini mno

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Uwe tu na akili ya kuchuja. Kama kuna ambavyo havipo sawa unavifumbia macho utapelekeshwa sana.
 
Wew mwenyewe una matatizo ya akili tatizo hujijui ipo siku utaletwa pale , na hakika utatoa ushuhuda wako

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Haiwezekani uwe na waumini wengi vile na sadaka zao zote wanazokupa haujajenga kanisa hata zahanati Wala shule. Wanaosali kwa Mwamposa wamechagua maisha ya ajabu sana. Nota Bene: huu ni mtazamo wangu binafsi sitaki majungu.
 
Haiwezekani uwe na waumini wengi vile na sadaka zao zote wanazokupa haujajenga kanisa hata zahanati Wala shule. Wanaosali kwa Mwamposa wamechagua maisha ya ajabu sana. Nota Bene: huu ni mtazamo wangu binafsi sitaki majungu.
Yule tapeli Kama matapeli Wengine tu
 
WhatsApp Image 2022-09-29 at 2.16.23 AM.jpeg
 
Kwako Mtume na nabii Boniface mwamposa naomba sana sana urekebishe tangazo lako la kwenye radio kwani lmeleta upotoshaji mkubwa Sana ,unasema nanukuu.

"Mtume atagawa mafuta bureee kabisa", wakiti siyo Kweli maji na mafuta yanauzwa tena wauzaji wana kiburi sana kinachopatikan pale bure ni keki tu

Sina shida na wew kbsa ila unaleta taharuki mtu anatoka huko mkoani au hapa hapa DSM anakuja unamleta pale alfu anafika anajuwa kbsa kuwa mafuta Ni bure na tangazo amelisikia vzr kuwa mtume atagawa mafuta na maji buree wkt kiuhalisia maji na mafuta yanauzwa elf 1000.

Hili linakuaribia sana kwani watu wanasikia matangazo yako wanamiminika kanisani kwako wakifika pale maskni hawana hela za kununua mafuta tunaishia kugawana mafuta na hii hutokea Mara nyingi ktk siku za kuganyaga mafuta siyo sawa naomba utoe hicho kipengele Cha kugawa mafuta bure kwani hatupewi na tunajibiwa vby na wauuza mafuta.

@yakodaya

Baada ya kusema hayo nawasilisha

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mjumbe hauawi
 
Back
Top Bottom