Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Alikuita hvyo kwa sababu umecommet ujinga ndio maana akasema apakwe wew mafuta
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hili andiko umelitoa wapi, unawekaje imani kwenye mafuta!? basi hiyo itakuwa siyo imani ya Kikristo. Maana imani ya Kikristo inakuhitaji uweke imani kwa Kristo mwenyewe na kwa damu yake.Imani tunaweka kwenye mafuta ambayo ameombea na nabii
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Brzaa fanya kuudhuria siku moja nyie wakatoliki na walutheri mnajidai Sana kuwa hamuwezi Kuja Huk u kwa Dr mwamposa wkt in reality nyinyi ndio mmejazana viti vya mbeleHilo tangazo ni la kuwaokota ili muende...na sijui sasa unalalamika nini na hapo tayari unamtambua kama Nabii siju Mtumishi n.k...kubali tu kila unachokutana nacho.
Mimi ninachoamini ni kuwa wanachowazidi wengine hao ni uwezo tu wa kuongea maneno mengi...sifa ambazo hata Madalali wengi wanazo...zaidi ya hapo yeye ni kama wewe tu hakuna baraka zozote mnapewa hapo.
Imani ipo katk kristo na kukiri imani ya kikiristo iyondoleayo ondoleo la dhambi ,imani ya mitume pia ipo nayo pia tunakiri ila kweny mafuta Ni ziada tu ktk imaniHili andiko umelitoa wapi, unawekaje imani kwenye mafuta!? basi hiyo itakuwa siyo imani ya Kikristo. Maana imani ya Kikristo inakuhitaji uweke imani kwa Kristo mwenyewe na kwa damu yake.
Sas ndio kumjibu kwa kumlala na mama ake Kweli mbna wew Ni member mwandamizi inakuaje unajibu Kama watot wa fom 4 mkuiNa mm nimeandika kujibu alichoandika.
Tuliza ball.
Siwezi kuja huko mimi.Brzaa fanya kuudhuria siku moja nyie wakatoliki na walutheri mnajidai Sana kuwa hamuwezi Kuja Huk u kwa Dr mwamposa wkt in reality nyinyi ndio mmejazana viti vya mbele
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Brzaa fanya kuudhuria siku moja nyie wakatoliki na walutheri mnajidai Sana kuwa hamuwezi Kuja Hulu kwa Dr mwamposa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kutafunwa kwa mwamposa tena! hawezi bhna kutafunwa ukosiku akitafunwa hatokwambia hakika......acheni upuuzi bana....
Kwa hiyo imani katika Kristo au kwa damu yake hakuwezi kukuponya magonjwa hadi ukakanyage mafuta ya mwamposa?Imani ipo katk kristo na kukiri imani ya kikiristo iyondoleayo ondoleo la dhambi ,imani ya mitume pia ipo nayo pia tunakiri ila kweny mafuta Ni ziada tu ktk imani
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sijaweka I'mani ktk mafuta ,mafuta Ni ziada tu katk I'mani mkuu iko hvyo mwamposa anajuwa kuhubiri na kuijenga hoja tatizo hamumsikilizi kbs mnakaha kumjengea propanda kuwa Ni tapeli bill kujumjuwa Wala kumfailiaa vzr Dr mwamposaSoma maandiko, hata manabii wa uongo nao watafanya ishara na maajabu hadi kuwapotosha wateule hadi kushusha moto kutoka juu, tatizo watu mnapelekwapelekwa kama nyumbu bila kudadisi maandiko yanasema kitu gani. Kuweka imani kwenye mafuta tu tayari ni kosa la kiufundi hasa kama unaamini wewe ni mkristo.
Sas hapo Ni lzm utumie hat juice hiz nyekundu ,fruto zile ili utumie Kama damu ya yesu kristo Ni Kama mfno wa damu ya yesu so so lazm uone damu ya yesu Ila utamia fruto nyekundu ili unapotaja damu ya yesu iambatane nayoKwa hiyo imani katika Kristo au kwa damu yake hakuwezi kukuponya magonjwa hadi ukakanyage mafuta ya mwamposa?
Wakristo tunayetakiwa kumjua ni Mungu Mwenyezi kwa njia ya Yesu Kristo na neno lake, hii ya kuweka imani kwenye mafuta na mwamposa itakuwa tofauti.Sijaweka I'mani ktk mafuta ,mafuta Ni ziada tu katk I'mani mkuu iko hvyo mwamposa anajuwa kuhubiri na kuijenga hoja tatizo hamumsikilizi kbs mnakaha kumjengea propanda kuwa Ni tapeli bill kujumjuwa Wala kumfailiaa vzr Dr mwamposa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Bas mfatilie online mzee wa upako au ukishindwa tizama tv Azam TV channel ya arise and shine utampenda mtume na nabii Dr mwamposaSiwezi kuja huko mimi.
Kwa hiyo mwamposa anabadili mafuta kuwa damu ya Yesu?Sas hapo Ni lzm utumie hat juice hiz nyekundu ,fruto zile ili utumie Kama damu ya yesu kristo Ni Kama mfno wa damu ya yesu so so lazm uone damu ya yesu Ila utamia fruto nyekundu ili unapotaja damu ya yesu iambatane nayo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Bas arekebishe eneo Hilo kwa kuwa maji yatapatikana kwa shiling 1000 mtume hagawi majiLabda anamaanisha bei unayonunulia maji ni ile bei ya maji ya kawaida, kwa yeye hajaweka faida
Saw ila Pata muda failia vzr mahubiri yake ,mfno ukamuona mwanao anaenda kwa mwamposa na mwingine haenddi kbsa lbda anapenda story za waganga na anawaamini je utampenda mtot yupi Zaid katk ya hao wawili ?Wakristo tunayetakiwa kumjua ni Mungu Mwenyezi kwa njia ya Yesu Kristo na neno lake, hii ya kuweka imani kwenye mafuta na mwamposa itakuwa tofauti.
Unavyo pakaa unatakiwa pia utamke pia kwa damu ya yesu ila umeshika maji au mafuta so unatamka huku lbda umeshika damuKwa hiyo mwamposa anabadili mafuta kuwa damu ya Yesu?
Kwenda kwenye imani potofu inayoendeshwa na nabii wa uwongo na kwenda kwa kalimanzila ni kitu kilekile..Saw ila Pata muda failia vzr mahubiri yake ,mfno ukamuona mwanao anaenda kwa mwamposa na mwingine haenddi kbsa lbda anapenda story za waganga na anawaamini je utampenda mtot yupi Zaid katk ya hao wawili ?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo viwakilishi vya damu ya Yesu ni hayo mafuta na maji?Unavyo pakaa unatakiwa pia utamke pia kwa damu ya yesu ila umeshika maji au mafuta so unatamka huku lbda umeshika damu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app