Boniface Mwamposa rekebisha tangazo lako la kugawa mafuta bure, mafuta tunanunua

Brzaa fanya kuudhuria siku moja nyie wakatoliki na walutheri mnajidai Sana kuwa hamuwezi Kuja Huk u kwa Dr mwamposa wkt in reality nyinyi ndio mmejazana viti vya mbele

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hili andiko umelitoa wapi, unawekaje imani kwenye mafuta!? basi hiyo itakuwa siyo imani ya Kikristo. Maana imani ya Kikristo inakuhitaji uweke imani kwa Kristo mwenyewe na kwa damu yake.
Imani ipo katk kristo na kukiri imani ya kikiristo iyondoleayo ondoleo la dhambi ,imani ya mitume pia ipo nayo pia tunakiri ila kweny mafuta Ni ziada tu ktk imani

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Brzaa fanya kuudhuria siku moja nyie wakatoliki na walutheri mnajidai Sana kuwa hamuwezi Kuja Hulu kwa Dr mwamposa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Soma maandiko, hata manabii wa uongo nao watafanya ishara na maajabu hadi kuwapotosha wateule hadi kushusha moto kutoka juu, tatizo watu mnapelekwapelekwa kama nyumbu bila kudadisi maandiko yanasema kitu gani. Kuweka imani kwenye mafuta tu tayari ni kosa la kiufundi hasa kama unaamini wewe ni mkristo.​
 
Imani ipo katk kristo na kukiri imani ya kikiristo iyondoleayo ondoleo la dhambi ,imani ya mitume pia ipo nayo pia tunakiri ila kweny mafuta Ni ziada tu ktk imani

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo imani katika Kristo au kwa damu yake hakuwezi kukuponya magonjwa hadi ukakanyage mafuta ya mwamposa?
 
Sijaweka I'mani ktk mafuta ,mafuta Ni ziada tu katk I'mani mkuu iko hvyo mwamposa anajuwa kuhubiri na kuijenga hoja tatizo hamumsikilizi kbs mnakaha kumjengea propanda kuwa Ni tapeli bill kujumjuwa Wala kumfailiaa vzr Dr mwamposa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo imani katika Kristo au kwa damu yake hakuwezi kukuponya magonjwa hadi ukakanyage mafuta ya mwamposa?
Sas hapo Ni lzm utumie hat juice hiz nyekundu ,fruto zile ili utumie Kama damu ya yesu kristo Ni Kama mfno wa damu ya yesu so so lazm uone damu ya yesu Ila utamia fruto nyekundu ili unapotaja damu ya yesu iambatane nayo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wakristo tunayetakiwa kumjua ni Mungu Mwenyezi kwa njia ya Yesu Kristo na neno lake, hii ya kuweka imani kwenye mafuta na mwamposa itakuwa tofauti.
 
Labda anamaanisha bei unayonunulia maji ni ile bei ya maji ya kawaida, kwa yeye hajaweka faida
 
Kwa hiyo mwamposa anabadili mafuta kuwa damu ya Yesu?
 
Wakristo tunayetakiwa kumjua ni Mungu Mwenyezi kwa njia ya Yesu Kristo na neno lake, hii ya kuweka imani kwenye mafuta na mwamposa itakuwa tofauti.
Saw ila Pata muda failia vzr mahubiri yake ,mfno ukamuona mwanao anaenda kwa mwamposa na mwingine haenddi kbsa lbda anapenda story za waganga na anawaamini je utampenda mtot yupi Zaid katk ya hao wawili ?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwenda kwenye imani potofu inayoendeshwa na nabii wa uwongo na kwenda kwa kalimanzila ni kitu kilekile..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…