Mkuu niishilie Happ kwa vile sijuinsana ila nina I'mani na mwamposaKwa hiyo mwamposa anabadili mafuta kuwa damu ya Yesu?
Bora huyu anayepotosha kwa njia isipoendwa na wengiKwenda kwenye imani potofu inayoendeshwa na nabii wa uwongo na kwenda kwa kalimanzila ni kitu kilekile..
Kulikuwa na haja gani ya kumwaga mafuta watu wakakanyagana na kufa kule moshi, kuna kitu hakiko sawa mahali....wewe endelea tu kuweka imani kwa mwamposa ni uamuzi wako binafsi.Bora huyu anayepotosha kwa njia isipoendwa na wengi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Usinipangie cha kumjibu.Sas ndio kumjibu kwa kumlala na mama ake Kweli mbna wew Ni member mwandamizi inakuaje unajibu Kama watot wa fom 4 mkui
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hiyo ni false advertising, kwa mwanasheria anaweza pata ulaji kwa kumshtaki.Kwako Mtume na nabii Boniface mwamposa naomba sana sana urekebishe tangazo lako la kwenye radio kwani lmeleta upotoshaji mkubwa Sana ,unasema nanukuu.
"Mtume atagawa mafuta bureee kabisa", wakiti siyo Kweli maji na mafuta yanauzwa tena wauzaji wana kiburi sana kinachopatikan pale bure ni keki tu
Sina shida na wew kbsa ila unaleta taharuki mtu anatoka huko mkoani au hapa hapa DSM anakuja unamleta pale alfu anafika anajuwa kbsa kuwa mafuta Ni bure na tangazo amelisikia vzr kuwa mtume atagawa mafuta na maji buree wkt kiuhalisia maji na mafuta yanauzwa elf 1000.
Hili linakuaribia sana kwani watu wanasikia matangazo yako wanamiminika kanisani kwako wakifika pale maskni hawana hela za kununua mafuta tunaishia kugawana mafuta na hii hutokea Mara nyingi ktk siku za kuganyaga mafuta siyo sawa naomba utoe hicho kipengele Cha kugawa mafuta bure kwani hatupewi na tunajibiwa vby na wauuza mafuta.
@yakodaya
Baada ya kusema hayo nawasilisha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hayo mafuta yanasaidia nini?Kwako Mtume na nabii Boniface mwamposa naomba sana sana urekebishe tangazo lako la kwenye radio kwani lmeleta upotoshaji mkubwa Sana ,unasema nanukuu.
"Mtume atagawa mafuta bureee kabisa", wakiti siyo Kweli maji na mafuta yanauzwa tena wauzaji wana kiburi sana kinachopatikan pale bure ni keki tu
Sina shida na wew kbsa ila unaleta taharuki mtu anatoka huko mkoani au hapa hapa DSM anakuja unamleta pale alfu anafika anajuwa kbsa kuwa mafuta Ni bure na tangazo amelisikia vzr kuwa mtume atagawa mafuta na maji buree wkt kiuhalisia maji na mafuta yanauzwa elf 1000.
Hili linakuaribia sana kwani watu wanasikia matangazo yako wanamiminika kanisani kwako wakifika pale maskni hawana hela za kununua mafuta tunaishia kugawana mafuta na hii hutokea Mara nyingi ktk siku za kuganyaga mafuta siyo sawa naomba utoe hicho kipengele Cha kugawa mafuta bure kwani hatupewi na tunajibiwa vby na wauuza mafuta.
@yakodaya
Baada ya kusema hayo nawasilisha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
siku akija na mafuta na hukumpa hela .......subiri manyoya...Kutafunwa kwa mwamposa tena! hawezi bhna kutafunwa uko
Nimemtuma anijie na mafuta lkn badala yake walimnyima na kuja na maji tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Bora huyu anayepotosha kwa njia isipoendwa na wengi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sawa Babu lkn siyo sawa Babu mtu mzima Kama wewe utoe maneno hayo adharani au ujalipwa pesion zako nnn au na una frasturation zako nn babu zinakusumbua Kia's utukane Kia's hikiUsinipangie cha kumjibu.
Kwani mama yake ni nani.
Ww hujui kuwa mm ni mstaafu age yangu iko above 60+?
Kwa hyo nimfikishe mahakamani nn nitapiga helaHiyo ni false advertising, kwa mwanasheria anaweza pata ulaji kwa kumshtaki.
Anasomeka bhanHawa wachungaji dizaini kina Mwamposa sijawahi waelewa kabisa