Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
Uko frustrated sana mkuu, kila kitu unakijua wewe tuNinachojua 99% ya Wanaosali Kwake ( Waumini ) wana Matatizo makubwa ya Akili na Milembe Hospital inawasubiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko frustrated sana mkuu, kila kitu unakijua wewe tuNinachojua 99% ya Wanaosali Kwake ( Waumini ) wana Matatizo makubwa ya Akili na Milembe Hospital inawasubiri.
Ukienda dukani ukatoa buku halafu ukapewa maji au mafuta utakuja hapa kulalamika kwamba umeibiwa?Hkn babu maji pia yanauzwa mkuu bure pale Ni keki tu na karatas za kuganyaga mafuta
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Akili kisoda, takataka.Ninachojua 99% ya Wanaosali Kwake ( Waumini ) wana Matatizo makubwa ya Akili na Milembe Hospital inawasubiri.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa yale mafuta aliyotumia kahaba ndio hayo anatumia Mwamposa?Mafuta Ni ibda na yalikuepo toka enz na enzi unamkumbuka yule kahaba alimpaka yesu mafuta nyumbani kwa zakayo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Unaonaje ukipakwa nawewe uache umalaya na ufukara ukutoke?Kama kuna mafuta na maji ya upako wayapake mashoga na wadangaji waache kuliwa hovyo ndio nitaelewa kidogo.
Mtu akienda apate pesa anapata?
Ahsante,naona bora ni park comment yangu, yule dictator wa pale Rwanda 🇷🇼 kwa hili nampongeza aliona mbali sana
Ni kweli mm malaya maana nilikunyandua ww.Unaonaje ukipakwa nawewe uache umalaya na ufukara ukutoke?
Hata unavyoukatikiaga vizuri Mkurudungu wa Mumeo ( Basha ) wako najua pia.Uko frustrated sana mkuu, kila kitu unakijua wewe tu
Kama Wewe na Nyie Mwamposa's Foolish Disciples.Akili kisoda, takataka.
Mmwamposaa ni tapeli tu, siku mtakayokuja kushtuka ni too late,Kwako Mtume na nabii Boniface mwamposa naomba sana sana urekebishe tangazo lako la kwenye radio kwani lmeleta upotoshaji mkubwa Sana ,unasema nanukuu.
"Mtume atagawa mafuta bureee kabisa", wakiti siyo Kweli maji na mafuta yanauzwa tena wauzaji wana kiburi sana kinachopatikan pale bure ni keki tu
Sina shida na wew kbsa ila unaleta taharuki mtu anatoka huko mkoani au hapa hapa DSM anakuja unamleta pale alfu anafika anajuwa kbsa kuwa mafuta Ni bure na tangazo amelisikia vzr kuwa mtume atagawa mafuta na maji buree wkt kiuhalisia maji na mafuta yanauzwa elf 1000.
Hili linakuaribia sana kwani watu wanasikia matangazo yako wanamiminika kanisani kwako wakifika pale maskni hawana hela za kununua mafuta tunaishia kugawana mafuta na hii hutokea Mara nyingi ktk siku za kuganyaga mafuta siyo sawa naomba utoe hicho kipengele Cha kugawa mafuta bure kwani hatupewi na tunajibiwa vby na wauuza mafuta.
@yakodaya
Baada ya kusema hayo nawasilisha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
subiria matusi toka kwa mifugo yake😂Ninachojua 99% ya Wanaosali Kwake ( Waumini ) wana Matatizo makubwa ya Akili na Milembe Hospital inawasubiri.
Ona hili jinga lake!!!!Nyie nao bana...yaani kabisa mafuta upewe bure?? Yeye anayapata bure?
Lile ni tapeli tuKwanza ayo maombi ya huyo jamaa ni ya kweli au nitapeli? Tuwekwe wazi juu ya hili
Basi samahani mkuu.Hata unavyoukatikiaga vizuri Mkurudungu wa Mumeo ( Basha ) wako najua pia.
Umeshaambiwa ( Umesikia ) kuwa Mimi MINOCYCLINE ni 'Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person' nitaachaje kuwa Mjuaji wa kila Kitu?
Kwa mfano tokea Jumatatu ( Juzi ) kwa Kujiamini kabisa ( kama Kawaida yangu ) nilianzisha Uzi nikisema kuwa Ally Kamwe ndiyo anaenda kuwa Msemaji Mkuu wa Yanga SC Je, jana hakutangazwa Yeye kama nilivyosema Juzi?
Pumbavu.
Hasara inatoka wapi wakati wajinga wengi?Biashara ya kanisa haina hasara!
Wengi wao wanatoka mbagaraNinachojua 99% ya Wanaosali Kwake ( Waumini ) wana Matatizo makubwa ya Akili na Milembe Hospital inawasubiri.