Boniface Mwamposa rekebisha tangazo lako la kugawa mafuta bure, mafuta tunanunua


Ujinga tu, hiyo biblia inayoongelea uponyaji inasema “mmepata bure toeni bure” - mambo ya kijinga kabisa kuamini huu ujinga watumishi hewa!
 
Bei ya mafuta kwa mwamposa

1000 tsh. Tu assume wamenunua watu

20,000 x1,000=20,000,000 per day

Akipiga siku zake mbili za weekend.

Gharama za hayo mafuta na kila kitu toa 5,000,000

Kwa wiki akipiga milion 35,000,00
Kwa mwezi ana 140,000,000 tsh.

Mjini akili tu na mipango......
 
Kwa hoyo mnanunua mafuta na hamuombewi sio?
 
Hpn mkuu siyo kweli

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Acha ubishi.ile Ni korie ilowekwa mzaituni kidogo.unajua mafuta ya mzaituni yalivo adimu na ghali wewe?unajua bei yake?
Extra virgin olive oil unajua chupa ya Lita tu inauzwaje?
Then Huyo mwamposa anunue madumu ya kutosha awamwagie pale myakanyage?
Anayatoa wapi ?
 
Kwani kuna mtu aliwatuma muende huko? si kiherehere chenu na kutokujielewa kwenu? mnajua kabisa jitu sanii linafanya biashara bado mnajipeleka tu, na bado awakamue kabisa mpaka damu nyambaff
 
Uongo milioni 6 hpn acha uzushi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…