HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Aliwe mwingine ,uumie wewe usiyeliwaKama kuna mafuta na maji ya upako wayapake mashoga na wadangaji waache kuliwa hovyo ndio nitaelewa kidogo.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliwe mwingine ,uumie wewe usiyeliwaKama kuna mafuta na maji ya upako wayapake mashoga na wadangaji waache kuliwa hovyo ndio nitaelewa kidogo.
Wewe ni wale waleSiyo sawa mzee ukibanwa vzr mbn utaenda vzr tu ungenijuwa vzr walai usingesema hayo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwako Mtume na nabii Boniface mwamposa naomba sana sana urekebishe tangazo lako la kwenye radio kwani lmeleta upotoshaji mkubwa Sana ,unasema nanukuu.
"Mtume atagawa mafuta bureee kabisa", wakiti siyo Kweli maji na mafuta yanauzwa tena wauzaji wana kiburi sana kinachopatikan pale bure ni keki tu
Sina shida na wew kbsa ila unaleta taharuki mtu anatoka huko mkoani au hapa hapa DSM anakuja unamleta pale alfu anafika anajuwa kbsa kuwa mafuta Ni bure na tangazo amelisikia vzr kuwa mtume atagawa mafuta na maji buree wkt kiuhalisia maji na mafuta yanauzwa elf 1000.
Hili linakuaribia sana kwani watu wanasikia matangazo yako wanamiminika kanisani kwako wakifika pale maskni hawana hela za kununua mafuta tunaishia kugawana mafuta na hii hutokea Mara nyingi ktk siku za kuganyaga mafuta siyo sawa naomba utoe hicho kipengele Cha kugawa mafuta bure kwani hatupewi na tunajibiwa vby na wauuza mafuta.
@yakodaya
Baada ya kusema hayo nawasilisha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwa hoyo mnanunua mafuta na hamuombewi sio?Kwako Mtume na nabii Boniface mwamposa naomba sana sana urekebishe tangazo lako la kwenye radio kwani lmeleta upotoshaji mkubwa Sana ,unasema nanukuu.
"Mtume atagawa mafuta bureee kabisa", wakiti siyo Kweli maji na mafuta yanauzwa tena wauzaji wana kiburi sana kinachopatikan pale bure ni keki tu
Sina shida na wew kbsa ila unaleta taharuki mtu anatoka huko mkoani au hapa hapa DSM anakuja unamleta pale alfu anafika anajuwa kbsa kuwa mafuta Ni bure na tangazo amelisikia vzr kuwa mtume atagawa mafuta na maji buree wkt kiuhalisia maji na mafuta yanauzwa elf 1000.
Hili linakuaribia sana kwani watu wanasikia matangazo yako wanamiminika kanisani kwako wakifika pale maskni hawana hela za kununua mafuta tunaishia kugawana mafuta na hii hutokea Mara nyingi ktk siku za kuganyaga mafuta siyo sawa naomba utoe hicho kipengele Cha kugawa mafuta bure kwani hatupewi na tunajibiwa vby na wauuza mafuta.
@yakodaya
Baada ya kusema hayo nawasilisha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Acha ubishi.ile Ni korie ilowekwa mzaituni kidogo.unajua mafuta ya mzaituni yalivo adimu na ghali wewe?unajua bei yake?
Nadhani tatizo ni kutangaza yanapatikana bureHayo maji unadhani yanapatikana wapi ili upewe bure? Hapo unakuwa umelipia kama unavyoyalipia ukienda dukani.
Na wavaa dera wa Temeke ni wahudhuriaji waaminifu sana.
Wewe sio mwafrika?Ila watu wajinga jamani.
Afrika ni dark Continent
Maji ya Tshs 600 yanauzwa Tsh 1000
Ukiwa na akili hizi hata mwenzio akifanyiwa kitendo ambacho kwa asili cha kiungwana huwezi kusema.
Uongo milioni 6 hpn acha uzushibuku haitoshi kaka. tunataka kuanzia elfu kumi kama hadi buku ya mafuta unalalamika Jumapili kasali kwa Paroko wako tu, nitakuruisha pale mlangoni kabisa. Mimi naendesha radio nchi nzima, Tv nalipa posho wafanyakazi alafu unakuja na buku wakati lile eneo tu nalipia million 6 kila mwezi haupo seriously.
Wee c mwerevu mkuuZamani mtu mjinga tulikuwa tukimuita mgoroko.