Je lile nyomi la kakobe na lusekelo Mzee wa jibapa vp waumini wao walikuwa wajingaHaiwezekani watu elf20000 kwa ibada moja wawe wajinga jmn haiwezekani Ni Kweli Kuna ujinga ila siyo sawa watu elf 20000 kuwa wajinga Ni vyema kujizalimisha kwa mwamposa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Afu wanatembea miguu hadi Moroco kupata gariNa wavaa dera wa Temeke ni wahudhuriaji waaminifu sana.
Ndio huwa mnadanganywa? Yale ni mafuta ya alzeti
Na mnasemaSas kwanin asipate pesa na anamtumikia mungu lzm apate pesa ndefu haswa uwez kuwa fukara huku unalitaja jina la mungu kila siku kila saa lzm utajirike Mkuu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hawakuwa wajinga hata ,siku moja nilimsindikiza mtu kanisa la efata mwenge pale nilikuta nyomi mbaya mbovu Sasa unajiuliza Ni kwamba watu Ni wajinga au Kuna kitu wahumini wanafanyiwa mnk nyomi la mwamposa la kuhani Musa Bado mwingira .Ni balahaJe lile nyomi la kakobe na lusekelo Mzee wa jibapa vp waumini wao walikuwa wajinga
Mno
Uwe tu na akili ya kuchuja. Kama kuna ambavyo havipo sawa unavifumbia macho utapelekeshwa sana.Wanasema ogopa Sana kundi la watu wajinga
Ila pia Kuna watu wanajinazibisha kuwa wao Ni wakatoliki kindakindanki au walutheri original hawatetereahwi Wala kuyumbishwa na imani hawayumbishwi ila Cha kusikitisha Ni kuwa mapadri na wachungaji wao ndio waongoza kwa ulawiti na uchawi imani hz tuwe makini mno
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sasa si ndio kazi ya mafuta kuondoa mapooza.Wee ulianza kukoment mwaNzo kuwa mafuta yatumike kuponya mashoga na wadangaji je Ni saw Hilo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mmmh unataka kujenga hoja ila kwa bahat mbay haikubalikiSasa si ndio kazi ya mafuta kuondoa mapooza.
Ushoga ni ugonjwa kama kisukari wewe hujui hilo?
Kwako ww haikubaliki,tuambie sasa kazi ya hayo mafuta special ya Mwamposa?Mmmh unataka kujenga hoja ila kwa bahat mbay haikubaliki
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Haiwezekani uwe na waumini wengi vile na sadaka zao zote wanazokupa haujajenga kanisa hata zahanati Wala shule. Wanaosali kwa Mwamposa wamechagua maisha ya ajabu sana. Nota Bene: huu ni mtazamo wangu binafsi sitaki majungu.Wew mwenyewe una matatizo ya akili tatizo hujijui ipo siku utaletwa pale , na hakika utatoa ushuhuda wako
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu, lakini kumbuka nabii akosolewi maana Ni mtakatifuSijaona utapeli wa mwamposa mpk sas hakuna na uwezi dhibitisha utapeli wake mm nasema Ni mtume na nabii haswaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Yule tapeli Kama matapeli Wengine tuHaiwezekani uwe na waumini wengi vile na sadaka zao zote wanazokupa haujajenga kanisa hata zahanati Wala shule. Wanaosali kwa Mwamposa wamechagua maisha ya ajabu sana. Nota Bene: huu ni mtazamo wangu binafsi sitaki majungu.
Kweli kabisaNinachojua 99% ya Wanaosali Kwake ( Waumini ) wana Matatizo makubwa ya Akili na Milembe Hospital inawasubiri.
Kuna watu wamenda nasubr nione kama watapata izo pesa
Mjumbe hauawiKwako Mtume na nabii Boniface mwamposa naomba sana sana urekebishe tangazo lako la kwenye radio kwani lmeleta upotoshaji mkubwa Sana ,unasema nanukuu.
"Mtume atagawa mafuta bureee kabisa", wakiti siyo Kweli maji na mafuta yanauzwa tena wauzaji wana kiburi sana kinachopatikan pale bure ni keki tu
Sina shida na wew kbsa ila unaleta taharuki mtu anatoka huko mkoani au hapa hapa DSM anakuja unamleta pale alfu anafika anajuwa kbsa kuwa mafuta Ni bure na tangazo amelisikia vzr kuwa mtume atagawa mafuta na maji buree wkt kiuhalisia maji na mafuta yanauzwa elf 1000.
Hili linakuaribia sana kwani watu wanasikia matangazo yako wanamiminika kanisani kwako wakifika pale maskni hawana hela za kununua mafuta tunaishia kugawana mafuta na hii hutokea Mara nyingi ktk siku za kuganyaga mafuta siyo sawa naomba utoe hicho kipengele Cha kugawa mafuta bure kwani hatupewi na tunajibiwa vby na wauuza mafuta.
@yakodaya
Baada ya kusema hayo nawasilisha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ko unasemaje ni nabii wa kweli na unamwita tapeliSasa kwann atangaze kuwa Ni bure wit siyo Kweli huo tukisema tapeli atabisha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app