Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duhh mzee uko serioussaizi mafuta yameadimika sana naskia vijana wanapigia punyeto
Nin kimetokeaaMtumeee kuna muujizaa hukuuu .......
Sas si hyo hyo buku natoa sadakmwenyewe hataki masikini waende hapo maana kama elfu moja ya mafuta unalalamika hata sadaka hutakuwa nayo, ni bora tu usiende Aisee
Ni ukweli mtupuKwanza ayo maombi ya huyo jamaa ni ya kweli au nitapeli? Tuwekwe wazi juu ya hili
Tunapeleka kero yangu Ni kwanin adanganye kuwa anatoa bure kumbe sihvyoKwa hiyo hata sadaka hampeleki? Maana kama unalalamikia buku ya mafuta ina maana sadaka huwa hampeleki sasa...na kwani unaenda kusali mara moja tu na haurudi tena? Kama ukikuta jumapili hii wanauza si unaacha kuchukua unachukua jumapili ijayo kwakuwa unakuwa umeshajua wanauza?
Hpn mam d unajinunulia tuIbadani hamgawiwi bure?
Shuhuda mbalimbali zinazotolewa na Zaid anajuwa kukitafakar Sana neno la munguNi kitu gani kinachokuaminisha kuwa maombi yake ni kweli?
Sasa kwann atangaze kuwa Ni bure wit siyo Kweli huo tukisema tapeli atabishaHayo maji unadhani yanapatikana wapi ili upewe bure? Hapo unakuwa umelipia kama unavyoyalipia ukienda dukani.
Shuhuda mbalimbali zinazotolewa na Zaid anajuwa kukitafakar Sana neno la mungu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mafuta Ni ibda na yalikuepo toka enz na enzi unamkumbuka yule kahaba alimpaka yesu mafuta nyumbani kwa zakayoKama kuna mafuta na maji ya upako wayapake mashoga na wadangaji waache kuliwa hovyo ndio nitaelewa kidogo.
Siyo sawa mzee ukibanwa vzr mbn utaenda vzr tu ungenijuwa vzr walai usingesema hayoUkiona mwanaume anamwamini sana kiongozi wa dini fahamu kuwa ni mgonjwa wa akili.
Upelekwe mirembe Mzee.
Mafuta na maji ya upako ni bure. Yale unayopewa pale yamenunuliwa hivyo kanisa linakupa bure upako wewe unalipia hela ambayo kanisa limenunulia.Sasa kwann atangaze kuwa Ni bure wit siyo Kweli huo tukisema tapeli atabisha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kumbe ila Yake Ni muhimu zaidyale n cooking oil mzee beba hom changanya na ya mzeitun nenda kaombeweee
Kitabu cha maombi anauzaje?Kwako Mtume na nabii Boniface mwamposa naomba sana sana urekebishe tangazo lako la kwenye radio kwani lmeleta upotoshaji mkubwa Sana ,unasema nanukuu.
"Mtume atagawa mafuta bureee kabisa", wakiti siyo Kweli maji na mafuta yanauzwa tena wauzaji wana kiburi sana kinachopatikan pale bure ni keki tu
Sina shida na wew kbsa ila unaleta taharuki mtu anatoka huko mkoani au hapa hapa DSM anakuja unamleta pale alfu anafika anajuwa kbsa kuwa mafuta Ni bure na tangazo amelisikia vzr kuwa mtume atagawa mafuta na maji buree wkt kiuhalisia maji na mafuta yanauzwa elf 1000.
Hili linakuaribia sana kwani watu wanasikia matangazo yako wanamiminika kanisani kwako wakifika pale maskni hawana hela za kununua mafuta tunaishia kugawana mafuta na hii hutokea Mara nyingi ktk siku za kuganyaga mafuta siyo sawa naomba utoe hicho kipengele Cha kugawa mafuta bure kwani hatupewi na tunajibiwa vby na wauuza mafuta.
@yakodaya
Baada ya kusema hayo nawasilisha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app