Bonnah Kamoli, mtaalamu wa masuala ya IT mwenye ndoto ya kuwa Rais wa Tanzania

Bonnah Kamoli, mtaalamu wa masuala ya IT mwenye ndoto ya kuwa Rais wa Tanzania

Status
Not open for further replies.

mngony

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2012
Posts
5,555
Reaction score
6,972
Mbunge huyo alianza kujulikana kwa jina la Bonnah Kalua, kabla ya baadae kubadili jina na kuitwa Bonna Kamoli aliwahi wakati mmoja kusema kupitia mahojiano na chombo cha habari kuwa atakuja kugombea Urais baada ya Magufuli

Mzaliwa wa Geita na mtaalamu wa masuala ya IT na mahusiano ya kimataifa na mjumbe wa kamati ya MAMBO YA NJE ULINZI NA USALAMA.

Ningependa kusikia historia ya safari yake iwe hamasa pia kwa wabunge wanawake kusomea fani ambazo zinaonekana kuwa ngumu au sizopendwa na wanawake, kutoka Geita mpaka Dar es Salaam mpaka kufikia kuwa Ubunge. Mwenza wake alikuwa nani?
20230406_011054.jpg

images (20).jpeg
 
Hol on....🤚
😋Ameolewa....??
Ila namfananisha na wale wa Rwanda Air...🤔
Alikuwa ni mke wa mtu kabisa. Jamaa (Kaluwa) baada ya kuona atakufa kwa ugonjwa wa moyo, akaona isiwe tabu. Alibwaga manyanga.

NB: Mwanamke akishaingia tu kwenye siasa, asilimia za kubakia mwaminifu kwenye ndoa hubakia kuwa chache sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom