Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila IT pana, kubobea nyanja ipi hasa mkuuNdugu yangu hujazungumzia fani yake wala uongozi wake wewe unakimbilia kwenye ushangazi
Kwani we mngoni wawapi au jina tuMbona hujasifia elimu yake
ana umbo zuri sana tunaomba picha yake kutoka maktabaMbuge huyo alianza kujulikana kwa jina la Bonnah Kalua, kabla ya baadae kubadili jina na kuitwa Bonna Kamoli aliwahi katika wakati mmoja kusema kupitia mahojiano ya chombo cha habari kuwa atakuja kugombea Urais baada ya Magufuli
Mzaliwa wa Geita na mtaalamu wa masuala ya IT na mahusiano ya kimataifa na mjumbe wa kamati ya MAMBO YA NJE ULINZI NA USALAMA.
ningependa kusikia historia ya safari yake iwe hamasa pia kwa wabunge wanawake pia kusomea fani ambazo zinaonekana kuwa ngumu au sizopendwa na wanawake , kutoka Geita mpaka Dar es Salaam mpaka kufikia kuwa Ubunge. Mwenza wake a alikuwa nani serikali?
Je kwa sasa kuwa na mwenza wa Waziri kunamuweka karibu na fursa ya teuzi? ( vetting) na hivyo kuanzisha safari ya ndoto yake kuwa kuongozi na hata Rais wa Nchi huko baadae?
View attachment 2574101
Unakenua meno ya nini wangoni sisi elimu ya nini usijiite mngoni kama hata hujakaa nao
Ana degeree tu tena kasoma chuo cha waungaji ungaji pale Posta cha Learn IT kipo karibia na jengo Rumumba enzi hizo sijui kwa sasa kama kipo hapo au kimehama.. na hana uoefu kabisa na IT unalipamba sana hili jimboSijui mimi nimeona tu kwenye tovuti ya Bunge, angalia kama utaelewa.
Labda alisomea mwaka 1995 mpaka 2007 hapo akaenda kupata tu cheti rasmi ila Degree si haba ya Computer science japo mimi sio mjuzi wa mambo hayo au siku hizi yamebadilika degree si kitu?Ana degeree tu tena kasoma chuo cha waungaji ungaji pale Posta cha Learn IT kipo karibia na jengo Rumumba enzi hizo sijui kwa sasa kama kipo hapo au kimehama.. na hana uoefu kabisa na IT unalipamba sana hili jimbo
Ivi ungonini pale mnakiwanda gani zaidi ya ngomati iliyokufa mwaka 1998.......ukiwa ungonini hata uwe umemaliza havard university hiyo elimu huna cha kufanyiaSawa wakunyumba
Umechapia mkuu......"uswengili".........hapanaSawa wakunyumba, Uswengili sana
NdioIla samahani hiyo DP ni wewe?
Nakubali mkuu ntakufata pm tuongeeUsengwili error tu swaum kali mida si unaiona hii