Bonnah Kamoli, mtaalamu wa masuala ya IT mwenye ndoto ya kuwa Rais wa Tanzania

Bonnah Kamoli, mtaalamu wa masuala ya IT mwenye ndoto ya kuwa Rais wa Tanzania

Status
Not open for further replies.
Mbuge huyo alianza kujulikana kwa jina la Bonnah Kalua, kabla ya baadae kubadili jina na kuitwa Bonna Kamoli aliwahi katika wakati mmoja kusema kupitia mahojiano ya chombo cha habari kuwa atakuja kugombea Urais baada ya Magufuli

Mzaliwa wa Geita na mtaalamu wa masuala ya IT na mahusiano ya kimataifa na mjumbe wa kamati ya MAMBO YA NJE ULINZI NA USALAMA.

ningependa kusikia historia ya safari yake iwe hamasa pia kwa wabunge wanawake pia kusomea fani ambazo zinaonekana kuwa ngumu au sizopendwa na wanawake , kutoka Geita mpaka Dar es Salaam mpaka kufikia kuwa Ubunge. Mwenza wake a alikuwa nani serikali?

Je kwa sasa kuwa na mwenza wa Waziri kunamuweka karibu na fursa ya teuzi? ( vetting) na hivyo kuanzisha safari ya ndoto yake kuwa kuongozi na hata Rais wa Nchi huko baadae?

View attachment 2574101
Mwambie kosa tulilofanya ni kumruhusu JIWE achague makamu wake mwanamke,kinachotupata hawamu hii hatutokaa tusahau...Wanawake wakae tu nyumbani wajipulizie Ubani.
 
Rais wa Nchi huwezi mtabiri kizembe hivyo, tena jinsia ya kike (never)

Rais wa Jinsia "ke" ukimuangalia tu hata uvaaji wake unaujua huyu ni rais mtarajiwa kweli.

Huyo maza hapo atakukuruka ataishia u waziri tena kwa kuangaliana usoni, u Rais never.

Sura za u rais hazijanyooka hivyo aseee... Kuna watu wataingia serikalini lakini kuna nafasi hawatozishika kutokana na lifestyle yao.

Msiuchukulie u rais kama u wenyekiti wa mtaaa wazeee...ile cheo inaandaliwa miaka sio chini ya 10+
 
Alikuwa ni mke wa mtu kabisa. Jamaa (Kaluwa) baada ya kuona atakufa kwa ugonjwa wa moyo, akaona isiwe tabu. Alibwaga manyanga.

NB: Mwanamke akishaingia tu kwenye siasa, asilimia za kubakia mwaminifu kwenye ndoa hubakia kuwa chache sana.
Kwa sababu huwa yuko tayari kutumia mwili wake kupata madaraka makubwa zaidi. Na madaraka makubwa yanakuja na uwezo mkubwa wa kiuchumi na jeuri inapanda kichwani. Anaanza kumburuza mwanaume. Hapo ni vyema kumuacha aende.
 
Kwa nini hawakuachana kimya kimya mpaka kutangaza bungeni
Jamaa alipenda kulinda heshima yake bila shaka. Ina maana gani mtu kutumia jina lako, halafu utamu wote anapelekea wengine?

Bora kila mtu ashinde mechi zake.

NB: Mwanamke akishaingia kwenye siasa halafu ameolewa; basi mwanaume wake atambue fika hana chake. Mifano ni mingi, na muda ni mchache.
 
Alikuwa ni mke wa mtu kabisa. Jamaa (Kaluwa) baada ya kuona atakufa kwa ugonjwa wa moyo, akaona isiwe tabu. Alibwaga manyanga.

NB: Mwanamke akishaingia tu kwenye siasa, asilimia za kubakia mwaminifu kwenye ndoa hubakia kuwa chache sana.
Nilisikia wanasema, Baba, Mwana walipita, akapata leverage ya kupata kigoda.

Mjasiri haachi asili wanasema, mwisho Kalua ikatoka kuepusha malumbano.

Wanasema ni mtindo ule ule wa Biki Bamata, na hata morphology ni mule mule, wanazidu kusema huko Jumbani kwenyewe ni tafrani.

Ameshawahi kuwa mtumishi wa Halmashauri kwani? Maana huko vijiweni wanasema hivyo eti, na kuongeza kuwa sijui nini mara mbili huko!
 
Jamaa alipenda kulinda heshima yake bila shaka. Ina maana gani mtu kutumia jina lako, halafu utamu wote anapelekea wengine?

Bora kila mtu ashinde mechi zake.

NB: Mwanamke akishaingia kwenye siasa halafu ameolewa; basi mwanaume wake atambue fika hana chake. Mifano ni mingi, na muda ni mchache.
Sawa sawa
 
Bongo shida sana, mtaalam wa masuala ya IT na uhusiano wa kimataifa, then anakuwa mjumbe wa kamati ya Bunge mambo ya uhusiano wa kimataifa.

Hizo field alizosomea alifanyia kazi wapi? kupifikia expert level? au ndio shule connection ubunge maisha yanasonga then tunaamini ni mtalaam anapewa wizara kumbe experience yake ni politician.

Moja ya failure yetu pia inaanzia hapa kwa watu kugraduate kupata vyeti then wanakuwa wanasiasa unasikia anaitwa Eng au Dr kwenye field fulani kumbe hakuna alipowahi kupractise.
 
Bongo shida sana, mtaalam wa masuala ya IT na uhusiano wa kimataifa, then anakuwa mjumbe wa kamati ya Bunge mambo ya uhusiano wa kimataifa.

Hizo field alizosomea alifanyia kazi wapi? kupifikia expert level? au ndio shule connection ubunge maisha yanasonga then tunaamini ni mtalaam anapewa wizara kumbe experience yake ni politician.

Moja ya failure yetu pia inaanzia hapa kwa watu kugraduate kupata vyeti then wanakuwa wanasiasa unasikia anaitwa Eng au Dr kwenye field fulani kumbe hakuna alipowahi kupractise.
Sawa sawa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom