Hakuna lolote, huwa anafanya hivyo ikikaribiana na uchaguzi.kuna wanaodai ameyashika makundi mbalimbali anatoa sana vimsaada vidogo vidogo, yani anajua kula na kipofu. Je ni kweli?
Sijaona hicho kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna lolote, huwa anafanya hivyo ikikaribiana na uchaguzi.kuna wanaodai ameyashika makundi mbalimbali anatoa sana vimsaada vidogo vidogo, yani anajua kula na kipofu. Je ni kweli?
Aache kuota mchanaAache nini Mkuu?
Linaoneka litaMuu mnoo hilo libidada Bonnah!!!Ndugu yangu hujazungumzia fani yake wala uongozi wake wewe unakimbilia kwenye ushangazi
Wa afya kabisaSawa Mrs Lissu, anaendeleaje Mzalendo huko aliko?
Mbiki msumi!! Yes..ila sina hakika kama walizaaHuyu Bashe si kuna wakati alikuwa na yule mshiriki/mshindi miss Tanzania kama mchumba/mke!?
siyo siasa tu ndugu, hata akibobea kwenye mambo ya Imani nako ni mashaka matupu.Alikuwa ni mke wa mtu kabisa. Jamaa (Kaluwa) baada ya kuona atakufa kwa ugonjwa wa moyo, akaona isiwe tabu. Alibwaga manyanga.
NB: Mwanamke akishaingia tu kwenye siasa, asilimia za kubakia mwaminifu kwenye ndoa hubakia kuwa chache sana.
Yes. Huyo huyo. Waliishia wapi!?Mbiki msumi!! Yes..ila sina hakika kama walizaa
Halafu hiyo mtaalam wa IT unawezakuta ni certificate course!Bongo shida sana, mtaalam wa masuala ya IT na uhusiano wa kimataifa, then anakuwa mjumbe wa kamati ya Bunge mambo ya uhusiano wa kimataifa.
Hizo field alizosomea alifanyia kazi wapi? kupifikia expert level? au ndio shule connection ubunge maisha yanasonga then tunaamini ni mtalaam anapewa wizara kumbe experience yake ni politician.
Moja ya failure yetu pia inaanzia hapa kwa watu kugraduate kupata vyeti then wanakuwa wanasiasa unasikia anaitwa Eng au Dr kwenye field fulani kumbe hakuna alipowahi kupractise.
WalishaachanaYes. Huyo huyo. Waliishia wapi!?
Pisi Kali kwelikweli