Alikuwa ni mke wa mtu kabisa. Jamaa (Kaluwa) baada ya kuona atakufa kwa ugonjwa wa moyo, akaona isiwe tabu. Alibwaga manyanga.Hol on....🤚
😋Ameolewa....??
Ila namfananisha na wale wa Rwanda Air...🤔
Kwa nini hawakuachana kimya kimya mpaka kutangaza bungeniAlikuwa ni mke wa mtu kabisa. Jamaa (Kaluwa) baada ya kuona atakufa kwa ugonjwa wa moyo, akaona isiwe tabu. Alibwaga manyanga.
NB: Mwanamke akishaingia tu kwenye siasa, asilimia za kubakia mwaminifu kwenye ndoa hubakia kuwa chache sana.
Sijui kwakweli.Kwa hiyo sio Msukuma huyu?
Umenikumbusha mama 2mbiliAlikuwa ni mke wa mtu kabisa. Jamaa (Kaluwa) baada ya kuona atakufa kwa ugonjwa wa moyo, akaona isiwe tabu. Alibwaga manyanga.
NB: Mwanamke akishaingia tu kwenye siasa, asilimia za kubakia mwaminifu kwenye ndoa hubakia kuwa chache sana.
Naona ana financial independence (makalio) ya kutosha
Hawaku tangaza bungeni, bali aliekua mume wake aliandika barua kwa bunge kuhusu ukomo wa Bonnah kutumia jina la KaluaKwa nini hawakuachana kimya kimya mpaka kutangaza bungeni
Jambo jema piaNa alitutangazia Bungeni