Kokwa kavu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 220
- 41
Amuombe msamaha nani na kwa kosa gani?
Unajua kusoma kiswahil kwel ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amuombe msamaha nani na kwa kosa gani?
Visread vya kichovu kama hivi ndivyo vinavyonifanya nisipite kabisa jukwaa hili, ameomba msamaha alifanya nini? na huyo bonta ni nani au anafanya kazi gani? au dogo unadhani wote wanaotumia JF wanaishi Manzese kwamba kitu ukisikia wewe basi wote wanakijuwa!! nyambafu.
Hapa nimekuelewa, na hii thread kama ingekuwa ina maelezo yanayojitosheleza kama haya wala hapawezi kuwa na Maswali.punguza hasira mkuu kutukana ndo kujifunza....Bonta ni msanii wa bongo fleva so kuna wimbo ametoa mda sio mrefu ametudisi wakatoliki eti kasema mistari yake inathamani kuliko bikira ya maria ndo watu wakamlaum sana ndio jamaa kaomba radhi kwenye wall yake....wakati huo awali wakati anahojiwa clausa alisema yeye alimanisha maria ya gani sijui.
JF imekusanya wengi hata wanaoishi maisha mazuri kwa MANENO wapo.Visread vya kichovu kama hivi ndivyo vinavyonifanya nisipite kabisa jukwaa hili, ameomba msamaha alifanya nini? na huyo bonta ni nani au anafanya kazi gani? au dogo unadhani wote wanaotumia JF wanaishi Manzese kwamba kitu ukisikia wewe basi wote wanakijuwa!! nyambafu.
mwana JF.We binafsi yako ndo nani mpaka uridhike??
Jamaa kapost kwenye wall ya dj choka facebook mi binafs yangu cjaridhka anatakiwa aombe na redion
Wewe ni mtu wa hovyo kabisa, mimi Bonta nitamjulia wapi? kama angekuwa amearchive lolote kwenye music industry ningemjuwa automaticaly, yaani wewe unataka mimi niwe nasoma kila thread humu JF!!?? Hivi unafikiri sawa sawa kweli wewe?JF imekusanya wengi hata wanaoishi maisha mazuri kwa MANENO wapo.
Unajifanya unajuwa kumbe hujui! Kama ungekuwa mpitia thread mzuri ungeshajuwa Bonta ni nani na kafanya nini...
Si kweli... Mbona JCB naye aliwachefua waislam na aliomba msamaha!? Acha uchocheziHapa nimekuelewa, na hii thread kama ingekuwa ina maelezo yanayojitosheleza kama haya wala hapawezi kuwa na Maswali.
Ok hiyo nyimbo kama inakashifu imani za watu ni kwa nini inapigwa redioni? mimi nadhani na hao wenye redio station ambao wanapiga nyimbo hiyo wanapaswa kuwaomba radhi wakristo.
Ni kwa nini wasanii wanapenda kuchezea kanisa na ukristo na kamwe sio uislamu!!??
Kwani... Kila unayemfahamu ame-achieve chochote? Tatizo lako U-HOVYO wa mtu unaupima kwa kiasi gani mtu huyo kakukosoaWewe ni mtu wa hovyo kabisa, mimi Bonta nitamjulia wapi? kama angekuwa amearchive lolote kwenye music industry ningemjuwa automaticaly, yaani wewe unataka mimi niwe nasoma kila thread humu JF!!?? Hivi unafikiri sawa sawa kweli wewe?
acha uongo mwana kama ni siha bonta mi nilikuwa nae class moja na hakuwa na hizo issue za wizi acha kumchafua mwana kama sio mpango we ndo ulikuwa mwizo wa kahawa paka babu ng'unda akakukamataga nakujua sana wewe!Bönta namkumbuka akiwa siha sec anaiba ndoo zote walizokuja nazo form one kuuza street!
Kiswahili najua ndio maana nikauliza amuombe msamaha nani?Unajua kusoma kiswahil kwel ww
duh sioni haja ya watu kuwa wakali, kina maria wako wengi tu mtaani! Hamna sehem yeyote alipomzungumzia mama wa Yesu! Hiz ni dalili za siasa kali
Kiswahili najua ndio maana nikauliza amuombe msamaha nani?
Wewe ni mtu wa hovyo kabisa, mimi Bonta nitamjulia wapi? kama angekuwa amearchive lolote kwenye music industry ningemjuwa automaticaly, yaani wewe unataka mimi niwe nasoma kila thread humu JF!!?? Hivi unafikiri sawa sawa kweli wewe?
Nasikiaga kuna 5W+H yaani what, where, who, why, when + how!
Kwa thread yako naona ni who na what tu ndo zimejibu nyingine zote nimebaki njia panda!
My take: habari yako haina mashiko haijakamilika! Nenda edit uanze 1.
Bönta namkumbuka akiwa siha sec anaiba ndoo zote walizokuja nazo form one kuuza street!