Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jaman huyu c ndo yule aliyeimba wimbo wa NAUZA KURA YANGU kipnd cha uchaguz 2010 mpaka anasema PALE KWA BIB PAFANANE NA ARUSHA..
duh.!jaman kutoka tabu tumsamehe bure labda ndo mbinu za kupata attention ya watu..
Ana demu wake anaitwa maria bana. Demu alimbania kumpa mambo mpaka jamaa aache mziki. Na demu alikua bikra so jamaa kamchana kwamba verse zake ni za dhamani kuliko huyo maria na bikra.
Source~ fesibuuuku
[h=6]Bonta ConciousKwa hli bro omba msamaha umeharibu et mistar yako ina thaman kuliko bikira ya maria hii cio ki2 kizur
[h=6]Bonta Concious
ni kama naongea matusi hawataki kuniskia, ni kama nafanya matusi hawataki kuniangalia...nabaniwa na nina enjoy coz heshima inaomgezeka na kitaani naeleweka, najua mengi kama lisu mi ni tundu la sindano, hamtapita nyie ngamia wa kijani na manjano, kwa mfano, hata manzi akivua nguo sisimami kama ufunguo, nitakaza mimi mjaluo, hisia zangu ziko mbali kama siasa za ulimwengu, generaly on... monday, kinanu...ka mpaka sunday, manara juu nilipo kamuulize warawara, sichezwi sana presenter yupo mfukoni, mwa chief, kiumbe mimi siitaja shangwe kwenye show, nipo emotional ni soo, piga kimya na niskilize mimi bro, nafungua vichwa vyenu kama droo, za kabati la chimwaga, linasiri za kumwaga, nikifa nitaacha mengi ndugu zangu, siachi promo za redioni wala ubingwa wa mdomoni, sipotei kama kidato kimoja mtangoja, JAH ndo anaebariki hizi tungo,zinathamani zaidi ya bikira, ya MARIE STOPES wanatoa, na mabint wanalia kimbia, bora kuwa tajiri pesa ndogo hizi ni najisi, wananajisi, kasisi............"NATUMIA SANA METALFOR[TASHIBIHA], AINA FLANI YA UANDISHI AMBAYO INALETA MORE THAN 1 MEANING KWA MSIKILIZAJI HUSIKA, SEHEMU ALIYOPO AU TRADITION YAKE...I aint mean to sound hush or to hurt any feeling....naamini sijatukana ila kama kuna m2 ame
athiriwa na iyo TASHIBIHA....naomba NISAMEHEWE
[/h]
[h=6]Bonta Concious
ni kama naongea matusi hawataki kuniskia, ni kama nafanya matusi hawataki kuniangalia...nabaniwa na nina enjoy coz heshima inaomgezeka na kitaani naeleweka, najua mengi kama lisu mi ni tundu la sindano, hamtapita nyie ngamia wa kijani na manjano, kwa mfano, hata manzi akivua nguo sisimami kama ufunguo, nitakaza mimi mjaluo, hisia zangu ziko mbali kama siasa za ulimwengu, generaly on... monday, kinanu...ka mpaka sunday, manara juu nilipo kamuulize warawara, sichezwi sana presenter yupo mfukoni, mwa chief, kiumbe mimi siitaja shangwe kwenye show, nipo emotional ni soo, piga kimya na niskilize mimi bro, nafungua vichwa vyenu kama droo, za kabati la chimwaga, linasiri za kumwaga, nikifa nitaacha mengi ndugu zangu, siachi promo za redioni wala ubingwa wa mdomoni, sipotei kama kidato kimoja mtangoja, JAH ndo anaebariki hizi tungo,zinathamani zaidi ya bikira, ya MARIE STOPES wanatoa, na mabint wanalia kimbia, bora kuwa tajiri pesa ndogo hizi ni najisi, wananajisi, kasisi............"NATUMIA SANA METALFOR[TASHIBIHA], AINA FLANI YA UANDISHI AMBAYO INALETA MORE THAN 1 MEANING KWA MSIKILIZAJI HUSIKA, SEHEMU ALIYOPO AU TRADITION YAKE...I aint mean to sound hush or to hurt any feeling....naamini sijatukana ila kama kuna m2 ame
athiriwa na iyo TASHIBIHA....naomba NISAMEHEWE
[/h]
kweli kabisa,huyu mpumbavu kakosa jipya uzee unamsumbua 2.aya ndio matatizo ya kutoka uzeeni,sasa alikuwa wapi ujanani mwake wakati wenzie wanashain??
Anaforce attention ya kipumbavu kwenye iman za watu,dharau kubwa sana hii,angewatusi waislam ndio angejua thaman ya iman ya mtu,ila kwa kuwa wakatoliki anajua wastaarabu ndio maana anawachezea.
Tuandamane kwa kashfa hii ili wimbo upigwe marufuku