Anza mkuu vina uchambuzi flani hivi ambao unaeleweka laiti ningejua Kiranga anaishi wapi ningejitahidi nimpatie hicho kitabu cha JE KUNA MUUMBA ANAYEKUJALI? Nna uhakika angepata majibu ya maswali yake yote ambayo alihisi biblia haiwezi kujibuvitabu vizuri sana. siku hizi nimeachaa kusoma vitabu vya mashahidi. ngoja mwakani nianze tena.
Anza mkuu vina uchambuzi flani hivi ambao unaeleweka laiti ningejua Kiranga anaishi wapi ningejitahidi nimpatie hicho kitabu cha JE KUNA MUUMBA ANAYEKUJALI? Nna uhakika angepata majibu ya maswali yake yote ambayo alihisi biblia haiwezi kujibu
Za asubuhi mkuu,nILIamini ujakisoma kwani majibu mengi ya hoja zako kuhusu uwepo wa mungu majibu yake yapo kwa hicho kitabu tena yamejibiwa kwa ufasaha kabisa tena yamejibiwa wanasayansi wazoefu tu katika tasnia zao especially kutoka NASA. BUT KAMA ULIKIPITIA NA BADO UKABAKIA KWENYE MSIMAMO HUO HUO IT'S FINE PIAUnajuaje kwamba sijakisoma mwaka 1982?
Mkuu mbona una dharau kihivyo? Sie watanzania toka lini tukawa na desturi y kusom vitabu, sie kazi yetu ni umbea na kusimuliwa stori za kina Wema, ya muhimu hatuna habari nayo.
Za asubuhi mkuu,nILIamini ujakisoma kwani majibu mengi ya hoja zako kuhusu uwepo wa mungu majibu yake yapo kwa hicho kitabu tena yamejibiwa kwa ufasaha kabisa tena yamejibiwa wanasayansi wazoefu tu katika tasnia zao especially kutoka NASA. BUT KAMA ULIKIPITIA NA BADO UKABAKIA KWENYE MSIMAMO HUO HUO IT'S FINE PIA
Nimesoma soil mechanics, nkasoma fluid mechanics na fundamental for pavement design na vingine vingi sana
Mwaka huu nimepiga kama 6 hivi. Kimojawapo nikuhusu Samora Machel
Trust me kiranga jibu ya hilo swali lipo na simple kabisa.tafuta hicho kitabu kaka angu utajaniambia.moja ya maswali magumu ambayo nilipata majibu kupitia hicho kitabu ni haya hapaKwa nini mungu mwenye kujua yote, kuweza yote na nwenye upendo wote aumbe ulimwengu anbao mabaya yanawezekana kufanyika wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao ubaya hauwezekani kufanyika?
Hoja hii tu ndio imekufanya usiamini uwepo wa Mungu????????mbona yote haya yamejibiwa kwa usahihi kabisa na biblia yenyewe.naomba nikujibu hili kwenye thread zile za kule jamii intelligence ili tusiathiri lengo la thread hii.Kwa nini mungu mwenye kujua yote, kuweza yote na nwenye upendo wote aumbe ulimwengu anbao mabaya yanawezekana kufanyika wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao ubaya hauwezekani kufanyika?
Kwa nini mungu mwenye kujua yote, kuweza yote na nwenye upendo wote aumbe ulimwengu anbao mabaya yanawezekana kufanyika wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao ubaya hauwezekani kufanyika?
Holy bible.nimesoma new testament maranying na kurudia rudia na old testament kwa baadhi ya vitabu
Kinaitwa "S for Samora, A Lexical Biography of Samora Machel and Mosambican Dream" by Sara LeFanu.
Ni kitabu gani hicho cha Samora Machel?