KAFA.cOm
JF-Expert Member
- Jun 22, 2013
- 1,301
- 739
Anza mkuu vina uchambuzi flani hivi ambao unaeleweka laiti ningejua Kiranga anaishi wapi ningejitahidi nimpatie hicho kitabu cha JE KUNA MUUMBA ANAYEKUJALI? Nna uhakika angepata majibu ya maswali yake yote ambayo alihisi biblia haiwezi kujibuvitabu vizuri sana. siku hizi nimeachaa kusoma vitabu vya mashahidi. ngoja mwakani nianze tena.
Last edited by a moderator: