Book reading: Unasoma au Umesoma kitabu gani ungependa wengine wakisome?

Book reading: Unasoma au Umesoma kitabu gani ungependa wengine wakisome?

Thé Concise History of American Politics McGraw
Globalization Dymistified by Rweyemamu
Democracy in Plural Sociétés By Arend Ljhaphat ila kitabu hiki kizuri nadhani viongozi wa Africa ingekua altimatum kwao kukisoma.
 
The partnership - Aboud Jumbe
Kwaheri Uhuru Kwa heri ukoloni
Knock knock whos there- James H. Chase
No orchids for Miss Blandish. - James Chase
Najisikia kuua tena. - Ben Mtobwa
Haini - Shafi Adam Shafi
 
Mwaka mzima sijasoma kitabu
Ukitoa vya masomo ya darasa
 
snipa ilikuwaje ukawa innterested na homosexuality?


Not interest.
Niliona one of the book from my friend written by John Boswell heading Christianity, Social Tolerance and Homosexuality, nilijaribu kukisoma n then decided to read those Books concerning opposite side....
 
Last edited by a moderator:
parched earth -elieshi lema
the gathering storm-hamza sokko
secret no more-gorriet kyomuhendo
head above water
lion of yola
 
Hapo umeniacha...nikupongeze...

Mimi hiyo list nimesoma Why Nations Fail tu ni kitabu bomba sana kwa political economists, developmental economists etc...how politics and economics interplay to hinder or promote economic prosperity of a nation....

Kwa sasa nina vitabu viwili nadhani ntasoma before mwaka kuisha...
1. Men are from Mars Women are from Venus - John Gray
2. How to get from where you are to where you want to be - Jack Canfield
3. 15 Minutes alone with God (hiki kinawafaa wakristu tu...lakini ni kizuri sana ...hata muislamu asiye na ubaguzi anaweza soma akapata kitu...kinahusu jinsi ya kutimiza majukumu ya mwanamke aliye busy kuweza kuwa good wife...keeping your family and yourself (maintain your beauty) and praying at least for 15 minutes daily...Kitabu kizuri sana aisee...kimenisaidia kuji evaluate...mfano kwangu tuna tabia ya kula huku tunaangalia TV; sasa hivi nimewaelewesha wana familia tuache hiyo tabia...muda wa kula ni muda wa kukaa pamoja kama familia kwenye dining table...kusali pamoja na nimeandaa sahani special ambayo hero wa siku anaitumia...na inamkumbusha that person that he/she is special person in the family that day.

Nimevinunua sababu nataka kuboresha maisha yangu na mwenza wangu (the first one and third) na kuweza kufikia dreams zangu maishani (second one)...Unajua watu wengi wana uelewa mkubwa lakini kama huna ujanja wa maisha utakufa bila ku make it...ndio maana napenda sana vitabu vya saikolojia...na vinavyofundisha soft skills...

Mfano nimesoma vitabu vingi sana vya presentation skills...yani niki present utazimia...hata kama ni pumba...nakumbuka nili present watu wakapagawa kuja kushtuka chair anakuja na report (baada ya siku kadhaa of course) kuwa kuna a lot to improve in your paper only that we were all carried away with your powerful presentation...te te te...lakini nime learn ...sikuzaliwa good presenter/public speaker ...and I was bad one last year...
Yani ilikuwa ni presentation ya field data lakini niliwawekea mpaka video clip (watu midomo wazi) na within 30 minutes provided.

Nikaombwa ni present tena for 6 minutes my thesis kwenye event nyingine iliyo involve vyuo kadhaa ...nikawaacha hoi tena ...maana nilitumia picha tu kwenye power point yangu to tell 'my story'

Mkuu umenivutia hapa kwenye presentation skills. Hongera kwa kupata maarifa toka kwenye hivyo vitabu. Ulivyoandika umeni-inspire sana mkuu.. As long mi ni mtu wa kuzungumza na watu katika makongamano naomba nitajie majina ya hivyo vitabu ili nivitafute, kama unavyo soft copy nitumie kwenye siaotum@live.com.
Hongera tena mkuu
 
Ni mwiso wa mwaka, wale wasoma vitabu ni wakati wa kujitatmini na kushare knowledge tulliyoipata mwaka huu.
mwaka huu usomaji wangu haukuwa mzuri, nimeweza kusoma vitabu vinne tu. viwili ndiyo nimemaliza.

1.WHY NATIONS FAIL: Kimeandikwa na Daron Acemoglu na James Robinson. Hiki nilianza kusoma mwaka jana na mwaka huu ndiyo nimekimalizia.

20120322165553-0.jpg


2.El Narco: Inside Mexico's criminal insurgency. hiki kinahusu jinsi magenge ya madawa ya kulevya huko Mexico yanavyojiendesha.

el-narco-image.jpg


3.six days of war: Hiki kinaelezea mambo yalivyokuwa wakati wa vita ya 1967 kati ya Waisrael na Waarabu.

9780195151749_p0_v1_s192x300.jpg


4.The new tsar: the rise and reins of Vladimir Putin. hiki bado nakisoma.
9780307961617


5.The Social Order of the Underworld: How Prison Gangs Govern the American Penal System. kitabu kizuri ila sikukimaliza.
51DeBvB%2BLpL._SY344_BO1,204,203,200_.jpg


karibuni kushare. hawa walishare nyuzi za miaka ya nyuma. Kiranga, Roulette, EMT, The Boss, Nyani Ngabu, nyumba kubwa, Mzee Mwanakijiji, Makirita Amani, kanigini, , MSEZA MKULU, Laleyo.
 
Innocent Mage na Awakened Mage.
Starring: Asher of Resthaven, mwana wa mvuvi aliyefunga safari kwenda Dorana kutafuta kazi, hatma yake akajakuwa mfalme.
 
Parallel life by Bonne Greer. ~Tip and run by Edward Paice, Journal of the discovery or the source of the nile by John Hanning Speke, The fishermen by chigozie Obioma, The Africana by Chimamanda Ngozi Adechei.

Read them and compare and contrust our everyday life.
 
Nimesoma kitabu alichokiandika mshua mwaka mmoja kabla hajafariki.

Ila kwa sasa sitakitaja kwa sababu ya kutunza faragha.
 
Ahsante mkuu kwa uzi nzuri. Binafsi nimesoma zaidi ya vitabu ishirini.
Nitavileta hapa soon ngoja napita kwanza
 
Back
Top Bottom