Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Hivi vitabu/series ya the secret uliyoweka tunaanza na kitabu kusoma? au naweza anza na chochote tu? au kuna mpangilio?Hauwezi kuzidisha. Ubishane saa ngapi?
(Kidding)
Tangu mwaka umeanza nesoma vitabu kadhaa
To kill a mockingbird
The fault in our star
Everything is fucked
Ego is the enemy-Hiki nimekirudia ni kama bibilia kwangu
[SUB]dah kwa kuviangalia vinatishia.[/SUB]Sasa hard copy ndio nzuri. Tatizo ni umeanza kuangalia ukubwa wa kitabu.
Ungetakiwa usome bila kuangalia.
Upo day ngapi leo?
haahaaha huu ni utani wa ngumi kwa bwana mkubwa zurri.Hauwezi kuzidisha. Ubishane saa ngapi?
(Kidding)
Yeah hiyo ndio shida mojawapo,watu wengi,halafu majina magumu [emoji3]Kwa mwanzo kama story imekaa kitoto toto. Majina mengi watu wengi sana.
Jinsi unavyosoma ndio unazidi kukipenda,kinaelezea mambo yanayoendelea sasa USA.
Niwe mkweli mwenyewe nilikisoma mara ya kwanza nikaacha,nikarudia tena nikaacha,mara ya tatu ndio nimekimaliza.
Hicho sijakisoma mkuu,nitajitahidi nikisome,sometimes naona ni vizuri kusoma vitabu viwili vinavyokinzana ili kuweza kuchambua mambo kiundani badala ya tu kuegemea upande mmoja.Mkuu, kuna kitabu kinaitwa The Fountainhead( Ayn Rand) ambapo mwandishi anadai kuwa ego ndio kisima cha maendeleo ya binadamu. Nahisi kama kutakuwa na mgongano wa mawazo kati ya Ayn Rand na mwandishi wa hicho Ego is The Enemy.
Ayn Rand-RIP(ameandika pia Atlas Shrugged) hakutokea kupendwa na wasomaji wengi kwa sababu ya falsafa yake ya objectivism, ambayo inasemekena kufuatwa na Trump na wafuasi wake.
Na nafikiri ndio ilikuwa main theme!Ni kweli mkuu.
Huu ubaguzi wa rangi dhidi ya weusi U S A unaonekena pia kwenye To Kill a Mockingbird.
Kabisa, angekuwa karibu yangu, japo mwanamke huwa hapigwi ila kwa huu utani angekula bomba ya banzi.haahaaha huu ni utani wa ngumi kwa bwana mkubwa zurri.
Hicho sijakisoma mkuu,nitajitahidi nikisome,sometimes naona ni vizuri kusoma vitabu viwili vinavyokinzana ili kuweza kuchambua mambo kiundani badala ya tu kuegemea upande mmoja.
Kuna jamaa anaitwa Mark Manson ameandika kitabu titled "The subtle art of not giving a ****" napenda sana uandishi wake yeye yuko tofauti kabisa na waandishi wengine wa hizi self help books.
Na nafikiri ndio ilikuwa main theme!
Hiyo hapo juu mkuuKama una soft copy ya hi hiyo The Subtle Art of.......naomba uiweke hapa mkuu.
Huwa nasaoma viwili kwa mpigo kwenye hiyo list nimesoma vyote namalizia Kinaiitwa My Life kimeandikwa na Bill Clinton ni cha kwanza kushotoKipi ndiyo unakisoma kwa sasa? Au vyote?
Nimejaribu kufanya kautafiti, inaonyesha hivi vitabu vilianza kuandikwa kwa mfululizo huu...Yes nimeandika hivyo kwa maana hapa kwenye page ya kwanza nadhani ni cover pia wameanza kuandika the Secret the POWER. Au kwa kuwa wataalamu mnaviita the secret na mkavipa na series kabisa.
Yote kwa yote asante kwa ufafanuzi nikimaliza hiki nitahamia kwenye hicho cha The Magic naona Author ni yule yule
Vipo vinneHiki ni kitabu cha 3 na cha mwisho kwenye series ya Self-help za Rhonda zinazoenda kwa jina la The Secret.
Kuna The secret 1, 2 &3.
Cha kwanza kinaitwa The secret.
Cha pili kinaitwa The Power na,
Cha tatu kinaitwa The Magic.
Hakitofautiani sana na ulichosoma maana ni mwendelezo wa The Secret na The Power ila kina mambo mazuri zaidi.
Hiki kitabu kina siku 28 ambazo ukizimaliza unakuwa umepiga hatua sana kwenye maisha yako.
Ni kitabu ambacho kinakufanya uwe positive thinker, to pay attention on your own needs. Ukikisoma ukiaply ujumbe uliopo basi utajikuta unakuwa na furaha na utajivunia kila ulicho nacho. Utaachana na mambo ya vinyongo au kubeba moyoni vitu visivyo muhimu. Hautapoteza muda wako on Negative things
Unaweza kila siku ukasoma siku moja, maana kipo kwenye mfumo wa Day 1, Day 2 , Day 3 nk. Sasa kila "day" ina funzo lake. Hivyo utapata muda mzuri wa kutafakari na ku-apply kwenye maisha yako halisi.
ebu mkuu naaomba oweke hapa the power na the hero mkuuVipo vinne
1.The secret
2.The magic
3.The power
4.The hero
Kwa nini yuko tofauti mkuu ?Hicho sijakisoma mkuu,nitajitahidi nikisome,sometimes naona ni vizuri kusoma vitabu viwili vinavyokinzana ili kuweza kuchambua mambo kiundani badala ya tu kuegemea upande mmoja.
Kuna jamaa anaitwa Mark Manson ameandika kitabu titled "The subtle art of not giving a ****" napenda sana uandishi wake yeye yuko tofauti kabisa na waandishi wengine wa hizi self help books.
Hardcoppy au softcopy ?Buy 1 get 1 free
0777608320
WhatsApp.
View attachment 1465195View attachment 1465196View attachment 1465197
Nimejaribu kufanya kautafiti, inaonyesha hivi vitabu vilianza kuandikwa kwa mfululizo huu...
1. The Secret (Mwaka 2006)
2. The Power (Mwaka 2009)
3. The Magic (Mwaka 2012)
5. Hero (Mwaka 2013)
NB: Sijaanza kusoma ila i think "content" yake haifwati mfululizo huo, ni kama vina jitegemea.