Ule uzi wako wa vitabu upo wapi? Nimemaliza kusoma Prisoners of Geography na Shoe dog. Vitabu safi sana. Nataka nipekue kingine.Aise mimi nachukia kitabu ambacho mwandishi ametumia lugha ngumu kueleweka.
Huu hapa;Ule uzi wako wa vitabu upo wapi? Nimemaliza kusoma Prisoners of Geography na Shoe dog. Vitabu safi sana. Nataka nipekue kingine.
Shukrani sanaHuu hapa;
Vitabu vyangu bora vya nyakati zote. Vipi vyako?
Salaam WanaJF! Binafsi ni msomaji sana wa Vitabu. Kupitia vitabu nimejifunza mengi, nimesafiri kwenda kwingi na nimekutana na wengi. Katika Usomaji wa vitabu, kila mtu anavyo vitabu ambavyo kwake ni bora zaidi na kwa sababu zake. Kupitia uzi huu naomba tushirikishane vitabu bora kabisa kwako...www.jamiiforums.com
Vitabu vyangu bora vya nyakati zote. Vipi vyako?
I've just finished the book. One of the beautifully written books I've ever read and I absolutely loved it. I wish I could read it again for the first time.
The writing style is perfect and romance scenes nilirudia mara mbili mbili (dunno why)Lol.
Harry is one of my favorite characters from the book. Nilikuwa nacheka sana mambo yake ya "redistribution of wealth ".
Huu mwezi nitakuwa na Ken Follett na sasa natafuta The Pillars of the Earth.
Hivi vitabu unauza Mr Miller? Nimeona ni vipya. Natamani kujua pia kitabu ulichoficha kwa emoji.
Mkuu hiki the greatest secret kina maudhui gani tofauti na kile cha the secret ?
Hivi hizo nguvu za kusoma fiction book huwa mnazitoa wapi? Mimi nilishashindwa kabisa kusoma fiction
Vipo translated to English...
Hivi nadharia ni tofauti na fact?Binafsi napenda sana vitabu vya mtindo wa Riwaya,Tamthilia,Hadithi ,na pia vitabu vinavyoelezea nadharia mbalimbali kuhusu ulimwengu ,in summary ,,any useful book of which you think may perhaps be crucial to me ,,
Thank you, Mr Miller.Wow! Hongera sana umemaliza haraka, bila shaka hukuweza kuvumilia kupitisha siku bila kusoma hata pages kadhaa hahaha!!
Yes yes zile Romance scenes Ken amejua kututeka [emoji2][emoji2], hasa ile ya kwenye ndege ilinibidi nitafute picha ya Pan American nione haha,
Harry alikua muhuni muhuni sana,
Hivyo vitabu hapana siuzi, nilikua napiga picha nikivipokea au kununua siku ya kwanza kabla sijaanza kusoma.
View attachment 1942995
Neno "fact" katika tafsiri ya kiswahili isiyo rasmi tunaweza kusema ni UKWELI ,ambapo neno "theory " ni Nadharia ,Hivi nadharia ni tofauti na fact?
Mwalimu wangu Mubarridi zile unasoma ni Nadharia?
Nadharia ni tofauti na fact. Kadhalika kuna mdau msome hapo juu ameelezea vizuri tofauti baina ya tamko "Nadharia" na "Fact(Uhalisia)".Hivi nadharia ni tofauti na fact?
Mwalimu wangu Mubarridi zile unasoma ni Nadharia?
Thank you for breaking it down for me.Neno "fact" katika tafsiri ya kiswahili isiyo rasmi tunaweza kusema ni UKWELI ,ambapo neno "theory " ni Nadharia ,
Kwahiyo ,,fact ni tofauti kabisa na nadharia ambayo ni theory ,,
Fact; is a statement or assertation of verified information about something that is the case or has happened and its truthness can be proved beyond any doubt and it occurs in the real world eg,,an example of a fact is that the world is Round, WHEREAS,
Theory is a supposition or a system of ideas intended to explain something especially one based on General principle independent of the things to be explained.
Eg , Darwins's theory of evolution
Wow, kazi nzuri sana.Nasoma kitabu hiki kwa sasa.
Ni kitabu cha mwaka 2008 [sijui kwanini nilikiweka kwenye orodha ya kukisoma muda wote huo], kimeandikwa na mchumi wa kikorea na mhadhiri huko Cambridge University.
Ujumbe uliopo kwenye kitabu hiki ni wa kupinga sera za taasisi za kimataifa za kifedha ambazo zinazitaka nchi masikini kuwa na sera biashara na soko huria, kushusha fedha zao, na kuruhusu uhuru wa mitaji kuingia nchini mwao ili ziweze kupiga hatua za Maendeleo ya viwanda (kiuchumi). Chang anarejea historia za chumi za nchi kama Uingereza na Marekani—viranja wa sera za uchumi huru—kuwa viwanda na uchumi wao haukujengwa kwa sera hizo, bali kwa kulinda viwanda vichanga, kuvipa ruzuku, kuweka kodi/ushuru mkubwa kwa bidhaa/rasilimali za kigeni, kuzipa hodhi ya kibiashara—kwa lengo moja tu ili viweze kukua na kuwa na uchumi imara. Baada ya kufanikiwa kuwa na uchumi imara ndipo mataifa haya yalianza kukumbatia sera za biashara huru. Hivyo kimsingi hoja yake—kwa ushahidi wa takwimu na historia—ni kuwa uchumi wa nchi haujengwi kwa sera za soko huru bali kwa sera za kulinda wazalishaji wa ndani ili waweze kusimama na kuwa washindani.
Kwa 20% nilizofika, naweza kukushawishi ukisome kitabu hiki. Hata mambumbu wa uchumi, tunaweza kuelewa lugha yake. View attachment 1948623
Asante mwalimu wangu. Ila nyingine zile sio fact huwa ni conspiracy. Ila sawa nimeelewa.Nadharia ni tofauti na fact. Kadhalika kuna mdau msome hapo juu ameelezea vizuri tofauti baina ya tamko "Nadharia" na "Fact(Uhalisia)".
Mimi huwa nasoma "Fact(Uhalisia)" mwanafunzi wangu.