Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Reading is one of my hobbies
I kind of read almost anything i lay my hands on

Nmesoma vingi sana kwa kweli
Ila kwa usingzi nlonao saivi let me just say
*The subtle art of not giving a f***
*An American Marriage
* Becoming by Mrs Obama were among good ones i read this year

nna pending km 10 hivi as of now

*Niwatakie heri ktk usomaji wenu
Asante LadyRed.
 
Hicho kitabu kimeenda dimension nyingine.

Kuna sehemu unaulizwa, vipi kama panya walio katika labotatory wana akili kuzidi watu wanaowafanyia majaribio, na kiukweli hao panya ndio wanawafanyia watu majaribio, lakini wamejifanya kama wao ndio wanafanyiwa majaribio ?
Lakini kuna kaukweli. lol
"I don't want to die now!" he yelled."I've still got a headache! I don't want to go to heaven with a headache, I'd be all cross and wouldn't enjoy it!".

"The argument goes something like this " I refuse to prove that I exist' Says God, "for proof denies faith, and without faith I am nothing"
 
nyie wezangu mmewezaje au mmesoma dady dady school kwenu nitu hivi kawaida sana
Uzuri maneno yanajirudia, kaa na kamusi ya English to English Ukishaelewa maneno zaidi ya matano hamna tabu tena.
 
Mfano hii Divine supermarket inaelezea historia ya imani za kidini kama Mormons na SDA, setting yake ni USA. Ukisoma kinatoa mwanga ni kwa jinsi gani dini ni biashara kwa kiasi flani. Hiyo Undercover economist ndo inaelezea mfano kwa nini unakutana na mtu anauza kahawa airport afu mwingine anauza kahawa hiyohiyo Buguruni uswahiluni uko. Hiyo Alfu Lela Ulela hakuna mtu hajui,nlianza kuisoma niko standard 5 nikiwa sijui ni nini. Baadae nakuja kukutana nacho but version zake ndo tatizo nyingine sio tamu kusoma
Asante sana. Kinasema ni sababu gani hizo mtu anauza kahawa buguruni na mwingine airport? nimetamani kujua wa buruguni anakwama wapi?
 
Asante sana.

Nadhani ni mipangilio tu ya mambo yako na muda wako, kwa wakazi wa Dar tunaotumia daladala kila siku kwenda kwenye majukumu yetu tunatumia zaidi ya saa moja kwenye foleni, muda huo unaweza kuutumia na kitabu vizuri tu.
Saa moja au nusu saa kabla ya muda wako wa kulala unaweza pia kujiwekea lengo walau usome kurasa 20 za kitabu kila siku muda huo, taratibu unajikuta ukifikia lengo.

Nimepunguza sana pia muda wa kutazama TV programs na series na muda ninaookoa hapo nauhamishia kwenye usomaji.
Episode moja ya series si chini ya nusu saa, kwa msomaji mzuri muda huo huo unaweza kuwa umesoma kurasa zako 20 vizuri tu.
Ongezea hapo na kupunguza muda wa kushinda online.
Asante sana kwa Ushauri.
 
Thanks for the thread, hoby yangu namba moja ni kusoma vitabu..baadhi nilivyosoma karibuni na quotes nilizopenda!

-As a man thinketh by james allen-Circumtances does not make a man, it reveals him to himself

-Essay on self reliance by Ralph Waldo Emerson- in every work of genius we see our own rejected thoughts

-Hown to win friends and influence people by Dale carnegie- kuna part anamzungmzia aliyewahi kuwa balozi wa USA Ben franklin aliyewahi kusema i will speak ill of no man but i will speak all the good i know about every body..pia anadokeza mahali Confucios aliwahi kunukuliwa akisema to know is to know nothing, hiki kitabu na recommend usome kwa kila hali!

-Meditations by Marcus aurelius- the best book to combat daily life situations based on stoic philosophy!

KHAN!
Thank you Khan na nitajaribu Meditations.
 
Kwani ni kitu gani mwanaume anaweza kufanya mwanamke hawezi ? Tuanzie hapa.
Kwanini umeuliza kuhusu kuweza na si kuhusu mipaka ?

Asili na silika ndio inaamua nani afanye hiki na nani asifanye hiki. Ama kuweza najua mnaweza ila si kama maumbile yanavyotaka. Bila shaka nimekujibu swali lako.
 
I like the book, taught me that Women can do anything that men can do, and that men CAN'T[emoji13]
Hii ndio ilikuwa Quote yangu.
Kwamba kupitia hicho kitabu nimegundua kwamba mwanamke anaweza kufanya kila kitu mwanaume anachoweza kufanya.
Kwanini umeuliza kuhusu kuweza na si kuhusu mipaka ?

Asili na silika ndio inaamua nani afanye hiki na nani asifanye hiki. Ama kuweza najua mnaweza ila si kama maumbile yanavyotaka. Bila shaka nimekujibu swali lako.
 
Seven habits of highly effective people
How to win friends and influence people
48 laws of power
The mastery
The art of Seduction
Ben Carson (4)



Vingine nimesahahu. Ndo naanza kusoma vitabu kwahyo najifunza pia how to memorize
 
Asante sana. Kinasema ni sababu gani hizo mtu anauza kahawa buguruni na mwingine airport? nimetamani kujua wa buruguni anakwama wapi?
Hiyo nayo pia setting ni USA. Mojawapo ni kuelezea umuhimu wa location katika biashara. Kwanini mtu afungue mgahawa airport alipe kodi ya mamilioni kwa mwezi wakati mwenzake yuko Buguruni analipa laki na bidhaa yenyewe ni kahawa ileile. Hiki kitu nimeshuhudia kwenye malls ukienda cheki cinema,popcorn unanunua buku elfu 3 zilezile unazonunua elfu moja pale Mbagara rangi tatu. LocatioLocation,target
 
Back
Top Bottom