Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,649
- 13,607
- Thread starter
-
- #281
Asante LadyRed.Reading is one of my hobbies
I kind of read almost anything i lay my hands on
Nmesoma vingi sana kwa kweli
Ila kwa usingzi nlonao saivi let me just say
*The subtle art of not giving a f***
*An American Marriage
* Becoming by Mrs Obama were among good ones i read this year
nna pending km 10 hivi as of now
*Niwatakie heri ktk usomaji wenu
Lakini kuna kaukweli. lolHicho kitabu kimeenda dimension nyingine.
Kuna sehemu unaulizwa, vipi kama panya walio katika labotatory wana akili kuzidi watu wanaowafanyia majaribio, na kiukweli hao panya ndio wanawafanyia watu majaribio, lakini wamejifanya kama wao ndio wanafanyiwa majaribio ?
Uzuri maneno yanajirudia, kaa na kamusi ya English to English Ukishaelewa maneno zaidi ya matano hamna tabu tena.nyie wezangu mmewezaje au mmesoma dady dady school kwenu nitu hivi kawaida sana
I'm humbled Paula,Great write-up. Thank you for sharing SweetieLee.
Asante sana. Kinasema ni sababu gani hizo mtu anauza kahawa buguruni na mwingine airport? nimetamani kujua wa buruguni anakwama wapi?Mfano hii Divine supermarket inaelezea historia ya imani za kidini kama Mormons na SDA, setting yake ni USA. Ukisoma kinatoa mwanga ni kwa jinsi gani dini ni biashara kwa kiasi flani. Hiyo Undercover economist ndo inaelezea mfano kwa nini unakutana na mtu anauza kahawa airport afu mwingine anauza kahawa hiyohiyo Buguruni uswahiluni uko. Hiyo Alfu Lela Ulela hakuna mtu hajui,nlianza kuisoma niko standard 5 nikiwa sijui ni nini. Baadae nakuja kukutana nacho but version zake ndo tatizo nyingine sio tamu kusoma
Ongezea hapo na kupunguza muda wa kushinda online.Asante sana.
Nadhani ni mipangilio tu ya mambo yako na muda wako, kwa wakazi wa Dar tunaotumia daladala kila siku kwenda kwenye majukumu yetu tunatumia zaidi ya saa moja kwenye foleni, muda huo unaweza kuutumia na kitabu vizuri tu.
Saa moja au nusu saa kabla ya muda wako wa kulala unaweza pia kujiwekea lengo walau usome kurasa 20 za kitabu kila siku muda huo, taratibu unajikuta ukifikia lengo.
Nimepunguza sana pia muda wa kutazama TV programs na series na muda ninaookoa hapo nauhamishia kwenye usomaji.
Episode moja ya series si chini ya nusu saa, kwa msomaji mzuri muda huo huo unaweza kuwa umesoma kurasa zako 20 vizuri tu.
Thank you Khan na nitajaribu Meditations.Thanks for the thread, hoby yangu namba moja ni kusoma vitabu..baadhi nilivyosoma karibuni na quotes nilizopenda!
-As a man thinketh by james allen-Circumtances does not make a man, it reveals him to himself
-Essay on self reliance by Ralph Waldo Emerson- in every work of genius we see our own rejected thoughts
-Hown to win friends and influence people by Dale carnegie- kuna part anamzungmzia aliyewahi kuwa balozi wa USA Ben franklin aliyewahi kusema i will speak ill of no man but i will speak all the good i know about every body..pia anadokeza mahali Confucios aliwahi kunukuliwa akisema to know is to know nothing, hiki kitabu na recommend usome kwa kila hali!
-Meditations by Marcus aurelius- the best book to combat daily life situations based on stoic philosophy!
KHAN!
Ngoja nianze tena kukisoma cos kila mtu anakisifia hicho kitabuUzuri maneno yanajirudia, kaa na kamusi ya English to English Ukishaelewa maneno zaidi ya matano hamna tabu tena.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]May you find peace and comfort. If you EVER need someone to talk to, pm me.
Msaa? Sijaelewa umemaanisha nini.Hii habari ya kweli au ya kutunga ? Sijakataa ya kuwa mwanamke hawezi kuwa na msaaa la hasha,bali hasa katika haya marejeo yako.
Msaada.Msaa? Sijaelewa umemaanisha nini.
Kwani ni kitu gani mwanaume anaweza kufanya mwanamke hawezi ? Tuanzie hapa.Msaada.
Kwanini umeuliza kuhusu kuweza na si kuhusu mipaka ?Kwani ni kitu gani mwanaume anaweza kufanya mwanamke hawezi ? Tuanzie hapa.
Hii ndio ilikuwa Quote yangu.I like the book, taught me that Women can do anything that men can do, and that men CAN'T[emoji13]
Kwanini umeuliza kuhusu kuweza na si kuhusu mipaka ?
Asili na silika ndio inaamua nani afanye hiki na nani asifanye hiki. Ama kuweza najua mnaweza ila si kama maumbile yanavyotaka. Bila shaka nimekujibu swali lako.
Hiyo nayo pia setting ni USA. Mojawapo ni kuelezea umuhimu wa location katika biashara. Kwanini mtu afungue mgahawa airport alipe kodi ya mamilioni kwa mwezi wakati mwenzake yuko Buguruni analipa laki na bidhaa yenyewe ni kahawa ileile. Hiki kitu nimeshuhudia kwenye malls ukienda cheki cinema,popcorn unanunua buku elfu 3 zilezile unazonunua elfu moja pale Mbagara rangi tatu. LocatioLocation,targetAsante sana. Kinasema ni sababu gani hizo mtu anauza kahawa buguruni na mwingine airport? nimetamani kujua wa buruguni anakwama wapi?
Ai no wari yu mini babe. [emoji7][emoji7][emoji7]you're so smart twinnie, and I wrote that quotation purposely for you, (ifu yu no wari aimini)..!!
you'll have it babes, it's one of the funniest and sweetest book I've ever read.!
VituHii ndio ilikuwa Quote yangu.
Kwamba kupitia hicho kitabu nimegundua kwamba mwanamke anaweza kufanya kila kitu mwanaume anachoweza kufanya.
Sawa.Hii ndio ilikuwa Quote yangu.
Kwamba kupitia hicho kitabu nimegundua kwamba mwanamke anaweza kufanya kila kitu mwanaume anachoweza kufanya.
Shukrani sana, Nililua nakitafuta sana Hiki BillionDollar Spy...Hivi vitabu navikubali sana
Nalog off