Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,649
- 13,607
- Thread starter
-
- #3,221
Wakati natafuta hiki kitabu niliona wanasema ni "it's a children's book".Ni must read. Ni kitabu cha watu wazima kilichoandikwa kwa mtindo wa kitoto. Biblia ndiyo kitabu kilichotafsiriwa zaidi duniani. Cha pili ni hiki.
Vya zamani sana hivi. Kuna Swahili Tales as told by native of Zanzibari na Swahili tales as told by Arabs.Zanzibar Tales: Told by Natives of the East Coast of Africa
View attachment 2336837
George W. Bateman is the author of the famous Zanzibar Tales, which were supposedly the inspiration for a lot of Disney stories like Bambi, The Lion King etc.
Bateman translated these folk stories, which were "narrated to him by the locals of Zanzibar" to English
Hongera sana. Kwa kweli si cha watoto. Tuliandaa na fasiri yake ya kiswahili.Wakati natafuta hiki kitabu niliona wanasema ni "it's a children's book".
Ila wakati nasoma nikawa nawaza kinakuwaje cha watoto huku nikiona ni kigumu kwa watoto kuelewa.
Okay, nilikisoma. Was a short read and it worth reading. Thank you.
Kilikuwa hakina tafsiri ya kiswahili bado? Vitabu vyenu vinapatikana wapi?Hongera sana. Kwa kweli si cha watoto. Tuliandaa na fasiri yake ya kiswahili.View attachment 2346629
Kilikuwepo. Kilitafsiriwa na mkurungenzi wa Mkuki na Nyota Walter Bgoya. Vitabu vyetu tunaweka kwa website na app Maktabaapp.comKilikuwa hakina tafsiri ya kiswahili bado? Vitabu vyenu vinapatikana wapi?
Sawa, Lycaon pictus.Kilikuwepo. Kilitafsiriwa na mkurungenzi wa Mkuki na Nyota Walter Bgoya. Vitabu vyetu tunaweka kwa website na app Maktabaapp.com
nimekutafuta sana bila mafanikio.
Tutumie pdf brVitabu vyangu pendwa kwa muda wote[emoji4][emoji4]View attachment 1262084View attachment 1262085View attachment 1262086
I read this in early 2000s, such a depressing book. The author tells his misfortunes in a light funny way but gosh, this book is sad. I have also read his other book ‘Tis
naomba hiko kitabu cha mark mansonThe Subtle of not giving a Fook- mark Manson
-The point is, most of us struggle throughout our lives by giving too many fucks in situations where fucks do not deserve to be given
Suntzu art of War - Make your plan be dark & impenetrable as night! When you move fall like a Thunderbolt
Here it isHey guys mwenye kitabu cha the secret soft copy naomba
Try reading books which speculates other things apart from your field, try life style books, even the so called motivational ones, novels and so far.... So many secrets are hidden in there my friendMy favorite books;
Bible
Pathologic basis of disease
Cell biology
Molecular biology
Applied biochemistry
Applied epidemiology and biostatistics