Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Ni must read. Ni kitabu cha watu wazima kilichoandikwa kwa mtindo wa kitoto. Biblia ndiyo kitabu kilichotafsiriwa zaidi duniani. Cha pili ni hiki.
Wakati natafuta hiki kitabu niliona wanasema ni "it's a children's book".

Ila wakati nasoma nikawa nawaza kinakuwaje cha watoto huku nikiona ni kigumu kwa watoto kuelewa.

Okay, nilikisoma. Was a short read and it worth reading. Thank you.
 

Zanzibar Tales: Told by Natives of the East Coast of Africa​

View attachment 2336837
George W. Bateman is the author of the famous Zanzibar Tales, which were supposedly the inspiration for a lot of Disney stories like Bambi, The Lion King etc.

Bateman translated these folk stories, which were "narrated to him by the locals of Zanzibar" to English


Vya zamani sana hivi. Kuna Swahili Tales as told by native of Zanzibari na Swahili tales as told by Arabs.
 
Wakati natafuta hiki kitabu niliona wanasema ni "it's a children's book".

Ila wakati nasoma nikawa nawaza kinakuwaje cha watoto huku nikiona ni kigumu kwa watoto kuelewa.

Okay, nilikisoma. Was a short read and it worth reading. Thank you.
Hongera sana. Kwa kweli si cha watoto. Tuliandaa na fasiri yake ya kiswahili.
1659948900281.png
 
Hae, You're welcome @vitabudhahabu

Our packages[emoji116]

1. Marriage
2. Children care
3. Love stories /novels
4. Gardening
5. Engineering
6. Medicine/ herbal medicine
7. Financial & Commerce
8. Inspirational books/ stories
9. Marketing books

[emoji117] 0787728422
 
Msaada please mwenye softcopy ya hiki kitabu nimekutafuta sana bila mafanikio. Thanks in advance
20220924_234348.jpg
 
Wakuu,natafuta Sophie's world,shall we tell the president na vitabu vingine mnavokumbuka alivitaja Kanumba kwenye Movie yake ya Moses
 
I'm reading it tonight, i hope we will discuss further this book, right here, thanks for sharing your thoughts
I read this in early 2000s, such a depressing book. The author tells his misfortunes in a light funny way but gosh, this book is sad. I have also read his other book ‘Tis
 
The Subtle of not giving a Fook- mark Manson
-The point is, most of us struggle throughout our lives by giving too many fucks in situations where fucks do not deserve to be given


Suntzu art of War - Make your plan be dark & impenetrable as night! When you move fall like a Thunderbolt
naomba hiko kitabu cha mark manson
 
Hey guys mwenye kitabu cha the secret soft copy naomba
 
Nisemae tu series The Remambrance of Earth's past(The three body problem) si ya kukosa kusoma kama unapenda scifi. Nimemaliza kitabu cha pili(The Dark Forest). Kitabu cha kwanza na cha pili vimepata Hugo awards huku cha mwisho kikifika fainali. Vitabu vizuri sana.
1667749012814.png
 
My favorite books;
Bible
Pathologic basis of disease
Cell biology
Molecular biology
Applied biochemistry
Applied epidemiology and biostatistics
Try reading books which speculates other things apart from your field, try life style books, even the so called motivational ones, novels and so far.... So many secrets are hidden in there my friend
 
Back
Top Bottom