Good hauna pdf hata moja apo mkuu1. Who moved my cheese? My favourite.
2. The white Maasai. 2nd Fav.
3. What everybody is saying- Joe Navarro (Helps me a lot in daily interactions). (I even prevented 2 possible accidents following knowledge I got from this book).
4. How to win friends and influence people- Changed my life.
5. The richest man in Babylon - taught me how to to save the little I get.
6. Many others
Unasoma mambo magumu😊.Quantum physics
Neuroscience
Inspiring books
Nilimanisha wanachukua kila kitu kama kilivyo na kuamini iwamba kwa kusoma kile kitabu ndio wameshayapatia maisha na kusahau kwamba kuna vitabu vingine ambavyo wanatakiwa wasome ili kupata vitu bora zaidi.Paula, rejea komenti yako namba 565, ninataka tuijadili hoja moja baada ya nyingine..
Unasema 'they take everything ... as if it can work for everyone an as if it is the only book out there, nini hicho au principle gani wanayodhani it can work for everyone na unamaanisha nini kwamba it is not the only book out there?
Kile ntakimalizia tu ngoja nianze na hiki cha pussy kwanza hili nisije kuwa mjinga kisa pussy [emoji250] [emoji250]
Good!1. Who moved my cheese? My favourite.
2. The white Maasai. 2nd Fav.
3. What everybody is saying- Joe Navarro (Helps me a lot in daily interactions). (I even prevented 2 possible accidents following knowledge I got from this book).
4. How to win friends and influence people- Changed my life.
5. The richest man in Babylon - taught me how to to save the little I get.
6. Many others
Fani yanguUnasoma mambo magumu😊.
Sawa ngoja nifikirie kipi kitakufaa.
rudi ulikotoka mkuu usigeuke nyumaMh! Nimepitea njia
Nilimanisha wanachukua kila kitu kama kilivyo na kuamini iwamba kwa kusoma kile kitabu ndio wameshayapatia maisha na kusahau kwamba kuna vitabu vingine ambavyo wanatakiwa wasome ili kupata vitu bora zaidi.
Concepts alizoziandika kwenye Rich dad poor dad, kuna vitabu Vingi tuu ukivisoma vinapingana na hizo baadhi ya kuncept na vina point kiasi kwamba ukisoma unaelewa kabisa kwanini kuna umuhimu wa kusoma vitabu vingi.
Wengi wetu tuna tabia, kwa kuwa mtu kafanikiwa hivo akiandika kitabu kila alichokiandika kule tunakiamini kwa sababu yeye ndio tajiri na njia alizoziandika ndio kazipitia hadi akafanikiwa hivyo ngoja na sisi tuziige tupite nazo. Tukiziiga hatuoni dalili hata kwa mbali ya kwamba tunakaribia kuwa matajiri kwa sababu matajiri wengi wamekuwa matajiri kwa "janja janja" na njia ambao hazitamaniki. Lakini wakiulizwa ilikuwaje? Wanatengeneza story flan amazing.
Kitabu cha Rich dad poor dad, kwa mtazamo wangu ni kizuri ila kimekaa kutoa "faraja" zaidi kuliko kutoa "ushauri". Na watu wengi ambao ndio wanapigana na maisha wanakipendaje tofauti na The Richest Man in Babylon ambacho kwangu Mimi naona ndio kina njia zote za msingi za mtu kufanikiwa hatoi faraja ni mwendo wa " kazi kazi".
Sijui kama nitakuwa nimekujibu, sipo vizuri kwenye uchambuzi ila, nilichokuwa namaanisha ukisoma kitabu, usibebe kila kitu kama kilivyo. Tafuta vitabu vingine uone navyo vinasemaje mwisho wa siku ukijumlisha concept za wote unakuja na concept moja zuri ambayo ni nzuri zaidi.
Fani yangu
Money can't buy me love; thus the best gift that i can offer my woman beside sex is, my attention,time and love. japo ni ngumu sana kwa wanawake wa sasaHaiwezi kuku control? Hongera sana.
There is a lot of things I can offer and they are more appreciated than this pussy of mine.
Companionship (shared interest and hobbies ), Love, Feminine energy, emotional support and material support, loyalty, trust, cuddles, Admiration, Genuine appreciation and so on and so forth.
And you, what can you offer a woman besides sex? Money??
OMG nilikuwa nawaza vipi kama sijaeleweka. Asante The Monk.Hapo kama haujaeleweka basi tena. The Richest Man in Babylon kwa mtazamo wangu kinatekelezeka na kinakueleza wajibu ulionao, usipoufuata ushauri na muongozo wake sahau kujifunza tabia za kutunza na kuilea pesa ikue zaidi na kuzaa zingine.
Nakubaluana na wewe kusoma vitabu tofautitofauti kuhusu jambo moja kunapanua wigo wa uelewa wa jambo.
Hakuna kitabu kimoja kinachojitosheleza kwa kila kitu na kwa kila mtu, mahitaji yanatofautiana.
Haha..... umenichekesha sana eti akupe cha pussyPaula Paul nimeanza kusoma vitabu siku hizi kupitia ww embu nipe hiki cha Pussy
Kweli? Pongezi sana.Fani yangu
Anapenda upishiSwahiba wangu Swalehe yeye si atakua hakim au rubani?
NashukuruKweli? Pongezi sana.
Sio jambo gumu, wanawake wote tunapenda attention, time and love kuliko hata hela.Money can't buy me love; thus the best gift that i can offer my woman beside sex is, my attention,time and love. japo ni ngumu sana kwa wanawake wa sasa
Acronomy hebu fafanua kidogo.Nadhani ni tabia ya wasoma vitabu wazuri kutolazimisha wengine kusoma, mara nyingi wanachofanya ni kuku-influence na kukueleza umuhimu wa kusoma vitabu.
Nina experience kutoka kwa baba yangu.