Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

1. Who moved my cheese? My favourite.
2. The white Maasai. 2nd Fav.
3. What everybody is saying- Joe Navarro (Helps me a lot in daily interactions). (I even prevented 2 possible accidents following knowledge I got from this book).
4. How to win friends and influence people- Changed my life.
5. The richest man in Babylon - taught me how to to save the little I get.
6. Many others
Hiyo namba 5. itabidi nikisome maana nimeona review yake sio mbaya
 
Acronomy hebu fafanua kidogo.
Nimepata fursa ya kuishi na watu wanaosoma vitabu, wa kwanza alikuwa Uncle wangu, huyu kwake alikuwa ''book shelf''kubwa na alikuwa msomaji mzuri sana wa vitabu. Nilianza kusoma vitabu nilipokuwa naishi kwake, hakunilazimisha wala alikuwa hajisifu kwa usomaji wake wa vitabu lakini alikuwa na msemo wake ''ubongo unahitaji kulishwa vitu tofauti kila mara, na njia nyepesi ni kusoma vitabu vya kila aina'' . Kauli hii ilinivutia na nikaanza kusoma vitabu. Watoto wa huyu uncle wangu sio wasoma vitabu kabisa na anko wala haonyeshi kuwalazamisha.
Wa pili ni baba yangu, ni msomaji mzuri sana wa vitabu hasa Spiritual Books na Bible Commentaries. Tumezaliwa kadhaa kwetu, mzee alituandalia mazingira ya kuwa wasomaji wa vitabu ikiwemo kuwa na ''book shelf'' kubwa na kununua vitabu vingi tofauti tofauti, lakini kamwe hakuwahi hata kutulazimisha kusoma vitabu.
Nadhani utambuzi mmoja wapo wa muhimu sana unaoupata kwenye usomaji wa vitabu ni kutambua kuwa watu wapo tofauti hivyo unaanza kuelewa binadamu wengine na kuheshimu ''interest'' zao.
Wasoma vitabu wazuri huwa na tabia hizi
1. Huwa na misamiati mingi katika lugha husika
2. Huandika na kuongea kwa ufasaha
3. Huwa na ujuzi wa kuelewa namna ya kuishi na watu
4. Sio watu wanaochangia kila mada, huwa wasikilizaji wazuri na ikitokea akaongea basi huwa anaongea kwa kujiamini na kwa usahihi.
5. Hawana ubishani sana hata kama yupo sahihi.
6. Uelewa mpana wa dunia na mambo yake.
 
Malcolm X: A Life of Reinvention by Manning Marable.
20191126_024339~2.jpeg
 
Sio jambo gumu, wanawake wote tunapenda attention, time and love kuliko hata hela.
Bravo!
Ni wanawake wachache sana. wengi wanapenda kutanguliza shida. without knowing that when a man loves you he will provide for you.

i had a friend who fell in love with a barmaid given that the guy was a foreigner yule mdada akataka kutanguliza shida. ilibidi nimute chemba yule mdada nikamwambia asitangulize shida ya pesa ikibidi siku atakayomtunuku jamaa asiombe hata kumi then ataona matokeo yake.

She did as i advised her; you know what happened? the guys used to give her 200$ or more per week.
she came and thanked me for the advise i gave her.
 
Kitabu kinafundisha umalaya.

Pussy unaweza kutumia kama silaha katika short term goals, na kwenye wanaume wanaokubali kununua pussy tu, ambao hawanq gqme, unaweza kutumia pussy kujiuza ili kupata pesa na kwenye quid pro quo nyingine.

Lakini kama huna zaidi ya pussy ku offer, mwanamme atakuchoka tu.
Umekisoma vizuri hicho kitabu?
 
Unaona sasa, umekisoma halafu ukaniambia haujakisoma.
Nadhani hii ni kama mara ya pili nakuona kwenye comments.
Nimekariri hiyo picha ya kwenye account yako.
Kwahiyo nikisema ni kwa kusoma story zako nitakuwa nasema uongo. Ila umenikumbusha ngoja nikakusome.

Kwani wewe umetumia kigezo gani kuniita mdogo wako?
You got him kirahisi 🤣 🤣
 
Nimepata fursa ya kuishi na watu wanaosoma vitabu, wa kwanza alikuwa Uncle wangu, huyu kwake alikuwa ''book shelf''kubwa na alikuwa msomaji mzuri sana wa vitabu. Nilianza kusoma vitabu nilipokuwa naishi kwake, hakunilazimisha wala alikuwa hajisifu kwa usomaji wake wa vitabu lakini alikuwa na msemo wake ''ubongo unahitaji kulishwa vitu tofauti kila mara, na njia nyepesi ni kusoma vitabu vya kila aina'' . Kauli hii ilinivutia na nikaanza kusoma vitabu. Watoto wa huyu uncle wangu sio wasoma vitabu kabisa na anko wala haonyeshi kuwalazamisha.
Wa pili ni baba yangu, ni msomaji mzuri sana wa vitabu hasa Spiritual Books na Bible Commentaries. Tumezaliwa kadhaa kwetu, mzee alituandalia mazingira ya kuwa wasomaji wa vitabu ikiwemo kuwa na ''book shelf'' kubwa na kununua vitabu vingi tofauti tofauti, lakini kamwe hakuwahi hata kutulazimisha kusoma vitabu.
Nadhani utambuzi mmoja wapo wa muhimu sana unaoupata kwenye usomaji wa vitabu ni kutambua kuwa watu wapo tofauti hivyo unaanza kuelewa binadamu wengine na kuheshimu ''interest'' zao.
Wasoma vitabu wazuri huwa na tabia hizi
1. Huwa na misamiati mingi katika lugha husika
2. Huandika na kuongea kwa ufasaha
3. Huwa na ujuzi wa kuelewa namna ya kuishi na watu
4. Sio watu wanaochangia kila mada, huwa wasikilizaji wazuri na ikitokea akaongea basi huwa anaongea kwa kujiamini na kwa usahihi.
5. Hawana ubishani sana hata kama yupo sahihi.
6. Uelewa mpana wa dunia na mambo yake.
Asante kwa maelezo haya acronomy
 
Good!
Hii What Everybody Is Saying kinahusu nini?
What everybody is saying kinahusu Body language! So humo ndani author kaeleza mambo mbalimbali na maana zake. Mfano posture za miguu na mikono, facial expressions, kijasho chembamba, direction ya macho pindi mtu anapofafanua jambo. n.k. ni kizuri sana ukikielewa.
 
Ni wanawake wachache sana. wengi wanapenda kutanguliza shida. without knowing that when a man loves you he will provide for you.

i had a friend who fell in love with a barmaid given that the guy was a foreigner yule mdada akataka kutanguliza shida. ilibidi nimute chemba yule mdada nikamwambia asitangulize shida ya pesa ikibidi siku atakayomtunuku jamaa asiombe hata kumi then ataona matokeo yake.

She did as i advised her; you know what happened? the guys used to give her 200$ or more per week.
she came and thanked me for the advise i gave her.
Tatizo njaa ndio zinatuponza na hali ngumu za maisha hadi ukimpata mwanaume unahisi kama umepata kazi kwenye shirika Fulani na huyo ndio boss.

Ila kwa mwanamke anayejitambua hata kama ana njaa lazima awe na ustaarabu.

Nakubaliana na wewe Fursakibao.
 
Vitabu vyenye hamasa kubwa vimeandikwa na mabepari. Sasa wewe endelea kuisoma vikaragosi vya akina Erick Shigongo kama stress hazijaongezeka badala ya kupungua
Hivi kwanini mtumie kingereza wakati nyie ni waswahili wa Yombo? Sio fair kabisa mnachotufanyia mliosoma shule za mabasi ya njano..
 
Kwa ufupi mwandishi wa hicho kitabu amejaribu kuwa shauri wanawake wenzake wasiwe cheap. hivyo akawa anawapa mbinu na kujarubu kuwaelekeza jinsi ya kukwepa mitego yetu.
Ametuambia "flip the switch in your female brain, so you can beat men at their own game" ili tu "become the type of woman that commands respect from men".

Kuna hicho Why Men Love Bitches itabidi nikipata muda nikisome na mimi nijue mbinu zenu.
 
Back
Top Bottom