hahahaaa inaonekana wewe ni mvivu was kuzungumza na kuandikaIla ndugu zurri ww hua unatoa wapi maneno yote hayo.?
Naomba niazime ...
Upo wapi Hornet?Naomba niazime ...
Nipo Kimara Dar es SalaamUpo wapi Hornet?
hahaaa huyo ndiye ZurriNo sio mvivu wa kuongea basi tu sina wongi wa maneno hata hayo machache siwezi kuyawasilisha mbele za watu. Sasa nashangaa huyu ndugu yy maneno anatoa wapi
Nipo nje ya Tz ila nikija nitakuja nacho kama utakuwa bado haujakisoma.Nipo Kimara Dar es Salaam
hahaaa huyo ndiye Zurri
kipaji chake akitumie kuandaa nakala
Nipo nje ya Tz ila nikija nitakuja nacho kama utakuwa bado haujakisoma.
Kajaliwa sana..mwalimu itakua alipata tabu kusahisha ese zake
hahaaa huyo ndiye Zurri
kipaji chake akitumie kuandaa nakala
Yupo vyema sanaKuna watu wanaandika vitu mpaka unaushangaa ubongo wake.
Halafu anaweza kusimulia bila kufanya reference, shida sana.
Zurri naye ni shida huyo jamaa
Yupo vyema sana
sijui hizo References huwa anaziwekaje Kichwani!
Binafsi uwezo wa kutunza vitu kama vilivyo siwezi kabisa,
Nampa Kongole Mkuu Zurri
umenifanya nichekeVitabu pekee ambavyo nimejikuta nakuwa na references kichwani ni vile nakuwa navirudia rudia.
Mfano vitabu vya Mario Puzo, hivyo navikumbuka vingi sana, ila kwa marudio. Ila huyu mjamaa namsomaga namwacha alivyo.
I recommend Seneca's writings.Is there any book that can avoid thanatophobia.
I'm not thanatophobic, but I wish to overcome all forms of phobia and axienty.
Sent using Jamii Forums mobile app
OkaySawa tutakisubiri.
Vitabu pekee ambavyo nimejikuta nakuwa na references kichwani ni vile nakuwa navirudia rudia.
Mfano vitabu vya Mario Puzo, hivyo navikumbuka vingi sana, ila kwa marudio. Ila huyu mjamaa namsomaga namwacha alivyo.