Una Softcopy yake?
Kutarujumiwa ndio nini wewe ZurriYa kiarabu lakini ninayo. Ila sababu ya umaarufu wake hiki kitabu bila shaka kitakuwa kimetarujumiwa katika Kiingereza search "A Thousand and One Nights".
Mimi nitakuandalia mtihani Anza na Man's Search for Meaning by Viktor Frankl.Huu uzi nilikuwa nauona, nau skip kumbe mzuri hivi.
Sasa na wale ambao hatuwezi kusoma bila kupewa mitihani, mnatusaidiaje?
Kama vipi andaeni mitihani huku mkitoa na reference za vitabu vya kujibia hapahapa JF.
Paula Paul unasemaje?[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoa maneno toka lugha moja kwenda nyingine.Kutarujumiwa ndio nini wewe Zurri
kiingilishi kitupe tabu ya kukaa na kadikishionare, hadi kiswahili tubebelee makamusi.
Acha zako wewe[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ngoja nivitafute.Mimi nitakuandalia mtihani Anza na Man's Search for Meaning by Viktor Frankl.
Ni kifupi na ni kirahisi kukisoma.
Au unaweza kusoma Dostoevsky's Notes from Underground ndicho nakisoma sasa hivi.
okey fine , thanks for the .....Hii huandikwa hivi "Alf Laylat wa Laylat" .
Ondoa shaka, mtihani utalingana na umri wako.
Ya kiarabu lakini ninayo. Ila sababu ya umaarufu wake hiki kitabu bila shaka kitakuwa kimetarujumiwa katika Kiingereza search "A Thousand and One Nights".
Soma cha Kiarabu chenyewe sasa, ndio kitamu zaidi.Al Maarufu kinaitwa Arabian nights vile vile. Vya lugha ya kiswahili ndio vitamu, nilijaribu kusoma cha Kiingereza kikanishinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Kheeeeee nipo nasoma comment tuu ila kuna kitu naomba if unayo soft copy naomba... Binafsi napenda vitabu vya interligensia kama cha the inferno kama soft copy unazo please usione shaka ni tag maana uwa vina ni changamsha ubongo wangu kupunguza mtindioHii huandikwa hivi "Alf Laylat wa Laylat" .
Poa.Kheeeeee nipo nasoma comment tuu ila kuna kitu naomba if unayo soft copy naomba... Binafsi napenda vitabu vya interligensia kama cha the inferno kama soft copy unazo please usione shaka ni tag maana uwa vina ni changamsha ubongo wangu kupunguza mtindio
Umewaza nini Myahudi Jr?
Umewaza nini Myahudi Jr?
Nilitamani kujua amewaza nini kufikia huo uamuzi ili kama alichokiwaza ni tofauti nimwambie abadili mtazamo anaonitazamia.Wewe mpe nafasi, ndo kashaelewa somo.
Nilitamani kujua amewaza nini kufikia huo uamuzi ili kama alichokiwaza ni tofauti nimwambie abadili mtazamo anaonitazamia.