Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Kuna siku tumewahi kuwa na mada inafanana na hii, nadhani alikuwa ni Don Clericuzio na Zurri kama sijakosea.

Nilimwambia nimesoma sana vitabu vya relationships, friendship na kuhudhuria semina za nyingi za mapenzi , mahusiano na urafiki hadi notebook imejaa, but I just can't put them into practice.

Tukagundua kwamba siyo kila kitu tunachokisoma lazima tukitumie katika maisha yetu, vingine tunajifunza kwa sababu ya kuwapa watu wengine ushauri.

Mfano watu wengi wanaofundisha ujasiriamali, wanategemea fee ya kuingia kama mapato yao, wengi hawana hata biashara ya karanga.

So, Fransisco ukiona unashindwa kukitumia ulichojifunza tafuta mtu umpe akitumie yeye yawezekana siyo kwa ajili yako.
And this is what matters, Bravo,, ndo maana nakuelewaga madam Paula Paul

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku tumewahi kuwa na mada inafanana na hii, nadhani alikuwa ni Don Clericuzio na Zurri kama sijakosea.

Nilimwambia nimesoma sana vitabu vya relationships, friendship na kuhudhuria semina za nyingi za mapenzi , mahusiano na urafiki hadi notebook imejaa, but I just can't put them into practice.

Tukagundua kwamba siyo kila kitu tunachokisoma lazima tukitumie katika maisha yetu, vingine tunajifunza kwa sababu ya kuwapa watu wengine ushauri.

Mfano watu wengi wanaofundisha ujasiriamali, wanategemea fee ya kuingia kama mapato yao, wengi hawana hata biashara ya karanga.

So, Fransisco ukiona unashindwa kukitumia ulichojifunza tafuta mtu umpe akitumie yeye yawezekana siyo kwa ajili yako.

Word


Sent from iPhone 6s Plus
 
Kuna siku tumewahi kuwa na mada inafanana na hii, nadhani alikuwa ni Don Clericuzio na Zurri kama sijakosea.

Nilimwambia nimesoma sana vitabu vya relationships, friendship na kuhudhuria semina za nyingi za mapenzi , mahusiano na urafiki hadi notebook imejaa, but I just can't put them into practice.

Tukagundua kwamba siyo kila kitu tunachokisoma lazima tukitumie katika maisha yetu, vingine tunajifunza kwa sababu ya kuwapa watu wengine ushauri.

Mfano watu wengi wanaofundisha ujasiriamali, wanategemea fee ya kuingia kama mapato yao, wengi hawana hata biashara ya karanga.

So, Fransisco ukiona unashindwa kukitumia ulichojifunza tafuta mtu umpe akitumie yeye yawezekana siyo kwa ajili yako.
Hahaha yeah real i'm coming to realization vile tunaenda. Asante kwa kunifungue katika dimension nyingine.

Japo imenikumbusha nimewahi kuharibu ukaribu na mtu kisa kumpa ushauri wa haja sana ila mimi kwangu apply nashindwa akawa nananiuliza "mbona mimi huwa unanishauri nakuelewa unashindwa nini kuji apply mwenyewe?" Akaona kama nazingua na hiyo ikawa reason ya ku fall apart.

So now it makes sense to me.
 
Kuna siku tumewahi kuwa na mada inafanana na hii, nadhani alikuwa ni Don Clericuzio na Zurri kama sijakosea.

Nilimwambia nimesoma sana vitabu vya relationships, friendship na kuhudhuria semina za nyingi za mapenzi , mahusiano na urafiki hadi notebook imejaa, but I just can't put them into practice.

Tukagundua kwamba siyo kila kitu tunachokisoma lazima tukitumie katika maisha yetu, vingine tunajifunza kwa sababu ya kuwapa watu wengine ushauri.

Mfano watu wengi wanaofundisha ujasiriamali, wanategemea fee ya kuingia kama mapato yao, wengi hawana hata biashara ya karanga.

So, Fransisco ukiona unashindwa kukitumia ulichojifunza tafuta mtu umpe akitumie yeye yawezekana siyo kwa ajili yako.
Naam.
 
Hapo ndo ule msemo wa mganga hajigangi unapochukua nafasi.
Sure, anajikuta anatumika kama daraja kuwavusha wenzake tuu.

Kuna mtu mmoja huko comments za nyuma alisema aliacha kusoma vitabu vya kuhamasisha baada ya kugundua kuwa mwandishi wa kitabu alikufa maskini. Hivo akaona hicho kitabu ni hakina maana.

Msemo ni ule ule, mganga hajigangi. Lakini kuna watu wanakuwa matajiri kwa kutumia mbinu zake.
 
Hahaha yeah real i'm coming to realization vile tunaenda. Asante kwa kunifungue katika dimension nyingine.

Japo imenikumbusha nimewahi kuharibu ukaribu na mtu kisa kumpa ushauri wa haja sana ila mimi kwangu apply nashindwa akawa nananiuliza "mbona mimi huwa unanishauri nakuelewa unashindwa nini kuji apply mwenyewe?" Akaona kama nazingua na hiyo ikawa reason ya ku fall apart.

So now it makes sense to me.

Pole sana, ila siku atagundua kwamba kuna wakati unaweza kumvusha mtu kwenye tatizo huku wewe hauwezi kuvuka mpaka atokee mtu na wewe akuvushe.
Ipo sana.
 
Sio kila kitu utakachokisoma au kujifunza sasa hivi utakitumia au kuona faida yake sasa hivi, kuna vitu vitakusaidia siku za usoni.

Pili, kuna vitu ukisoma kile ulichokisoma kitabadili uelewa na ufaham wako kuhusu jambo flani, unaweza usione matokeo ya moja kwa moja ya ulichosoma lakini ukafaidi kwa namna unavyofanya maamuzi kwa uwezo ulioboreshwa na ulichokisoma.

Tatu ndio hapo ufaham na elimu unayoipata kwa vitabu inaweza kuwasaidia wengine kufanya mambo makubwa au kutatua changamoto zao.

Kwa ufupi, kusoma kitabu kwa namna yeyote ile haikuachi kama ulivyokua awali. Hua sijutii au kuihurumia pesa nnayoitumia kununua kitabu.
 
Wewe ulinikatisha tamaa kwamba hautaelewa. Hayo mambo ulishaamua kuyaweka kando auhitaji ushauri.

Kuna wakati unaweza kushindwa kuelewa kwa sababu ya uwasilishaji wa mwalimu.

Ila mwalimu kama yuko vizuri, anarahisisha sana maisha na unajikuta hesabu za logarithm unazifanya kama za kujumlisha na kutoa.
 
Sio kila kitu utakachokisoma au kujifunza sasa hivi utakitumia au kuona faida yake sasa hivi, kuna vitu vitakusaidia siku za usoni.

Pili, kuna vitu ukisoma kile ulichokisoma kitabadili uelewa na ufaham wako kuhusu jambo flani, unaweza usione matokeo ya moja kwa moja ya ulichosoma lakini ukafaidi kwa namna unavyofanya maamuzi kwa uwezo ulioboreshwa na ulichokisoma.

Tatu ndio hapo ufaham na elimu unayoipata kwa vitabu inaweza kuwasaidia wengine kufanya mambo makubwa au kutatua changamoto zao.

Kwa ufupi, kusoma kitabu kwa namna yeyote ile haikuachi kama ulivyokua awali. Hua sijutii au kuihurumia pesa nnayoitumia kununua kitabu.
You said it The Monk, Crystal clear.
 
Back
Top Bottom