Kwenye PDF drive wamekiondoaNaombeni mwenye soft copy ya hiki kitabu plz"The economics of money banking and financial markets"author ni Frederick mishkin
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinaongelea kwa uhusiano wa Bible au kipoje?Kitabu hiki nadhani nimekisoma pekeyangu Business secret in the Bible mwadishi ni muisrael aisee amazing book ever...
Sent using Jamii Forums mobile app
Vitabu vya Chase
Any book by J.K.Rowling
Vitabu vya Dan Brown
African Socialism by Abdulahman Babu
Kinaongelea kwa uhusiano wa Bible au kipoje?
Thanks...Mkuu ingia www.pdfdrive.com utapata vitabu vingi tu.
Kwa kuongezea, unaweza pia kupitia websites hizi kupata vitabu zaidi;Thanks...
Asante kwa kujali mkuu...Kwa kuongezea, unaweza pia kupitia websites hizi kupata vitabu zaidi;
Library Genesis
EBooksCart - Free Books one Click Away
Electronic library. Download books free. Finding books
Sent from my SM-A705F using JamiiForums mobile app
Nina top ten kwenye categories mbali mbali.
Wewe unapenda vitabu vya namna gani ili nikupe top ten yangu iliyo base upande huo?
Wakuu leo nimemaliza kusoma icho kitabu nakiri kimenibadilisha sana, nimekua sina displine ya hela hata kidogo nahisi nimechelewa kukisoma hiki kitabu and I promise from now on am gonna be rich trust me guys. Nimejipa miaka miwili yakuyafanyia kazi yote niliosoma. Sasa hivi nimeanza kusoma kitabu cha “ THINK BIG GROW RICH”.... Stay at home corona inaua.
Sent from iPhone 6s Plus
Rich dad poor dad ndio nimekimaliza, sasa hivi nasoma cashflow quadrants
Rich dad poor dad ndio nimekimaliza, sasa hivi nasoma cashflow quadrants
Mimi natumia pdf drive mkuu kasearch Google kuna kila aina ya kitabu
Thank you, Siku za ajabu.Kinaongelea siri ya biashara iliyopo ndani ya biblia yani kina mistari humo ndani ukiisoma na anavyoifafanua utashangaa sana yani ndio mana waisrael wamefanikiwa sana kibiashara maana kuna misingi ya biashara ambayo iko ndani ya biblia huez kuipata kwingine kitafte ukisome utashangaa sana unaweza kumtafuta youtube anaitwa Rabbi daniel lapin ni muisrael ambae ameish sana africa na vitabu vyake ni best selling book in usa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nitakuandalia hiyo list.Napenda vya personal growth.. vya kunijenga zaidi (japo vitabu vyote vina dhumuni hilo I believe) kubadili namna flan ya maisha na mwelekeo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitajie jina nikiagize.Kinaongelea siri ya biashara iliyopo ndani ya biblia yani kina mistari humo ndani ukiisoma na anavyoifafanua utashangaa sana yani ndio mana waisrael wamefanikiwa sana kibiashara maana kuna misingi ya biashara ambayo iko ndani ya biblia huez kuipata kwingine kitafte ukisome utashangaa sana unaweza kumtafuta youtube anaitwa Rabbi daniel lapin ni muisrael ambae ameish sana africa na vitabu vyake ni best selling book in usa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tutorial yake nilishakuwepo nayo kwenye pc yangu kwa bahati mbaya window ilicorupt na kila nikijaribu kuitafuta ile tutorial hasa kule kickass via utorrent siipati tena. Msaada wa hiyo video tutorial please kam utakuwanayo. Natanguliza shukrani zangu za dhati.Sawa nitakuandalia hiyo list.
Lakini anza na hiki The Seven Habit Of Highly Effective People by Stephen Covey .
Jaribu kuitafuta/ ku-search YouTube Eng Inc.Kuna tutorial yake nilishakuwepo nayo kwenye pc yangu kwa bahati mbaya window ilicorupt na kila nikijaribu kuitafuta ile tutorial hasa kule kickass via utorrent siipati tena. Msaada wa hiyo video tutorial please kam utakuwanayo. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Sent using Jamii Forums mobile app