Jaribu kuitafuta/ ku-search YouTube Eng Inc.
Bila shaka ni hiki.
Sawa nitakusaidia. Hiyo tutorial ilifanywa na nani.?
Daaah unatisha sana ndio hiki naomba ukiweke na cha though shall proper ni huyo huyo rabbi lapinBila shaka ni hiki.
Sawa nitakusaidia. Hiyo tutorial ilifanywa na nani.?
Huyu mwandishi sijamsoma. Ila nimepitia Contents tuu nimejikuta namkubali.Daaah unatisha sana ndio hiki naomba ukiweke na cha though shall proper ni huyo huyo rabbi lapin
Sent using Jamii Forums mobile app
Naombeni na iki Basi jaman,huku mnachat kwa kujuana eti,mbona sis wageni hatusaidiwi?Naombeni mwenye soft copy ya hiki kitabu plz"The economics of money banking and financial markets"author ni Frederick mishkin
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usiishi na mentality ya namna hii inaweza ikakupa shida. Kama mtu anacho na ana moyo wa kukupa atakupa tu bila shidaNaombeni na iki Basi jaman,huku mnachat kwa kujuana eti,mbona sis wageni hatusaidiwi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu ,ila nmetoa ili ombi.mda mrefu hamna ata anayecomentMkuu usiishi na mentality ya namna hii inaweza ikakupa shida. Kama mtu anacho na ana moyo wa kukupa atakupa tu bila shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekupenda bure aisee you made my day Mungu akubariki kwa wema wako...Huyu mwandishi sijamsoma. Ila nimepitia Contents tuu nimejikuta namkubali.
Kwanza hizo amri kumi nimezielewa sana.
Kuwa na amani. Hamna anayejuana na mtu humu. Hiki kitabu ni kikubwa sana nilikuwa najaribu kupata chenye MBs ndogo.Naombeni na iki Basi jaman,huku mnachat kwa kujuana eti,mbona sis wageni hatusaidiwi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wooow Asante Sana sisterKuwa na amani. Hamna anayejuana na mtu humu. Hiki kitabu ni kikubwa sana nilikuwa najaribu kupata chenye MBs ndogo.
Amen. Asante sana kwa kunipa vitu vipya.Nimekupenda bure aisee you made my day Mungu akubariki kwa wema wako...
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sana.
•Purpose driven life by Rick Warren kipo pia version ya kiswahili.(maisha yanayoongozwa na malengo)
•The holly spirit and his gifts by Kenneth E Hagin.A great spiritual book
Purple hibiscus by chimmanda ngozi adichie
Half of yellow sun by chimmanda ngozi adichie
Americanah by chimmanda ngozi adichie
The thing around your neck by chimmanda ngozi adichie
Things fall apart by chinua Achebe
Gifted hands ben Carson
Songs of lawino and ocol
Who Will cry when you die
Napenda Sana vitabu ambavyo authors wake ni waafrica, you can relate and learn at the same time my favorite authors so far ni chinua Achebe na chimmanda ngozi adichie.
Dada kwema? Kitabu chetu cha cashflow nakikimbiza balaaAmen. Asante sana kwa kunipa vitu vipya.
Mimi mzima , Upo poa?Dada kwema? Kitabu chetu cha cashflow nakikimbiza balaa
Yah vinarelate balaa kama hujasoma rich dad poor dad inakua ngumu kuelewa. Now naanza kuyafanyia kazi niliyosoma.Mimi mzima , Upo poa?
Umeona vile ukiwa umesoma Rich dad,Poor Dad hii Rich dad's cashflow quadrants inavyokuwa nzuri Yohimbe Bark?
Sawa nitakuandalia hiyo list.
Lakini anza na hiki The Seven Habit Of Highly Effective People by Stephen Covey .