Asante sana.You are so lucky umesoma kitabu kwa mara ya kwanza na kukipenda Safuher.
Vipo vingi vizuri zaidi na zaidi. Karibu katika huu ulimwengu wa vitabu utajionea.
Hicho ni cha "self help " sio? Sina kumbukumbu kama nimewahi kukisoma.Asante sana.
Kuna hardcopy moja ninayo kitabu kinaenda kwa jina la "the way of the peaceful warrior"
Nilinunua maeneo ya mnazi mmoja dares salaam kama 2000 hivi,sijakisoma sasa hivi ni mwezi mmoja umepita.
Sijui ni kizuri hiki kitabu ?
Alafu pia nimegundua kuwa the secret katumia lugha laini ambayo hta sisi wabovu wa lugha tunaweza kupapasia kuelewa maudhui...
Hicho ni cha "self help " sio? Sina kumbukumbu kama nimewahi kukisoma.
Kinachofanya kitabu kuwa na lugha ngumu ni "technical terms ". Kwa mfano vitabu kuhusu sheria kuna maneno ya kisheria ambayo lazima yatumike. Kama wewe haujasoma sheria basi ni ngumu kuyaelewa hadi utumie dictionary.
Pia vitabu vya biashara vinatumia lugha ya biashara nk.
Lakini hivi aina ya The Secret havina lugha ngumu kwa sababu wanatumia hii lugha ambayo tunaizungumza kila siku kila wakati. Nadhani hii ni sababu.
Hii ni The Bad Beginning?
Uliifanyaje mpaka ikaleta hiyo opt ya malipo? Mie mbona kwangu naingia free na mwisho nimetokapo huko mida ya saa 2Natumia app ya any book...cjaingia mda Leo nmeingia wanasema inabidi nilipie 16,000 ndio niweze kupata huduma!
Nalipiaje? Naombeni msaada
Hii ni The Bad Beginning?
Ndiyo Paula.
Ni vitabu vya watoto lakini mkwara aliouweka huyo mwandishi kwenye muhitasari ulinivutia kuvisoma.View attachment 1461355
Nimeweka hiyo nukuu ya mwanzoni kukubaliana nawe kuhusu ugumu wa kusoma vitabu vya sheria au fani yoyote ambayo si familiar kwa msomaji.
Hata hivyo, msomaji akivutiwa na kitu fulani anaweza kupata anachotaka kutoka vitabu vya fani yoyote ile.
Mfano, hao yatima wa Baudelaire walilazimika kusoma vitabu vya sheria na kupata vifungu vilivyowasaidia kuulinda urithi wao usiporwe na Count Olaf.
Nisaidie kupata kitabu cha tatu kwenye hii series Paula. Nadhani title yake yaweza kuwa Zombies in The Snow.
Cheers.
Here, have this.Ndiyo Paula.
Ni vitabu vya watoto lakini mkwara aliouweka huyo mwandishi kwenye muhitasari ulinivutia kuvisoma.View attachment 1461355
Nimeweka hiyo nukuu ya mwanzoni kukubaliana nawe kuhusu ugumu wa kusoma vitabu vya sheria au fani yoyote ambayo si familiar kwa msomaji.
Hata hivyo, msomaji akivutiwa na kitu fulani anaweza kupata anachotaka kutoka vitabu vya fani yoyote ile.
Mfano, hao yatima wa Baudelaire walilazimika kusoma vitabu vya sheria na kupata vifungu vilivyowasaidia kuulinda urithi wao usiporwe na Count Olaf.
Nisaidie kupata kitabu cha tatu kwenye hii series Paula. Nadhani title yake yaweza kuwa Zombies in The Snow.
Cheers.
Here, have this.
Thank you dear.Asante Paula.
Now I will be able to rest easy knowing the fate of the Baudelaire orphans.
Thank you dear.
How can you rest easy, knowing that they are filled with bad luck and misery?
The Alchemist by Paulo Coelho
"If someone isn't what others want them to be, the others become angry. Everyone seems to have a clear Idea of how other people should learn their lives, but none about his or her own".
"And, when you want something, all the universe conspires in helping you to achieve it".
"It's possibility of having a dream come true that makes life interesting ".
"When we love, we always strive to become better than we are, when we strive to become better than we are, everything around us become better too".
"There is only one thing that makes a dream impossible to achieve : fear of failure ".
"The secret of life, though is to fall seven times and get up eight times".
"I don't live in either my past or my future, I am interested only in the present. If you can concentrate always on the present, you will be a happy man. Life will be a party for you, a grand festival, because life is the moment we are living now." Paulo Coelho, The Alchemist.
Cc SweetieLee, 4G LTE
Anhaaa mkuu sasa nimeelewa kwa nini kuna ugumu flani.Hicho ni cha "self help " sio? Sina kumbukumbu kama nimewahi kukisoma.
Kinachofanya kitabu kuwa na lugha ngumu ni "technical terms ". Kwa mfano vitabu kuhusu sheria kuna maneno ya kisheria ambayo lazima yatumike. Kama wewe haujasoma sheria basi ni ngumu kuyaelewa hadi utumie dictionary.
Pia vitabu vya biashara vinatumia lugha ya biashara nk.
Lakini hivi aina ya The Secret havina lugha ngumu kwa sababu wanatumia hii lugha ambayo tunaizungumza kila siku kila wakati. Nadhani hii ni sababu.
Naomba softy copy ya investment book napenda vitabu vya investment.Yeah, anasema kama unataka kusoma kitabu cha ku-enjoy basi hiko kitabu si sahihi. Kimejaa machungu.
Kitabu cha tatu ni The Wide Window. Hamna Zombie in The Snow kwenye hizi series kabisa.
Zombie in the snow ni movie ambayo imechezwa kufuatia hadithi ya The Reptile Room Nownmai.
Thank you Nownmai and you are welcome.1. I think the highest tribute one could pay to the Baudelaire orphans is to read their story to the end regardless of whether it is good or bad ending.
2. I have a suspicion that Mr
Lemony Snicket is trying to control the mind of his readers.
I choose to defy him by reading his books to completion though he is the winner whichever choice the reader makes.
3. Lastly, I ‘ve always had this urge to finish anything I start whether it is a book, a course, an adventure, a romance or whatever. Real or fantasy!
If Book the Third is not the last part, I am afraid I will have to keep on seeking for the sequels. I hope I can count on you to help me in that quest.
Thank you once more Paula for allowing me to have a glance at your world.
Ukisoma vitabu utapata ujuzi wa fani ambazo hata haujazisomea. Wewe soma tuu utajionea.Anhaaa mkuu sasa nimeelewa kwa nini kuna ugumu flani.
Sasa je njia ya kuangalia dictionary itasaidia au itabidi mtu uwe na ujuzi wa cozi hizo ambazo misamiati hutolewa humo mkuu ?
Nimeimaliza the secret,sasa nimeianza the magic na sasa nipo day three.mambo ni mazuri sana aisee,nataka nijionee hii the power of gratitude..
Unahitaji kitabu gani nikutafutie?Naomba softy copy ya investment book napenda vitabu vya investment.