Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Jamni pdf wakuuu mnatutamanisha tuuuu,binafsi nimesoma cha how to make friend and influence p, nimepata kitu nime apply nikaanzia kwa watoto imework nina rafiki wengi watoto wadogo mpka wazazi wao wanashangaa,bado kwa watu wakubwa n.k
 
The Da Vi nci Code.

The Lost Symbol.

Angels an Demons.

Inferno.

The Origin.

All by Dan Brown.

The Scorpion Illusion.

The Icarus Agenda.

The Bourne Identify.

The Bourne Supremacy.

The Bourne Ultimatum.

The Bourne Betrayal.

The Bourne Legacy.

The Hades Factor.

All by Robert Ludlum and his successor.


The Plain Truth

House Rules

Salemn falls

The House keeper.

All by Jodi Picoult.

The Rogue Lawyer.

The Firm

The Street lawyer.

The Testament.

The Sycamore Tree.

All by John Grisham.


The Hidden Agenda.

The Afghan.

All by Frederick Forsyth.

The Hunt For Red October.

The Sum Of All Fears

All by Tom Clancy.

The Godfather by Mario Puzzo.

A Spy who loved me.

From Russia with love

Gold finger

All by Ian Fleming.


James Hadley Chase ( I have read 34 novels ).

I can't make list anymore, I'm exhausted.


Why?

My Dad was a reason for me to realize i have same DNA that's avid book fan.
Wow, you earned my respect.
 
The road ahead by Bilgates
Bill Gates made many predictions in this book, most of which come true.
He believed back then that
"All manner of human activity will take place on the network.....and many transactions will involve money, tendered in digital form rather than currency. Digital information of all kinds, not just as money, will be the medium of exchange in this market.''

He had ideas about digital currency back in 1995. Such prophecy.
 
Zamani kabla sijaanza shule 1994, nilikuwa napitia kila gazeti na kitabu kaka zangu walicholeta ,kushangaa tu picha. Ma-broo wakaona bora wanifundishe kusoma wenyewe. Kweli, yaani nilianza shule nasoma kama cherehani. baadaye nikagundua napenda mno vitabu vya biashara na vya kiislam. Mpaka sasa, nimesoma zaidi ya vitabu 100.Zaidi. Nikaunda whatsapp group kuelezea kwa kifupi concept ya kila kitabu cha biashara kwa kiswahili bure. Hapa nashindwa upload audio zake. Kuna kitabu kizuri kinaitwa ''Blue Ocean Strategy'' kinaelezea umuhimu wa kujikita kwenye skill moja na ku-imaster kiasi cha kukosa mpinzani . Halafu kila kitabu nikisoma nahusianisha na mazingira ya biashara ya Tanzania , napata kitu kipya :Ngoja niwape hapa summary ya hiki kitabu cha ''Blue Ocean Strategy''
Kumbuka biashara nyingi ( ukiacha chache mno) bila kutangaza kwa social media unakuwa Unafanya kitu sahihi ila kwa wakati ulopita, wakati tunahama toka ujamaa kuja soko huria ( 1985 mpaka 1990) ambapo wafanyabiashara wachache walihudumia wateja wengi mno.
Kufika mwaka 1995, sera za wahisani zilitutaka tupunguze waajiriwa wa serikali, hivyo kuongeza wafanyabiashara
Kufika mwaka 2010 Hadi 2015, idadi ya vyuo vikuu vinavyozalisha wahitimu, ikifika vyuo 50 toka chuo kimoja( udsm) wakati tukipata uhuru
Hapa ukazuka msamiati mpya wa ' ujasiriamali' yaani vijana na watu wazima wanajiajiri kwa kutatua matatizo yanayoizunguka jamii ( fursa) na kujipatia kipato
Kama haitoshi, toka 2016 Hadi 2019 wimbi la waajiriwa kujifunza na kufanyia kazi suala la kipato Cha ziada limekuwa likiongezeka
Hivyo, Kama wafanyabiashara Ni mapapa, na wateja Ni samaki, tunasema , mapapa Wengi wanagombea samaki Wengi lakini kwenye bwawa moja, Kuna hatari ya mapapa kuumizana, kung'atana na kumwagana damu. Madhara ya ya papa kuchangia bwawa ndo Kama vile: mjasiriamali kulazimika kushusha bei licha ya kuwa na bidhaa Bora ili aendane na papa wavamizi
NINI SULUHISHO:
Swali zuri wanalouliza wanafunzi wangu Mara kwa mara
Jibu Ni kuwa: Wewe Kama papa, unatakiwa ujitenge na mapapa wengine, kwa kuweka himaya yako na kujilia samaki wa peke yako, na kila papa atayeingia katika himaya yako utajua jinsi ya kumuangamiza. Najua ujaelewa, nakupa mifano
Tuanze ya kimataifa
Bill gates alivyoanza alikuta IBM wanazalisha computer hardware, akaona himaya yake Ni kujitenga , yeye akazalisha software na kuwauzia IBM
Yahoo walivyoona bill gates anazalisha software,wao wakatoa huduma ya email
Google walivyoona emails imeshikwa na Yahoo, wao wakatoa huduma ya search Engines
Hadi kuja kwa Facebook wakaona hawawezi compete kwenye search engine, wakaja na social media, mwanzo Facebook, wakanunua Instagram na Sasa wamenunua Whatsapp
Ukija kwa Tanzania, watu mwanzo waliona watoto wadodo na wakubwa wote wanachanganywa primary, wao wakalenga watoto wadodo tu (3 to 5 years) Wana shinda nao day care
Hii strategy ya biashara inaitwa BLUE OCEAN STRAGETY ( hili Ni jina la kitabu pia, kitafuteni kwa reference). Nishachambua vingi mno
 
I'm not into books but the only book which caught my attention effortlessly is THE CAPITALIST NIGGER..

Written by an African for the black race

nadhani its a must read book to any black person in the world as it vividly shows our roots and the toxic perception that enslave us enough to remain the laughing stock of the world.
 
Back
Top Bottom