Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Capitalist nigger imeandikwa na chika onyeani ni mnaija. Jaribu kukisoma.
Cha Dr Mengi nakieka katika list japo kiukweli kusoma ni mtihani [emoji32][emoji32]
Hiki nimekisoma, ......na kimenifanya nitafakari sana uafrika wangu.
 
Zealot ninacho lakini sijakisoma. Too many books, too little time.
Jaribu Ukipatapata Muda ukipitie,

Pamoja na changamoto labda za kupishana na mawazo Ya Mwandishi,,Reza anauandishi wa kuvutia/kupendeza/kufurahisha Kama Harari vile kwa mbali...

Watu hawa Noah & Reza akikwambia kachukua zaidi Ya Miaka kumi kufanya utafiti katika utayarishaji wa kitabu inakuwa ngumu kupinga.

Zealots Reza anakupa picha ya maisha ya karne ya kwanza ya Jews kuhusu siasa,uchumi na Elimu yao bila kusahau Utawala wa kirumi na injili nne Luke,Mark,John & Mathew.

Kinasisimua kwakweli...
 
Nilikuwa natazama Azam Tv kipindi: Miaka 58 Ya Uhuru wa Tanzania bara

Dr Bravious Kahyoza kagusia kitabu cha Homo deus,Yupo vizuri katika kuwasilisha hoja na kujenga hoja,anachambua kwa uzuri mno Mambo.
Mkuu umewahi kicheki Guns, Gems and Steel cha Jared Diamond?
Mwaka Jana The Jackata post Walimhoji Noah,
Akataja vitabu vitano ambavyo angeshauri Mtu asome kama ni msomaji,Jared Diamond aliwekwa wa tatu (Guns,Gums & steel).


Jared diamond niilianza kumsoma kabla ya kupata Homo sapiens,hivyo Homo sapiens bado nakiona bora.

Noah anakupa shule ya kutosha Unapata Evolution Theory, Genetics kisha anakupiga na shule ya Fersinc Anthropology na mambo kibao kwa lugha ya uziri kabisa.


Noah namfananisha na Manly P hall Mwandishi wa The Secret Teaching of All Ages" Njisi Walivyonauwezo wa kuwa na taarifa na vyanzo vingi sana na njisi walivyoweza kuviweka pamoja kwa lugha nyepesi na kupata walau picha.


MKUU Red Giant;

Nisaidie kitabu cha Dambisa moyo Egde of chaos kama unacho kwa Hand...
 
Paula Paul naomba kuelekezwa namna ya kusoma kwa audio books mimi ni mchanga kidogo binafsi natumia PDF tu ,tafadhali
Kama unatumia PDF au hardcopy na kwa sasa unataka kutumia audio book ni rahisi. Unaangalia tuu malengo yako ni yapi.,
1.Upo bize na unataka kusikiliza huku unaendelea na shughuli nyingine.
2. Unataka usikilize kwa sababu wewe ni mvivu wa kusoma.
3. Unahitaji backup ya kukuwezesha kumaliza kitabu mapema.

Hii ya tatu niliitumia sana mimi niliitumia sana kwenye kunifanya niwe na speed ya kusoma. Mfano kitabu unaweza kukuta kina page 200 ambapo itakuchukua muda kukimaliza, lakini Audiobook yake ina masaa matano hadi sita.

Unanunua kitabu au hata kama ni PDF. Halafu kusikiliza Audio huku unafuatilizia maandishi kwenye kitabu chako.
Nikifika mahali pa kutake notes, au kucheka, aku kutafakari na pause kisha na play naendelea.

Hivyo kama Audio ina masaa matano hiki kitabu ni rahisi wewe kukimaliza ndani ya masaa 10( inategemea na ugumu/urahisi wa kitabu).

Audiobook ni record ya sauti ya MTU anayesoma kitabu. Yaani unasililiza mtu akisoma kitabu husika.
 
Nilikuwa natazama Azam Tv kipindi: Miaka 58 Ya Uhuru wa Tanzania bara

Dr Bravious Kahyoza kagusia kitabu cha Homo deus,Yupo vizuri katika kuwasilisha hoja na kujenga hoja,anachambua kwa uzuri mno Mambo.Mwaka Jana The Jackata post Walimhoji Noah,
Akataja vitabu vitano ambavyo angeshauri Mtu asome kama ni msomaji,Jared Diamond aliwekwa wa tatu (Guns,Gums & steel).


Jared diamond niilianza kumsoma kabla ya kupata Homo sapiens,hivyo Homo sapiens bado nakiona bora.

Noah anakupa shule ya kutosha Unapata Evolution Theory, Genetics kisha anakupiga na shule ya Fersinc Anthropology na mambo kibao kwa lugha ya uziri kabisa.


Noah namfananisha na Manly P hall Mwandishi wa The Secret Teaching of All Ages" Njisi Walivyonauwezo wa kuwa na taarifa na vyanzo vingi sana na njisi walivyoweza kuviweka pamoja kwa lugha nyepesi na kupata walau picha.


MKUU Red Giant;

Nisaidie kitabu cha Dambisa moyo Egde of chaos kama unacho kwa Hand...
Hapana sina mkuu, bahati mbaya sijamsoma Dambisa.
 
Naomba chronology ya vitabu Yuval....kuna mdau kaongelea kuhusu kuvisoma in chronological order!
Okay, Reading chronologically is good, but For Yuval Books I highly recommend to read them in published order. (Publication order).

2.Renaissance Military Memoirs.

3.Special operations in the age of chivalry, 1100-1550.

4.The Ultimate Experience.

5.Sapiens: A Brief History Of Humankind.

6.Homo Deus: A Brief History of Tomorrow.

7.Sapiens and Homo Deus: The Brief History Of Humankind and Brief History of Tomorrow.

8.Summary Of Homo Deus:Including Key 9.

9. Takeaways and Analysis.

10. Money: Vintage Minis.

11. 21 Lessons for The 21st Century.

12.Yuval Noah Harari Collection 3 Books Set.

13. Homo Deus Low Price CD (this is Audiobook by Yuval Noah Harari).
 
Wakuu ninataka ninatafuta good readings on marketing. Any recommendations kwa wanaofahamu?
No BS direct marketing~ Dan Kennedy.

Exactly what to say: The Magic Words for Influence and Impact. ~Phil M. Jones.

The 22 Immutable laws of Marketing~Al Ries and Jack Trout.

Building A story Brand: Clarify Your Message to Customers Will Listen. ~Donald Miller
 
Wow.. Ahsante sana.
Naomba unitafutie na vitabu vya Pythogras na Plato. Hasa vya plato!
Vile vizuri
I found Plato to be quite good on his own. I've read "Plato: Five Duologues (Euthyphro, Apology, Crito, Meno, Phaedo )" have you read them?
 
Kwa Wale hustlers mzigo huo hapo
Capture%2B_2019-12-14-20-49-53.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom