Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noah Harari,Nimesoma vitabu vitabu 70 mwaka huu namshukulu mungu.march to may nilipata mda kidogo nilisoma vitabu vingi sana.saivi nasoma NoahView attachment 1277341
Leaders are readers and readers are leaders
Huyu mwanamama Nampa heshima yake..Dead Aid author Ndambisa Moyo it enlighten of the world going
Big Data Is Watching You!!Nimekisoma hiki, nimevisoma vitabu vyake vingine pia "Sapiens: A Brief History of Humankind" na "Homo Deus: A Brief History of Tomorrow".
Professor Harari namkubali sana.
Moja kati ya kitabu bora kwangu mimi katika historia ya Ulimwengu.Jamaa yuko vizuri sana. Nimesoma Sapiens, kina ideas ngeni sana. alinifurahisha anavyodefine dini, kwamba mambo kama ucommunist yanaweza kuwa ni dini. Na kuna ile anazungumzia sexual dimorphism kwa binadamu, imezoeleka kueleweka kuwa kiasili wanawake ndiyo wamepambika!!. Jamaa anajua. vipi hicho Homo Deus, kipo poa?
Sure. Ukipata msomaji ambaye hamezi maneno.Audio books ni very simple sana kuvisoma unaweza kusikiliza huku unafanya kazi zako.ukitumia audiobook kwa mwaka unaweza kusoma hata vitabu 100
Wameshakiweka huko nyuma Mwanaspoti.Mwenye pdf ya 48 laws of power huu mzigo si mchezo
Nitafutie vitabu vya Thomas AquinasWameshakiweka huko nyuma Mwanaspoti.
Unataka kipi nikuwekee mimi? Hauwezi kutaka chochote UujnNaomba kama una vitabu vingine vya Sidney Sheldon mkuu, asante!
Huyu sijawahi kumsoma ila nitakutafutia.Nitafutie vitabu vya Thomas Aquinas
Mtakatifu Tomas wa akwino.. Mwanafalsafa na mwanateolojia..Huyu sijawahi kumsoma ila nitakutafutia.
Ni vyema ungeniambia ni kitabu gani unataka ili iwe rahisi kwangu.
Umeshasoma kitabu chake chochote?Mtakatifu Tomas wa akwino.. Mwanafalsafa na mwanateolojia..
Vyovyote vyake nipatie
Umeshasoma kitabu chake chochote?
Kinahusu nini? Hebu nishawishi Vinci.Hiki hapa kimoja ninacho hard copy...View attachment 1284937
Kinahusu Roho..na Free will.Kinahusu nini? Hebu nishawishi Vinci.