MKIBAIGWAsharkss
JF-Expert Member
- May 25, 2017
- 572
- 1,331
Ninachompendea Dr. Harari ni jmkwamba, anafumbua macho kwenye mengi mapya na hata akiandika kuhusu mambo ambayo tayari unayajua, jinsi anavyoyaandika na kuyaunganisha, anavyoweka pamoja ushahidi kutoka nyanja tofautibza sayansi, hiatoria, baiolojia, sosholojia inapendeza sana.
Yes ,the future belongs to those who own data,don't mention the name of god in vain,Never estimate human ignorance (stupidity),