Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Tao Te Ching -Lao tze

The cannon- Confucius

Secret doctrine- HPB

Sound of silence- HPB

Human, initiation and solar - Alice Bailey

Invisible helpers -

Morals and dogma of ancient and accepted Scottish rite - Albert pike

The stranger in the mirror - Sydney Sheldon

The zahir - Paulo coelho

Alchemist- Paulo coelho

Manuscript from Ghana - Paulo coelho

Veronica decides to die - Paulo coelho

French connection-

Learning the hard way - Yusuph akilimali

Feel the fear and do it anyway- Susan Jeffers

Feel the fear and beyond - Susan Jeffers

Bhagavag Gita -

Safari ya prosper -

Alfu lela ulela -

Aesop’s fables -

The mystery of human double -

Encyclopedia brittanica-[emoji16][emoji16][emoji16]

Kiu ya haki-

Marx, Engels, Lenin -

The 4 hour workweek -

The richest man in Babylon -

The monk who sold his Ferrari -

The art of not giving a https://jamii.app/JFUserGuide -

Fuzzy thinking-

Philosophy na usanifu wa hoja tangu enzi za Plato hadi Nyerere -

Adili na nduguze - shaaban Robert




Nitarudi baadae....
 
Ili tuende vizuri inabidi tujadili jambo moja kabla ya jingine,

Naomba nianzie suala la elimu,

Mifumo ya elimu kote duniani ipo kwa ajili ya kutengeneza wafanyakazi(labour force), Lengo la elimu ya darasani ni kukufanya wewe uwe mtumish(mtumwa?).


Na kwa maana hiyo ni vigumu sana kujiajiri, hata kama umesoma biashara(bussness) au ujasiliamali(entrepreneurship), nitaelezea ni kwa nini...

Mitaala ya elimu iko facilitated na matajiri wakubwa(tycoons) ili kupata wafanyakazi kwenye viwanda na makampuni yao, hivyo, elimu hiyo haina dhamira ya kukufundisha wewe kuhusu pesa. Kwani ukijua kuhusu pesa utakuwa tajiri na hautakubali kuajiriwa tena, hivyo watakosa mfanyakazi.

Ukisoma kuhusu Bussness Adminstration, unasoma kuhusu KUSIMAMIA PESA TU.

Ukisoma kuhusu FINANCE, unafundishwa mambo yahusuyo, HISTORY OF FINANCE, TYPES OF FINANCE, utasoma hadi FOREX ya ONTARIO.

Money management jina linajielezea, ni kumanage pesa tu, hakuna la ziada...

Fani zote tajwa hapo zinakufundisha wewe kwa namna moja ama nyingine kusimamia pesa katika kampuni ya mtu and it rarely teaches you how to start your own company na Hufundishwi kabisa kitu cha muhimu kabisa, HOW TO MAKE MONEY/HOW TO MAKE MONEY MULTIPLY, kitu ambacho ni muhimu kabisa ili kutajirika..

Naomba niazime maneno toka kwenye The richest man in babylon, "I decided that i have to learn the principles on how to accumulate wealthy, make it my duty and do it well.." huyo ni Arkad aliyeamua hivyo, and that is the key,

Cha kusikitisha, hata usome finance au biashara, you are never taught, how to accumulate wealthy!

Unafundishwa kusimamia wealthy ambayo iko accumulated!

Ni kwasababu kutengeneza na kulimbikiza ukwasi ni kipaji(inborn talent) zaidi na exposure kuliko taaluma ingawa elimu inasaidia si haba.

Kama umeshasikia msemo wa waamerika ‘from rags to riches’ na ukaufuatlia kwa kupitia historia ya matajiri wakubwa duniani kama Harold Hugh, Rockfeller, Henry Ford mpaka hawa wa siku hizi mfano Jeff Bezzos, Bill Gates, Jack Ma etc au hata hawa wa kwetu kama akina Salim Bakhresa, ingawa wengine hawakuanza na nguo chakavu(rags) exactly utaona jinsi hii kanuni inavyofanya kazi.
Sipendi sana kutumia mifano kutoka kwenye riwaya za kubuni lakini ukisoma kitabu kinaitwa Rich man, Poor man, utaona jinsi ndugu wawili wanavyotofautiana kimafanikio.
Mmoja, ambaye hana uwezo shuleni anatengeneza maisha yake kupitia ubondia(boxing) mpaka anafikia kuwa ship owner. Huyu mwingine ambaye ni smart sana shuleni anabakia kuwa mwajiriwa kwa muda mrefu ingawa mwishoni anafakiwa kuoa binti tajiri( zali la mentali)
Wakati huo huo dada yao anafikia status ya maisha nzuri lakini isiyo stable kupitia favour za wanaume.
Pamoja na huyu ship owner kuuawa shauri ya visasi akimtetea mdogo wake, mimi binafsi namhusudu zaidi kuliko huyu mwingine.
La msingi ni kuwa huwezi kufundishwa jinsi ya kuwa tajiri ingawa shule ina umuhimu wake katika maisha yaliyokamilika. Kwa uhondo zaidi soma The Carpetbaggers(Harold Robbins) na As The Crow Flies(Jeffrey Archer) ujionee jinsi wavaa nguo zenye viraka wanavyogeuka kuwa matajiri bila kusoma degree 4 au kusubiri zali la mentali.
Mifano kwenye maisha ya kweli ni mingi pia.
 
Man....Trevor Noah’s “born a crime” is something else!
Jamaa kadata si mchezo.

I enjoyed this book thoroughly.

Kuna sehemu wakati anakua huko kwao South Africa aliwaingiza mjini watu kwamba yeye eti ndiye rapper wa Marekani Busta Rhymes.

Yani Trevor Noah na Busta Rhymes sura tofauti, lakini kalazimisha mpaka watu wakakubali yeye ni Busta Rhymes!

Aka rap uongo na kweli, watu wakakubali wamemuona Busta Rhymes kwenye concert.
 
Hiii kitabu nzuri sana,ukimaliza utakuwa hatari kwenye Ku close deal.

IMG_0425.JPG
 
Nimesoma vitabu vitabu 70 mwaka huu namshukulu mungu.march to may nilipata mda kidogo nilisoma vitabu vingi sana.saivi nasoma NoahView attachment 1277341
Leaders are readers and readers are leaders
Nimekisoma hiki, nimevisoma vitabu vyake vingine pia "Sapiens: A Brief History of Humankind" na "Homo Deus: A Brief History of Tomorrow".

Professor Harari namkubali sana.
 
Yuko vizuri anachambua sana mambo na kuyaweka peupe mtu achague pumba na mchele
Ninachompendea Dr. Harari ni jmkwamba, anafumbua macho kwenye mengi mapya na hata akiandika kuhusu mambo ambayo tayari unayajua, jinsi anavyoyaandika na kuyaunganisha, anavyoweka pamoja ushahidi kutoka nyanja tofautibza sayansi, hiatoria, baiolojia, sosholojia inapendeza sana.
 
Back
Top Bottom