Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Nyerere alifanya interview moja, akaukizwa maswali mengi.Akayajibu vizuri kwa historia na falsafa.

Swali la mwisho akaulizwa anasoma kitabu gani?

Akacheka, akauliza, "unataka kujua nasoma kitabu gani?" kama vike hilo swali ni invasive sana.

Akacheka.

Akasema "I am reading Machiavelli" presumably The Prince.

In a way that was slightly suspicious and leaves ine wondering whether he was joking or being serious.

Angalia kuanzia 34:30



Sent from my typewriter using Tapatalk
Na baada ya kukitaja amecheka sana.
Yawezekana kuna kitu kwenye hicho kitabu kinaendana na majibu aliyokuwa anayajibu au kwa kipindi hiko hicho kitabu kilikuwa kinavuma "kwa kitu fulani ".

Umekisoma hiki kitabu Kiranga?
 
Na baada ya kukitaja amecheka sana.
Yawezekana kuna kitu kwenye hicho kitabu kinaendana na majibu aliyokuwa anayajibu au kwa kipindi hiko hicho kitabu kilikuwa kinavuma "kwa kitu fulani ".

Umekisoma hiki kitabu Kiranga?

Nimekisoma mwaka 1996 wakati 2Pac alipokitaja kwenye album yake ya Makaveli.

Ukiwa umemsoma Machiavelli, presumably kitabu chake maarufu kabisa "The Prince", utaelewa kwa nini Mwalimu Nyerere alikuwa anacheka, na utahoji kama kweli alikuwa anasoma Machiavelli hapo. Ni kama vile kataja jibu la utani ili asitaje alikuwa anasoma kitabu gani.

That in itself is Machiavellian!

"The Prince" cha Machiavelli ni kitabu kikichoandikwa mwaka 1513 kinachoelezea namna ambavyo mtawala anaweza kutawala vizuri, na jinsi gani mtawala aamue kutawala, atafute kupendwa au kuogopwa? Do the ends always justify the means or should one care about the means just as the end?

The work is so influential it gave us the adjective "Machiavellian".

It is a seminal work in political philosophy. Nyerere nafikiri alikuwa kashakisoma hapo alifanya utani tu.

Kuhusu kwamba kama kuna kitu kwenye hicho kitabu kinaendana na majibu yake, hapo alikuwa ametoka kuongelea Nehru na jinsi gani Nehru alivyomwambia "take what you can get" kwenye negotiatiins za uhuru, ushauri huo uko right in line na Machiavellian politics.

Machiavellian politics is about realpolitik rather than overly princioled politics. Nehru alimwambia Nyerere, ukipata utawala wa ndani kabla ya uhuru kamili, (kama tulivyooata mwaka 1960 na Nyerere kuwa Waziri Mkuu wa kwanza wa Tanganyika) chukua tu. Half a bread is better than nothing. Usikatae madaraka ya ndani kwa sababu hujapewa uhuru kamili unaoutaka.

That advise from Nehru, and the interview question and answer, ties very well with Machiavelli, perhaps that is why Nyerere was laughing so much in tying up the interview with that grand theme..

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Nimekisoma. Kitabu kizuri sana hicho. Nikipata muda nataka nisome “ The tipping point” cha huyo huyo Malcom Gladwell
I enjoyed "Outliers". Most recently, from Gladwell, I read "Talking To Strangers: What We Should Know About The People We Don't Know".

Fascinating stuff.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Currently reading

1.Graham Greene's "The Power and The Glory". I am going down my Penguin modern Classics list. If I will read fiction, I might as well read Graham Greene.

2.V. S Naipaul's "India: A Wounded Civilization". Now why did someone mention Naipaul? I can't forget all his books I have and have not read.

3. John Gribbin's " Six Impossible Things: The Quanta of Solace and The Mysteries of Subatomic World". Quantum Physics is a topic I am always fascinated with.

4.Graham Allison's "Destined For War: Can America And China Escape Thucydides' Trap?". A great take on modern geopolitics tied up very well with ancient themes way back to the days of Athens and Sparta.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Nimekisima mwaka 1996 wakati 2Pac alipokitaja kwenye album yake ya Makaveli.

Ukiwa umemsoma Machiavelli, presumably kitabu chake maarufu kabisa "The Prince", utaelewa kwa nini Mwalimu Nyerere alikuwa anacheka, na utahoji kama kweli alikuwa anasoma Machiavelli hapo. Ni kama vile kataja jibu la utani ili asitaje alikuwa anasoma kitabu gani.

That in itself is Machiavellian!

"The Prince" cha Machiavelli ni kitabu kikichoandikwa mwaka 1513 kinachoelezea namna ambavyo mtawala anaweza kutawala vizuri, na jinsi gani mtawala aamue kutawala, atafute kupendwa au kuogopwa? Do the ends always justify the means or should one care about the means just as the end?

The work is so influential it gave us the adjective "Machiavellian".

It is a seminal work in political philosophy. Nyerere nafikiri alikuwa kashakisoma hapo alifanya utani tu.

Kuhusu kwamba kama kuna kitu kwenye hicho kitabu kinaendana na majibu yake, hapo alikuwa ametoka kuongelea Nehru na jinsi gani Nehru alivyomwambia "take what you can get" kwenye negotiatiins za uhuru, ushauri huo uko right in line na Machiavellian politics.

Machiavellian politics is about realpolitik rather than overly princioled politics. Nehru alimwambia Nyerere, ukipata utawala wa ndani kabla ya uhuru kamili, (kama tulivyooata mwaka 1960 na Nyerere kuwa Waziri Mkuu wa kwanza wa Tanganyika) chukua tu. Half a bread is better than nothing. Usikatae madaraka ya ndani kwa sababu hujapewa uhuru kamili unaoutaka.

That advise from Nehru, and the interview question and answer, ties very well with Machiavelli, perhaps that is why Nyerere was laughing so much in tying up the interview with that grand theme..

Sent from my typewriter using Tapatalk
Kiranga na-appreciate sana michango yako popote pale. Wewe ni wa tofauti sana, hauna uvivu kwenye kumjibu mtu au kumfafanulia mtu kitu. Na kazi yako yoyote inakuwa ni complete (kamilifu) haiachi nafasi ya kuuliza swali lingine zaidi kwani unajibu hadi swali ambalo mtu alitaka kuuliza baada ya swali alilokuuliza.
Again, My hat's off to you.
 
Kiranga na-appreciate sana michango yako popote pale. Wewe ni wa tofauti sana, hauna uvivu kwenye kumjibu mtu au kumfafanulia mtu kitu. Na kazi yako yoyote inakuwa ni complete (kamilifu) haiachi nafasi ya kuuliza swali lingine zaidi kwani unajibu hadi swali ambalo mtu alitaka kuuliza baada ya swali alilokuuliza.
Again, My hat's off to you.
Much obliged my dear.

You are far too kind.

Kuna msemo fulani wa Sun Microsystems zamani wakati huo kabla ya Facebook na Twitter walisema "The Network Is The Computer". Siku zile nilikuwa sijauelewa.

Ila, sasa naona effects za social networks katika kukuza uelewa wa mambo. If at all used effectively (there is a whole negative side also).

Hata mimi mwenyewe katika kujibu maswali huwa najifunza. Katika filamu ya "The King And I" - a Yul Brynner classic- kuna sehemu mwalimu Anna alisema, mwalimu mzuri hufunzwa na wanafunzi wake. We complement each other through the intelligence of humility.

Mathalani, binafsi nilikuwa sijaweza kuunganisha vizuri ushauri wa Nehru kwa Nyerere na realpolitiks za Machiavellianism mpaka nilipolazimika kufikiri zaidi wakati najibu swali lako.

In many ways we complement each other's gifts by sharing, with the right people of course. Tadpoles do not count.

Which is why people start book clubs and discussions.

And why this thread is such a beautiful resource for sharing and enhancing our understanding.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Nimekisoma mwaka 1996 wakati 2Pac alipokitaja kwenye album yake ya Makaveli.

Ukiwa umemsoma Machiavelli, presumably kitabu chake maarufu kabisa "The Prince", utaelewa kwa nini Mwalimu Nyerere alikuwa anacheka, na utahoji kama kweli alikuwa anasoma Machiavelli hapo. Ni kama vile kataja jibu la utani ili asitaje alikuwa anasoma kitabu gani.

That in itself is Machiavellian!

"The Prince" cha Machiavelli ni kitabu kikichoandikwa mwaka 1513 kinachoelezea namna ambavyo mtawala anaweza kutawala vizuri, na jinsi gani mtawala aamue kutawala, atafute kupendwa au kuogopwa? Do the ends always justify the means or should one care about the means just as the end?

The work is so influential it gave us the adjective "Machiavellian".

It is a seminal work in political philosophy. Nyerere nafikiri alikuwa kashakisoma hapo alifanya utani tu.

Kuhusu kwamba kama kuna kitu kwenye hicho kitabu kinaendana na majibu yake, hapo alikuwa ametoka kuongelea Nehru na jinsi gani Nehru alivyomwambia "take what you can get" kwenye negotiatiins za uhuru, ushauri huo uko right in line na Machiavellian politics.

Machiavellian politics is about realpolitik rather than overly princioled politics. Nehru alimwambia Nyerere, ukipata utawala wa ndani kabla ya uhuru kamili, (kama tulivyooata mwaka 1960 na Nyerere kuwa Waziri Mkuu wa kwanza wa Tanganyika) chukua tu. Half a bread is better than nothing. Usikatae madaraka ya ndani kwa sababu hujapewa uhuru kamili unaoutaka.

That advise from Nehru, and the interview question and answer, ties very well with Machiavelli, perhaps that is why Nyerere was laughing so much in tying up the interview with that grand theme..

Sent from my typewriter using Tapatalk

Asante kwa ufafanuzi huu mkuu Kiranga:
 
Much obliged my dear.

You are far too kind.

Kuna msemo fulani wa Sun Microsystems zamani wakati huo kabla ya Facebook na Twitter walisema "The Network Is The Computer". Siku zile nilikuwa sijauelewa.

Ila, sasa naona effects za social networks katika kukuza uelewa wa mambo. If at all used effectively (there is a whole negative side also).

Hata mimi mwenyewe katika kujibu maswali huwa najifunza. Katika filamu ya "The King And I" - a Yul Brynner classic- kuna sehemu mwalimu Anna alisema, mwalimu mzuri hufunzwa na wanafunzi wake. We complement each other through the intelligence of humility.

Mathalani, binafsi nilikuwa sijaweza kuunganisha vizuri ushauri wa Nehru kwa Nyerere na realpolitiks za Machiavellianism mpaka nilipolazimika kufikiri zaidi wakati najibu swali lako.

In many ways we complement each other's gifts by sharing, with the right people of course. Tadpoles do not count.

Which is why people start book clubs and discussions.

And why this thread is such a beautiful resource for sharing and enhancing our understanding.

Sent from my typewriter using Tapatalk
Unaona sasa, hata ukijitikisa bahati mbaya unamwaga tuu madini. Hata kwenye utani.
You are the best.

Kwenye top 3 yangu ya hapa jf upo. Simaanishi ninaowakubali, au username zinazovutia No, namaanisha ambao wanaandika vitu ambavyo ni vya akili nyingi, wenyewe wanaita "Nondo" au Facts.

Trust me hii ni legacy kwa vizazi vijavyo. Uwe na afya njema uendelee kutuchangamsha "bongo" zetu.
 
Much obliged my dear.

You are far too kind.

Kuna msemo fulani wa Sun Microsystems zamani wakati huo kabla ya Facebook na Twitter walisema "The Network Is The Computer". Siku zile nilikuwa sijauelewa.

Ila, sasa naona effects za social networks katika kukuza uelewa wa mambo. If at all used effectively (there is a whole negative side also).

Hata mimi mwenyewe katika kujibu maswali huwa najifunza. Katika filamu ya "The King And I" - a Yul Brynner classic- kuna sehemu mwalimu Anna alisema, mwalimu mzuri hufunzwa na wanafunzi wake. We complement each other through the intelligence of humility.

Mathalani, binafsi nilikuwa sijaweza kuunganisha vizuri ushauri wa Nehru kwa Nyerere na realpolitiks za Machiavellianism mpaka nilipolazimika kufikiri zaidi wakati najibu swali lako.

In many ways we complement each other's gifts by sharing, with the right people of course. Tadpoles do not count.

Which is why people start book clubs and discussions.

And why this thread is such a beautiful resource for sharing and enhancing our understanding.

Sent from my typewriter using Tapatalk

Hahaha, wewe jamaa wewe.
 
Napenda sana poems esp. za Edgar Allan Poe, mfano the raven , Annabel lee.
Kuna hiki kimoja nlisoma zaman kidogo kinaitwa the fifth horseman kilinivutia saaana
 
Back
Top Bottom