Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

The only fact that I have in my mind ni kwamba “Kununua kitabu ni MOJA, lakini kukisoma ni MBILI”

Hivi vitu haviko pamoja kabisa.

Nakumbuka niliwahi kununua kitabu kipindi nipo kwenye likizo yangu ya masomo, kinaitwa EGO IS THE ENEMY cha bwana Ryan Holiday. Ni kitabu kifupi sana na sio kwamba niliambiwa na mtu.

Lakini mpaka leo nakiangalia tu.

Nichukue nafasi hii kuwapongeza sana wasomi wa vitabu, mkiongozwa na bibie Paula Paul . Kwa hakika mna mioyo ya kipekee.
 
Hi,

I used to think that reading was boring until I found books that really sparked my interest. Reading became important to me because it’s fun and it teaches me new things. It keeps my mind active and inshape and it makes a difference for me if I go long periods without reading books, my mind starts to stagnate.

My favorite book of all the time is East of Eden by John Steinbeck. I liked this book and I loved every page of it. To be honest this is a masterpiece. To this day still is one of the best motivational book I’ve ever read. I enjoyed it for the massages it provides. I have been reading the book and just got to these quotes “And now that, you don’t have to be perfect you can be good.” And “ If you want to be straight allow yourself to be crooked” etc. Truthfully this book gave me a little inspiration to pursue my goals.

Another one is The Hitchhiker’s Guide to the Galaxy by Douglas Adams. It’s the funniest book I have ever read. I’ve read the book many times, but still makes me laugh. I will share favorite part that I found myself re-reading, you know, Said Arthur,” It's at times like this when I m trapped in a Vogon...... And about to die of asphyxiation in deep space that I really wish I’d listened to what my mother told me when I was young”

“Why, what did she tell you?”

Arthur “ I don’t know, I didn’t listen”.
It’s so insanely funny and It reminds me that you shouldn’t take life so damn seriously.

Do you have any favorite book(s) you real like? Tell us about it, based on how good the book was, and why you think it was the best, what is the favorite part in it?

For those who don’t like reading, y'all should know that reading is the good way to learn new things, to see things in another perspective and to expand your creativity and linguistic skills.

Welcome guys.

G’day.
[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
 
Hapana. Labda unitambulishe kwenye eneo hilo kwa kunipa kitabu unachoona kitanifaa.
As you are new to stoicism, I think "The Enchridion" is the good place to start.
It's really short and it helps a lot. You can study one chapter a day. Here's the book ,
 

Attachments

The only fact that I have in my mind ni kwamba “Kununua kitabu ni MOJA, lakini kukisoma ni MBILI”

Hivi vitu haviko pamoja kabisa.

Nakumbuka niliwahi kununua kitabu kipindi nipo kwenye likizo yangu ya masomo, kinaitwa EGO IS THE ENEMY cha bwana Ryan Holiday. Ni kitabu kifupi sana na sio kwamba niliambiwa na mtu.

Lakini mpaka leo nakiangalia tu.

Nichukue nafasi hii kuwapongeza sana wasomi wa vitabu, mkiongozwa na bibie Paula Paul . Kwa hakika mna mioyo ya kipekee.
Thank you MalcolM XII.
Mpaka sasa haujawahi kusoma kitabu chochote na kukimaliza?
 
Paula, kwa hapa bongo wapi wanauza vitabu vile 2nd hand at least bei yake isizidi 10. Maana sie wengine ni wavivu wa kusoma kwenye kwa pdf pages zote hizo. Macho yanauma hata nikipunguza mwanga
 
Paula, kwa hapa bongo wapi wanauza vitabu vile 2nd hand at least bei yake isizidi 10. Maana sie wengine ni wavivu wa kusoma kwenye kwa pdf pages zote hizo. Macho yanauma hata nikipunguza mwanga
Hapana sifahamu, thegreen. Ila kuna watu wameandika humu kwamba wanauza nikiwakumbuka nitawaita.
Pole sana , unatumia Kindle au simu?
 
Kama unaweza, elezea kidogo. Ikoje na inafanyaje kazi.
Hizi device zinauzwa Amazon, ni kama tablet kwa mwonekano wa nje. Lakini yenyewe ni maalumu kwa kusomea. Haziumizi macho kabisa.

Ukiwa na hii device unaweza kuitumia kununua vitabu kutoka amazon na kusoma na kusikiliza audiobooks. Pia ili uweze kudownload vitabu itai connect kwenye Wi-Fi. Naomba niulize swali nikujibu niliposahau.
 
Hizi device zinauzwa Amazon, ni kama tablet kwa mwonekano wa nje. Lakini yenyewe ni maalumu kwa kusomea. Haziumizi macho kabisa.

Ukiwa na hii device unaweza kuitumia kununua vitabu kutoka amazon na kusoma na kusikiliza audiobooks. Pia ili uweze kudownload vitabu itai connect kwenye Wi-Fi. Naomba niulize swali nikujibu niliposahau.
Tofauti yake na tablet zaidi ya kwamba haiumizi macho ni nini?
 
Paula, kwa hapa bongo wapi wanauza vitabu vile 2nd hand at least bei yake isizidi 10. Maana sie wengine ni wavivu wa kusoma kwenye kwa pdf pages zote hizo. Macho yanauma hata nikipunguza mwanga
Nenda Twitter au Telegram, tafuta Lee Books. Huyo dada anauza second hand books kwa bei hizo.
 
Back
Top Bottom