Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

tupe summary ya madini mawili matatu uliyookota kutoka kwenye kitabu icho.
Lessons nyingi na uzuri kina mifano ya biashara aina mbalimbali hivyo unajifunza kwa kuangalia lessons in action.

So big lessons ni

- Huitaji ofisi wala big presence ili kuanza biashara bali inabidi utafute tatizo unaloweza kutatua kwa watu wengi na WATU WAKUAMINI kuwa unaweza kulitatua

- Kama huna mtaji kabisa anza biashara ya huduma ambayo inahitaji skill zako au ujuzi wako ili ukusanye capital. Mfano ufundi ama accountancy ana ususi na kadhalika

- Kipato chako kinavyoongezeka punguza kazi ambazo za kujirudia au usizopenda. Mfano kuosha vifaa vyako vya kazi ama kupokea wateja. Hii itakuwezesha kukua kwa kasi zaidi kwa kuwa una muda zaidi

- Tambua soko lako vizuri. Ingia kwa undani umchambue mteja wako. Ni jinsia gani, anafanya kazi gani, ana umri gani na kadhalika. Ukimtambua vizuri unaweza kuandika maneno ya kumuuzia. (Hii ndio the biggest thing nimeona impact yake. Mfano tu jana na leo nimeingiza 100,000 kwa message ambazo niliandika 3 years ago baada ya kumchambua mteja)

- Jifunze kuuza. Ndio skill moja ambayo itahakikisha haulali njaa. Kuna mbinu nyingi zinaongelewa vema usome kitabu.
 
Mtazamo wa kimaskini
Kama kusoma vitabu kungekuwa na matokeo kama haya yanayoelezwa humu haki ya nani tusingekuwa tunavaa barakoa za vitambaa!

Siamini katika kusoma kitabu tu then uniambie umefanikiwa!! Labda AKILI yangu inanidaganya,,,, ni sawa na kuamini kwamba kwenda kanisani or semina za uchumba pekee ndo utapata mume au mke,,,,


Maoni yangu!! Huwezi kufanya mazoezi sjui kwenda jimi kutunisha misuli wakati hujala, soma vitabu ukiwa na capital tayari then make practice,you will never success reading or listeng to inspirational speakers while you're empty in your pocket,,,

Haya mambo ndo maana yamefanya vijana wengi kushindwa kutumia nguvu kazi zao badala yake wanajazana Global alliance na Forever living, tafuta mtaji ndugu then take time to know the crues of business, and sometimes don't complicate things to that extent,Nenda kariakoo utakuta kijana hajawahi hata kusikia mambo ya vitabu ila ana make money hatariii


I Unfeigned eulogize the chagga,wanajua kutafuta,, sometimes don't waste time kusoma vitabu muda huo ungeutumia kutafuta,,,, heshimu muda ndg.


Tuwaachie kina Obama na Bill Gates wasome vitabu ila kwa sie watafutaji noooo ila kama unakipato take time to read books and listening to Nnanauka na wengine!!

Thanks

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lessons nyingi na uzuri kina mifano ya biashara aina mbalimbali hivyo unajifunza kwa kuangalia lessons in action.

So big lessons ni

- Huitaji ofisi wala big presence ili kuanza biashara bali inabidi utafute tatizo unaloweza kutatua kwa watu wengi na WATU WAKUAMINI kuwa unaweza kulitatua

- Kama huna mtaji kabisa anza biashara ya huduma ambayo inahitaji skill zako au ujuzi wako ili ukusanye capital. Mfano ufundi ama accountancy ana ususi na kadhalika

- Kipato chako kinavyoongezeka punguza kazi ambazo za kujirudia au usizopenda. Mfano kuosha vifaa vyako vya kazi ama kupokea wateja. Hii itakuwezesha kukua kwa kasi zaidi kwa kuwa una muda zaidi

- Tambua soko lako vizuri. Ingia kwa undani umchambue mteja wako. Ni jinsia gani, anafanya kazi gani, ana umri gani na kadhalika. Ukimtambua vizuri unaweza kuandika maneno ya kumuuzia. (Hii ndio the biggest thing nimeona impact yake. Mfano tu jana na leo nimeingiza 100,000 kwa message ambazo niliandika 3 years ago baada ya kumchambua mteja)

- Jifunze kuuza. Ndio skill moja ambayo itahakikisha haulali njaa. Kuna mbinu nyingi zinaongelewa vema usome kitabu.
Kama hutojali kiweke hapa.
 
Mwenye access na hiki kitabu anaweza kuwa msaada mkubwa.View attachment 2225686
61qi6UBdGIL._AC_SY780_.jpg


Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app
 
Complete crav maga😂
Nimesoma vitabu vingi mno.
But haven't and I don't read novels!!
 
Complete crav maga😂
Nimesoma vitabu vingi mno.
But haven't and I don't read novels!!
Kwanini haupendi/hausomi novels?
Well, mimi nasoma kila kitu, any genre, any author . I honestly read anything.
 
"I’M ALONE. I don’t have much food. The temperature is dropping. No one is coming for me. It will be winter soon, and there are so many ways to die out here. If the cold doesn’t get me, the hunger will. If the hunger doesn’t get me, the cold will. Or some wild animal. Or those men will come back .

. . But I’m not dead yet, and someone should know. Someone should know what happened. So I’m writing it down, as best I can. In pieces, because that’s the way it is in my head, all tangled up. There are two beginnings to this story. One of them is on a tarmac in Alaska. The other’s standing on a lakeshore with the rain falling on me like mist, the cabin’s timbers smoldering, sullen and red. I’ll tell you both stories, what happened before my father died and what happened after. And when I’m done or when I’m too weak to write anymore, I’ll leave this notebook where the cabin was. If someone comes looking for us, for me, maybe they’ll find it. So if you’re reading this, I’m probably dead. But for a while, I survived.
My name is Jess Cooper, and I am still alive."

Huo ni utangulizi wa Novel ya I am Still Alive by Kate Alice Marshall.
Kwa anayetaka kusoma hii hapa ,
 

Attachments

Back
Top Bottom