Boom langu nimeamua kununua mzigo na kuweka ndani nikimaliza chuo nifungue duka langu

Boom langu nimeamua kununua mzigo na kuweka ndani nikimaliza chuo nifungue duka langu

Wazo zuri Ila unabidi kuliboresha mkuu , nunua mzigo mchache na uuze usiweke stock deu to fluctuation of Goods value
 
Habari zenu wanajamii Forums

Mimi ni mwanachuo wa chuo kikuu x.

Nimeona kutunza pesa sio kazi rahisi sana, hivyo nimeamua Kila boom nitakalopata nanunua mzigo mfano pochi.

Nguo halafu naweka ndani Ili mpaka namaliza chuo teyari nitakuwa na mzigo wa kutosha kuanzisha biashara yangu.

Naombeni maoni YENU wadau Kwa hili wazo langu
Nadhani wadu tumeangalia upande mmoja tu wa huyu dogo, lakini kama tutangalia upande positive wa huyu dogo basi tutagundua kuwa yupo vizuri. Nasema yupo vizuri sbb amekumbuka kuwa kesho ipo na lazima aiandae leo. Kwa kukosea njia hii aliyochagua, kutamfanya aboreshe wazo lake zaidi kupitia michango yetu hii tunayompa hapa. Kukosea ndo kujifunza, big up dogo.
 
Habari zenu wanajamii Forums

Mimi ni mwanachuo wa chuo kikuu x.

Nimeona kutunza pesa sio kazi rahisi sana, hivyo nimeamua Kila boom nitakalopata nanunua mzigo mfano pochi.

Nguo halafu naweka ndani Ili mpaka namaliza chuo teyari nitakuwa na mzigo wa kutosha kuanzisha biashara yangu.

Naombeni maoni YENU wadau Kwa hili wazo langu
havitakua outdated mkuu??mfano fashion kupitwa?
 
Nadhani wadu tumeangalia upande mmoja tu wa huyu dogo, lakini kama tutangalia upande positive wa huyu dogo basi tutagundua kuwa yupo vizuri. Nasema yupo vizuri sbb amekumbuka kuwa kesho ipo na lazima aiandae leo. Kwa kukosea njia hii aliyochagua, kutamfanya aboreshe wazo lake zaidi kupitia michango yetu hii tunayompa hapa. Kukosea ndo kujifunza, big up dogo.
Ndo nachohitaji , ushauri juu ya hili wazo
 
Habari zenu wanajamii Forums

Mimi ni mwanachuo wa chuo kikuu x.

Nimeona kutunza pesa sio kazi rahisi sana, hivyo nimeamua Kila boom nitakalopata nanunua mzigo mfano pochi.

Nguo halafu naweka ndani Ili mpaka namaliza chuo teyari nitakuwa na mzigo wa kutosha kuanzisha biashara yangu.

Naombeni maoni YENU wadau Kwa hili wazo langu
And you believe mzigo hautakua out of fashion?
 
Achana na upuuzi, soma, ukimaliza njoo nikufundishe bodaboda nikuajiri. Hivyo basi, hilo boom kula na watoto wazuri. Hizo kyuma unazozineng'enekea, utakuja kuzikumbuka sana one day. Utatafuta hata iliyochoka sana na hutoipata
Duuuh Asante Kwa ushauri
 
Ni wazo lenye mashiko, ila changamoto ya vitu huwa vina fasheni yake, sasa we runda mzigo ndani bila kusoma alama za nyakati utakosa mwana na maji ya moto

Wengi huenda na fasheni, kuna muda ukishapita bidhaa fulani huwa zinakuwa yeboyebo hata bure mtu wa town hanunui labda mbwinde huko ndani ndani

Mfano ni zile sendoz za manyoya[emoji23], pata picha mtu angezilunda geto miaka mitatu iliyopita je leo angeuza kweli??? So akili kumkichwa na kila la heri kwenye mishe yako
Hhhh Asante Kwa ushauri bro
 
Habari zenu wanajamii Forums

Mimi ni mwanachuo wa chuo kikuu x.

Nimeona kutunza pesa sio kazi rahisi sana, hivyo nimeamua Kila boom nitakalopata nanunua mzigo mfano pochi.

Nguo halafu naweka ndani Ili mpaka namaliza chuo teyari nitakuwa na mzigo wa kutosha kuanzisha biashara yangu.

Naombeni maoni YENU wadau Kwa hili wazo langu
Hapo umebaba Risk kubwa sana, Mzigo utakua outdated mpaka umalize chuo hivyo utakosa soko na hata bei itakua ishafall sanaa hivyo utaambulia hasara au utagawa bure? Na vipi mzigo ukiharibika mfano na mvua, jua, panya au kuibiwa kabisa?

We kijana unahitaj shule ya ujasiriamali kabisa.
 
Dogo wewe una PHD ya upuuzi.

Kwanza unataka kufanya kitu ambacho hukijui, hapo tu ushafeli tyr na hata ukipewa mtaji wa 100m huwezi toboa na biashara.

Pili nasema hujui biashara sababu lengo la biashara ni kununulia chini uuze juu, sasa wewe unatunza stock? Ambazo mostly value inashuka?

Acha upuuzi kula raha, soma faulu mitihani uje uajiriwe, biashara sio za wapuuzi kama wewe. Wewe una damu ya kuajiriwa

Nyambaf……
[/QUOTE
Be wise
 
Hapo umebaba Risk kubwa sana, Mzigo utakua outdated mpaka umalize chuo hivyo utakosa soko na hata bei itakua ishafall sanaa hivyo utaambulia hasara au utagawa bure? Na vipi mzigo ukiharibika mfano na mvua, jua, panya au kuibiwa kabisa?

We kijana unahitaj shule ya ujasiriamali kabisa.
Nimekuelewa mkuu
 
Back
Top Bottom