Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Ukimaliza tu na trend mpya inaibuka mzigo unakuwa Hauna soko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Festiyia[emoji2]Ila 1St yr bhana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nadhani wadu tumeangalia upande mmoja tu wa huyu dogo, lakini kama tutangalia upande positive wa huyu dogo basi tutagundua kuwa yupo vizuri. Nasema yupo vizuri sbb amekumbuka kuwa kesho ipo na lazima aiandae leo. Kwa kukosea njia hii aliyochagua, kutamfanya aboreshe wazo lake zaidi kupitia michango yetu hii tunayompa hapa. Kukosea ndo kujifunza, big up dogo.Habari zenu wanajamii Forums
Mimi ni mwanachuo wa chuo kikuu x.
Nimeona kutunza pesa sio kazi rahisi sana, hivyo nimeamua Kila boom nitakalopata nanunua mzigo mfano pochi.
Nguo halafu naweka ndani Ili mpaka namaliza chuo teyari nitakuwa na mzigo wa kutosha kuanzisha biashara yangu.
Naombeni maoni YENU wadau Kwa hili wazo langu
havitakua outdated mkuu??mfano fashion kupitwa?Habari zenu wanajamii Forums
Mimi ni mwanachuo wa chuo kikuu x.
Nimeona kutunza pesa sio kazi rahisi sana, hivyo nimeamua Kila boom nitakalopata nanunua mzigo mfano pochi.
Nguo halafu naweka ndani Ili mpaka namaliza chuo teyari nitakuwa na mzigo wa kutosha kuanzisha biashara yangu.
Naombeni maoni YENU wadau Kwa hili wazo langu
Ndo nachohitaji , ushauri juu ya hili wazoNadhani wadu tumeangalia upande mmoja tu wa huyu dogo, lakini kama tutangalia upande positive wa huyu dogo basi tutagundua kuwa yupo vizuri. Nasema yupo vizuri sbb amekumbuka kuwa kesho ipo na lazima aiandae leo. Kwa kukosea njia hii aliyochagua, kutamfanya aboreshe wazo lake zaidi kupitia michango yetu hii tunayompa hapa. Kukosea ndo kujifunza, big up dogo.
Asante Kwa ushauriSio wazo zuri.
Hizo bidhaa huwa zinapitwa na wakati
Asante Kwa ushauriWazo zuri Ila unabidi kuliboresha mkuu , nunua mzigo mchache na uuze usiweke stock deu to fluctuation of Goods value
Asante Kwa ushauriWazo zuri Ila unabidi kuliboresha mkuu , nunua mzigo mchache na uuze usiweke stock deu to fluctuation of Goods value
Ila si inategemeana na aina ya bidhaa,mfano viatu kama air max,jordon,majinsi kwan huwa yanapitwa na wakati?havitakua outdated mkuu??mfano fashion kupitwa?
Fixed account kama ipi???Fungua fixed ACC uwekamo pesa kidogokidogo
And you believe mzigo hautakua out of fashion?Habari zenu wanajamii Forums
Mimi ni mwanachuo wa chuo kikuu x.
Nimeona kutunza pesa sio kazi rahisi sana, hivyo nimeamua Kila boom nitakalopata nanunua mzigo mfano pochi.
Nguo halafu naweka ndani Ili mpaka namaliza chuo teyari nitakuwa na mzigo wa kutosha kuanzisha biashara yangu.
Naombeni maoni YENU wadau Kwa hili wazo langu
AsanteHilo boom ni kiasi gani?
Hongera kwa kuwa na mawazo hayo maana wewe siyo wale wanaotarajia wakimalize wahangaike na kusambaza bahasha ila wanapanga kujiajiri
Apige punyeto sio?Kaa mbali na mademu na anasa zisizo na msingi
Duuuh Asante Kwa ushauriAchana na upuuzi, soma, ukimaliza njoo nikufundishe bodaboda nikuajiri. Hivyo basi, hilo boom kula na watoto wazuri. Hizo kyuma unazozineng'enekea, utakuja kuzikumbuka sana one day. Utatafuta hata iliyochoka sana na hutoipata
Hhhh Asante Kwa ushauri broNi wazo lenye mashiko, ila changamoto ya vitu huwa vina fasheni yake, sasa we runda mzigo ndani bila kusoma alama za nyakati utakosa mwana na maji ya moto
Wengi huenda na fasheni, kuna muda ukishapita bidhaa fulani huwa zinakuwa yeboyebo hata bure mtu wa town hanunui labda mbwinde huko ndani ndani
Mfano ni zile sendoz za manyoya[emoji23], pata picha mtu angezilunda geto miaka mitatu iliyopita je leo angeuza kweli??? So akili kumkichwa na kila la heri kwenye mishe yako
Hapo umebaba Risk kubwa sana, Mzigo utakua outdated mpaka umalize chuo hivyo utakosa soko na hata bei itakua ishafall sanaa hivyo utaambulia hasara au utagawa bure? Na vipi mzigo ukiharibika mfano na mvua, jua, panya au kuibiwa kabisa?Habari zenu wanajamii Forums
Mimi ni mwanachuo wa chuo kikuu x.
Nimeona kutunza pesa sio kazi rahisi sana, hivyo nimeamua Kila boom nitakalopata nanunua mzigo mfano pochi.
Nguo halafu naweka ndani Ili mpaka namaliza chuo teyari nitakuwa na mzigo wa kutosha kuanzisha biashara yangu.
Naombeni maoni YENU wadau Kwa hili wazo langu
Dogo wewe una PHD ya upuuzi.
Kwanza unataka kufanya kitu ambacho hukijui, hapo tu ushafeli tyr na hata ukipewa mtaji wa 100m huwezi toboa na biashara.
Pili nasema hujui biashara sababu lengo la biashara ni kununulia chini uuze juu, sasa wewe unatunza stock? Ambazo mostly value inashuka?
Acha upuuzi kula raha, soma faulu mitihani uje uajiriwe, biashara sio za wapuuzi kama wewe. Wewe una damu ya kuajiriwa
Nyambaf……
[/QUOTE
Be wise
Nimekuelewa mkuuHapo umebaba Risk kubwa sana, Mzigo utakua outdated mpaka umalize chuo hivyo utakosa soko na hata bei itakua ishafall sanaa hivyo utaambulia hasara au utagawa bure? Na vipi mzigo ukiharibika mfano na mvua, jua, panya au kuibiwa kabisa?
We kijana unahitaj shule ya ujasiriamali kabisa.
Weka malkia acount tu hiyo helaIla si inategemeana na aina ya bidhaa,mfano viatu kama air max,jordon,majinsi kwan huwa yanapitwa na wakati?