Boom langu nimeamua kununua mzigo na kuweka ndani nikimaliza chuo nifungue duka langu

Boom langu nimeamua kununua mzigo na kuweka ndani nikimaliza chuo nifungue duka langu

Kuliko kuweka ndani tu si bora uuze online
Kuna madogo wamejoin force zile million 3 za boom wamechanga miaka imeisha wamefungua Goli LAO hapo Vetenari hawataki kusikia habari za kuajiriwa
 
Sio kwamba nashindwa kula naweza ,ila nawaza vipi nikimaliza chuo itakuwaje ,ajira zenyewe changamoto,hme kwenyewe hwezi Rudi ndo hvo ,nawaza life after university
Sawa, nmekuelewa Mkuu. Kwa hali hiyo anza biashara sasa hivi, usisubiri hadi umalize chuo sababu hautaiweza. Wakati ni sasa, ukimaliza chuo ni unatanua tu biashara na sio kuianza.

Tofauti na hivyo celebrate tu Mkuu.
 
Nunua hisa za CRDB mpaka unamaliza utakuwa unalamba gawio na utauza ili uanze biashara
 
Habari zenu wanajamii Forums

Mimi ni mwanachuo wa chuo kikuu x.

Nimeona kutunza pesa sio kazi rahisi sana, hivyo nimeamua Kila boom nitakalopata nanunua mzigo mfano pochi.

Nguo halafu naweka ndani Ili mpaka namaliza chuo teyari nitakuwa na mzigo wa kutosha kuanzisha biashara yangu.

Naombeni maoni YENU wadau Kwa hili wazo langu
Tumia hiyo hela kwa matumizi yaliyo anishwa. Acha kujitesa kwa mambo ya kipuuzi. Kwanza utambue huna damu ya biashara.

Maana ungekuwa nayo, hizo nguo na pochi ungeshaziuza kitambo! Badala kukusanya na kuweka stoo.
 
Anza Leo Anza sasa, kusanya data Kisha zichanganue anzia hapo hapo ulipo
na mtaji sio lazima Malaki hata maelfu Anza nayo. Usiogope


B4
 
Habari zenu wanajamii Forums

Mimi ni mwanachuo wa chuo kikuu x.

Nimeona kutunza pesa sio kazi rahisi sana, hivyo nimeamua Kila boom nitakalopata nanunua mzigo mfano pochi.

Nguo halafu naweka ndani Ili mpaka namaliza chuo teyari nitakuwa na mzigo wa kutosha kuanzisha biashara yangu.

Naombeni maoni YENU wadau Kwa hili wazo langu
Anza kuuza straight up as kuna fashion zitakua zimepitwa na wakati
 
Jambo nzuri sana

Ila Nguo huon zinawez kuptwa na fashion (hapo unaongelea miaka mitatu)

Nazn ununue mpunga tuu na kuhifadhi kwenye mashine huko vijjn
 
Habari zenu wanajamii Forums

Mimi ni mwanachuo wa chuo kikuu x.

Nimeona kutunza pesa sio kazi rahisi sana, hivyo nimeamua Kila boom nitakalopata nanunua mzigo mfano pochi.

Nguo halafu naweka ndani Ili mpaka namaliza chuo teyari nitakuwa na mzigo wa kutosha kuanzisha biashara yangu.

Naombeni maoni YENU wadau Kwa hili wazo langu
Sasa fashion ya nguo Si itakuwa imepita?[emoji23][emoji23]
 
Jambo nzuri sana

Ila Nguo huon zinawez kuptwa na fashion (hapo unaongelea miaka mitatu)

Nazn ununue mpunga tuu na kuhifadhi kwenye mashine huko vijjn
Ttz wenye stoo na mashine. Mali ikikaa Sana stoo wanaisi sijui mwenye Mali mzigo amekufa ?. Huwa ni wepesi Sana KUUZA nafaka sio zao.


B4
 
Jambo nzuri sana

Ila Nguo huon zinawez kuptwa na fashion (hapo unaongelea miaka mitatu)

Nazn ununue mpunga tuu na kuhifadhi kwenye mashine huko vijjn
Nko mwka wa pili,ila Asante Kwa ushauri
 
Back
Top Bottom