Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amefanya la maana sema angeanza mdogo mdogo huku anasoma huku anafanya biashara!
Malkia account hata kama ni mwanaume naweza kufungua???Weka malkia acount tu hiyo hela
Kuna tofauti Kati ya dem na mademApige punyeto sio?
Punyeto inaokoa pesa na mudaKuna tofauti Kati ya dem na madem
yapMalkia account hata kama ni mwanaume naweza kufungua???
Oya vipi kwani!?Dogo wewe una PHD ya upuuzi.
Kwanza unataka kufanya kitu ambacho hukijui, hapo tu ushafeli tyr na hata ukipewa mtaji wa 100m huwezi toboa na biashara.
Pili nasema hujui biashara sababu lengo la biashara ni kununulia chini uuze juu, sasa wewe unatunza stock? Ambazo mostly value inashuka?
Acha upuuzi kula raha, soma faulu mitihani uje uajiriwe, biashara sio za wapuuzi kama wewe. Wewe una damu ya kuajiriwa
Nyambaf……
je akimaliza chuo alivyonunua atakuta vipo kwenye fasheni?Jambo Zuri, ila be self discipline about that, kwa sabababu inaweza kutokea passi ndefu bumu likakata ukauza kila kitu. Au hata kuingia madeni.
Nunua nguo za kike , na vitu vidogo vidogo vya urembo wauzie wanafunzi wenzio hapo chuoni au fungua page social media insta na fb huko kwenye groups za sells uwe una post uuze..Ila si inategemeana na aina ya bidhaa,mfano viatu kama air max,jordon,majinsi kwan huwa yanapitwa na wakati?
Asante Kwa ushauriNunua nguo za kike , na vitu vidogo vidogo vya urembo wauzie wanafunzi wenzio hapo chuoni au fungua page social media insta na fb huko kwenye groups za sells uwe una post uuze..
Kukaa na mzigo ndani ni risk kubwa na ni hasara sabbu pesa yako haina mzunguko.
Unaweza ibiwa vitu ndani, kuharibika, kupitwa na fashion etc.
Nunua uza uzjngushe pesa yako ..
Wana moto balaa, ngoja Semester ya 2 ifike.Festiyia[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuwa makini tu usije kuwa kama yule aliyeagiza miti ya xmass ikaingia january.
Aina noma ,unyama tuWana moto balaa, ngoja Semester ya 2 ifike.
Huwa wanapoteana na projects zao uchwaraa.
Me sio first year,toa ushauri hayo mengine achan nayoWana moto balaa, ngoja Semester ya 2 ifike.
Huwa wanapoteana na projects zao uchwaraa.
Sio kwamba nashindwa kula naweza ,ila nawaza vipi nikimaliza chuo itakuwaje ,ajira zenyewe changamoto,hme kwenyewe hwezi Rudi ndo hvo ,nawaza life after universitySasa si zitapitwa na mitindo?.
Ila boom ni pesa ya kula Mkuu, usijibane sana maana baada ya hapo unaweza usiwe na nafasi nzuri ya kula ujana kama hiyo ya chuo. Tumia muda vizuri Mkuu.
Usije ukawaza kuwa utakula bata kwa mshahara/faida ya biashara maana utayatimba.
Anyway maisha ni vile unaamua wewe kuishi.
Okay asantePochi na nguoa zikipata ukungu umeisha usidhani kuhifadhi bidhaa ni mchezo mchezo.